Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Mpakani Magomeni Kagera kata ya Ndugumbi, Shaaban Kawambwa akiwa amembeba mmoja wa watoto wakati akiwavusha kwenye daraja la mpakani lilalounganisha eneo la Kagera Ndugumbi na Tandale ambalo usalama wake ni mdogo kwa wavukaji hasa watoto wadogo, kama alivyokutwa na kamera yetu leo Jijini Dar es salaam.
 Mjumbe wa Mtaa huo akiendelea la zoezi hilo la kuwavusha watoto kama alivyokutwa na Kamera yetu leo.
Mmoja wa wakazi wa maeneo la Mpakani na Tandale akivuka kwenye daraja hilo kwa uangalifu na umakini mkubwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...