Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (katikati) akizungumza na wanafunzi wanaosomea fani ya Udaktari nchini Cuba, alipokutana nao katika Hotel ya Nacional de Cuba, jana Agosti 20, 2017. kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanafunzi Cuba, Goodchance Tarimo na kulia ni Ofisa wa Ubalozi wa Tanzania Nchini Canada na Cuba, Leonce Bilauri. Waziri Mkuu yupo Havana Cuba kwa Ziara ya Kikazi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kulia) akisalimiana na wanafunzi wa Kitanzania anaye Soma fani ya Udaktari nchini Cuba, Eshe Hemed Rashid pamoja na Nasra Sheikhan, alipokutana nao katika Hoteli ya Nacional de Cuba, jana Agosti 20, 2017
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi Wakitanzania wanao someafani ya Udaktari nchini Cuba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...