- Kaimu
Mwanasheria wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Joachim Maambo
akijitambulisha kwenye mkutano wa Menejimenti na Wajumbe wa Chama cha
Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) uliofanyika leo kwenye ukumbi wa
Mikutano wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) wa
kuihusha mkataba wa zamani.
Katibu
Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) mkoa wa Dar es
Salaam, Bw. Gaudence Kadyango (wa kwanza kushoto) akiandika masuala
mbalimbali kwenye mkutano wa wajumbe wa TUGHE na Menejimenti ya Viwanja
vya Ndege Tanzania (TAA) uliofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa
Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) wa kuihusha
mkataba wa zamani.
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bw.
Richard Mayongela (kulia) aliyekuwa Mwenyekiti wa mkutano wa Menejimenti
na Wajumbe wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE), akiandika
masuala mbalimbali wakati wa kuihusha mkataba wa zamani.Wajumbe wa Chama
cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) na Menejimenti ya Mamlaka ya
Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada
ya kumalizika kwa mkutano wa kuihusha mkataba wa zamani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...