Shimo lililokua likichimbwa mchanga zamani likionekana kujaa maji machafu ambayo hutiririka kwenye kiwanja maalum cha kusherehekea sikukuu mbalimbalinkatika kijiji cha Kianga na kusababisha kushindwa kufanyika sherehe hizo.
Kiwanja cha mpira cha Kianga Mento ambacho wananchi wanakitumia kwa sherehe za Iddi kikiwa kimejaa maji yanayotiririka kutoka kwenye shimo lililopo pembezoni mwa uwanja huo na kupelekea kushindwa kufanyika sherehe hizo mwaka huu. Picha na Abdalla Omar, Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...