Naibu Kamishina wa Jeshi la Polisi ambaye ndiye Mkuu wa Kitengo cha Polisi Jamii, DCP Ahmada. A. Khamis (wanne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja  Maafisa wa benki ya CRDB na viongozi wa serikali ya Kata ya Kitangari, Tarafa ya Kitangari wilaya ya Newala mkoani Mtwara  leo baada ya kufanya mkutano katika Kata hiyo kwa kushirikiana na Bank ya CRDB kutoka Makao Makuu ya Bank hiyo Dar es salaam, juu ya Mtumizi salama ya huduma za kibenki na namna ya kuepukana na wizi wa mtandao. Picha na jeshi la Polisi 
 Afisa kutoka benki ya CRDB makao Makuu Dar es salaam, Abel Laswai akitoa elimu kwa wananchi wa Newala Mjini leo juu ya matumizi salama ya huduma za kibenki katika uhifadhi wa pesa na namna ya kuondokana na wizi wa fedha kwa njia ya mtandao, elimu hiyo ilitolewa katika viwanja vya mahakama ya Mwanzo iliyopo mjini hapo. Picha na Jeshi la Polisi.
Inspekta Issa Asali kutoka katika kitengo cha Polisi Jamii akizungumza na wananchi wa Newala Mjini leo katika mkutano uliofanyika katika viwanja vya Mahakama ya Mwanzo iliyopo mjini hapo, juu ya matumizi salama ya huduma za kibank na namna kuondokana na uhalifu kwa njia ya mtandao. Picha na Jeshi la Polisi 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...