Bi.Adivella Muhimba,Mkazi wa Mkoa wa Geita  akikabidhiwa kitita cha  shilingi Miliono 15/- fedha taslimu na Meneja wa kanda ya ziwa  wa Vodacom Tanzania PLC, Undule Mwamkamba ambazo amejishindia kupitia promosheni ya  Tusua mapene inayoendeshwa na kampuni hiyo. 
 Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 15/kupitia promosheni ya Tusua Mapene Bi.Adivella Muhimba ambaye ni Mkazi wa Mkoa wa Geita,akifurahia  baada ya kukabidhiwa rasmi kitita chake na Meneja wa kanda ya ziwa  wa Vodacom Tanzania PLC, Undule Mwamkamba hapo jana.
Bi.Adivella Muhimba ambaye aliibuka mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 15/- kupitia promosheni ya Tusua Mapene  akifurahia jambo pamoja na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania  Mkoani Geita baada ya kupokea fedha rasmi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...