Wilaya ya nyasa nI kati ya wilaya zenye vivutio vingi vya utalii kutokana na uwepo wa ziwa nyasa, kufungaka kwa barabara ya mbinga hadi nyasa ambayo ujenzi wake unatarajia kuanza hivi karibuni kutafungua fursa nyingi za ajira kwa vijana na kuongeza uchumi na kipato kwa halimashauri hiyo.
Home
MICHUZI TV
NAIBU WAZIRI KWANDIKA AMESEMA BARABARA YA MBINGA HADI MBAMBA BAY NYASA ITAKAMILIKA KWA WAKATI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...