Sheikh Shariff Majini kutoka katika kituo cha Dua na Maombi Mabibo Mwisho jijini Dar es salaam, mwishoni mwa Mwezi Oktoba Jumamosi tarehe 28 na Jumapili tarehe 29 anataraji kufanya Kongamano kubwa pamoja na Dua katika Mkoa wa Iringa.
Kongamano linatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa OLUFEA uliopo KITANZINI Manispaa ya Iringa Mjini. Kongamano litafanyika kuanzia saa saba mchana mpaka saa kumi naa mbili jioni.
Sheikh amelazimika kufanya kongamano Iringa kufuatia kila siku kupigiwa simu na waumini wa Iringa ili afike kwa ajili ya kuwasikiliza shida zao mbalimbali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...