Kiongozi msaidizi wa Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo ya Watu (HDIF), Joseph Manirakiza akimkabidhi barua ya makabidhiano ya mradi na vifaa mganga mkuu wa hospital ya Shirati, Dr. Bwire Chiragi kwa muda wa miaka miwili hospitali hiyo imepata ufadhili wa kuendesha mradi wa kuokoa maisha ya mama na mtoto (saving mothers project) katika wilaya za Bunda na Tarime mkoani Mara.
 Mganga mkuu wa hospitali ya Shirati,  Dr. Bwire Chiragi akisaini makabidhiano ya mradi wa kuokoa maisha ya mama na mtoto (saving mothers project) katika wilaya za Bunda na Tarime mkoani Mara. Katikati ni kiongozi msaidizi wa Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo ya Watu (HDIF), Bw Joseph Manirakiza na Kulia ni Katibu wa hospitali ya Shirati, Ogottu Obala.
 Msaidizi kiongozi wa Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo ya Watu (HDIF) , Joseph Manirakiza (katikati) akifafanuliwa jambo na viongozi wa hospitali ya Shirati iliyopo mkoani Mara, kulia ni Mganga mkuu wa Hospitali hiyo, Dr. Bwire Chiragi na kushoto Katibu wa hospitali hiyo, Juma Ogottu Obala

 Baadhi ya Baiskeli 124  zilizotolewa na Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo ya Watu (HDIF) uliochini ya UKAIDS kwa ajili ya kuwasaidia wauguzi katika Wilaya ya Bunda na Tarime.
 Mama Prisca  Koboko  Ambae ni muuguzi toka Tarime akielezea jinsi mradi wa kuokoa maisha ya mama na mtoto ulivyowawezesha kuwafikia wakina mama.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...