Mabasi ya abiria yanayofanya safari zake kutoka Dar es Salaam kwenda mikoani  yakiyapita  magari yaliyombele  kwenye   kona na mteremko mkali   barabara kuu ya  Dar es Salaam- Morogoro  eneo zilizopo  Ofisi za Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania ( TAFORI)  karibu Kingolwira  mjini Morogoro   asubuhi ya Oktoba 17, mwaka huu ( 2017) ikiwa ni  siku mbili  tu baada ya Makamu wa Rais , Samia Suluhu Hassan , kuzindua wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani kitaifa mkoani Kilimanjaro yenye kauli mbiu ‘ Zuia ajali , Tii Sheria , Okoa Maisha’ . ( Picha na John Nditi).


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...