Waziri
wa Kilimo Dkt Charles Tizeba ametembelea kiwanda cha kubangua Korosho
cha Micronix System Limited kilichopo Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara na
kuzungumza na Viongozi wa kiwanda hicho juu ya kupandisha malipo kwa
Vibarua wanaofanya kazi Kiwandani hapo.
Kwa Sasa mfanyakazi analipwa Kati ya Shilingi elfu 7 mpaka elfu 8 kwa siku ambapo wanafanya kazi Kwa Siku 5 kwa Wiki.
Tayari uongozi wa kiwanda hicho kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya ya Newala Aziza Mangosongo wameahidi kulifanyia kazi Suala hilo.
Waziri wa Kilimo Dr.Tizeba akiongea na Baadhi ya Wafanyakazi wa Kiwanda cha kubangua Korosho cha Micronix System ltd kilichopo Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara ambacho Kimeajiri wafanyakazi 350.
Waziri wa Kilimo Dr.Tizeba akioneshwa aina za Korosho ambazo Tayari zimebanguliwa na kuwekwa kwenye vibakuli ili kupima Ubora Tayari kwa Kupakia, Kushoto kwake ni mkuu wa Wilaya ya Newala Aziza Mangosongo pamoja na Meneja Uzalishaji wa ETG Ltd Sunir Mizar.
Waziri kilimo Dr.Charles Tizeba Akipanda Mche wa Mkorosho katika Kijiji cha Machombe,Kata Ya Marika kama Moja ya kuhamasisha upandaji wa Miche Mipya Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara.
Kwa Sasa mfanyakazi analipwa Kati ya Shilingi elfu 7 mpaka elfu 8 kwa siku ambapo wanafanya kazi Kwa Siku 5 kwa Wiki.
Tayari uongozi wa kiwanda hicho kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya ya Newala Aziza Mangosongo wameahidi kulifanyia kazi Suala hilo.
Waziri wa Kilimo Dr.Tizeba akiongea na Baadhi ya Wafanyakazi wa Kiwanda cha kubangua Korosho cha Micronix System ltd kilichopo Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara ambacho Kimeajiri wafanyakazi 350.
Waziri wa Kilimo Dr.Tizeba akioneshwa aina za Korosho ambazo Tayari zimebanguliwa na kuwekwa kwenye vibakuli ili kupima Ubora Tayari kwa Kupakia, Kushoto kwake ni mkuu wa Wilaya ya Newala Aziza Mangosongo pamoja na Meneja Uzalishaji wa ETG Ltd Sunir Mizar.
Waziri kilimo Dr.Charles Tizeba Akipanda Mche wa Mkorosho katika Kijiji cha Machombe,Kata Ya Marika kama Moja ya kuhamasisha upandaji wa Miche Mipya Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...