Mkuu wa mkoa wa Mtwara HALIMA DENDEGO Kwa kushirikana na mkuu wa mkoa wa RUVUMA DKT BILINITH MAHENGE wamesema watahakikisha wanaboresha mahusiano mema kati ya TANZANIA na pamoja na MAJIMBO YA NIASSA,na CABO DELGADO nchini MSUMBIJI hususani katika kuboresha miundombinu ili kuweza kutoa fursa wa wananchi katika pande hizo mbili hayo yamesemwa wakati wa kuitimisha mkutano wa ujirani mwema katika ya majimbo hayo kutoka MSUMBIJI na mikoa ya ruvvuma na mtwara.
Home
Unlabelled
TANZANIA NA MSUMBIJI ZAPANIA KUENDELEA KUDUMISHA MAHUSIANO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...