1. Kaimu Mwanasheria wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Joachim Maambo akijitambulisha kwenye mkutano wa Menejimenti na Wajumbe wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) uliofanyika leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) wa kuihusha mkataba wa zamani.
Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) mkoa wa Dar es Salaam, Bw. Gaudence Kadyango (wa kwanza kushoto) akiandika masuala mbalimbali kwenye mkutano wa wajumbe wa TUGHE na Menejimenti ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) uliofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) wa kuihusha mkataba wa zamani.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bw. Richard Mayongela (kulia) aliyekuwa Mwenyekiti wa mkutano wa Menejimenti na Wajumbe wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE), akiandika masuala mbalimbali wakati wa kuihusha mkataba wa zamani.Wajumbe wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) na Menejimenti ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa kuihusha mkataba wa zamani.

   

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...