charles njonjo wa leo akiwa na suti yake yenye maandishi ya cn cn cn kwenye mistari, ua waridi na kitambaa cheupe na saa ya mnyororo wa dhahabu kisibaoni. shati lake limerembwa kwa mkono na analaani sana wanaovaa tai za kipepeo (bow/butterfy tie) akinadi kuwa ni maweita tu wenye kuvaa hizo. hapa alikuwa akihutubu siku ya harusi ya mtoto wa jaji mark bomani, dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. sasa huyu bwana anapoonekana kupinga muungano wa Afrika ya Mashariki hasa kinacho muuma ni nini hasa?

    ReplyDelete
  2. hivi hizi hotuba za harusini watu kweli huwa wanasikiliza au ni upepo tu,maana watu huwa "wamepata" halafu wako katika mood ya sherehe.kuna harusi nilihudhuria kulikuwa na hotuba kama 8 hivi na kila moja ilichukua at least takika 10.......zemarcopolo!

    ReplyDelete
  3. huyu mzee anamaanisha nini akisema kuwa ni mawaiter tu ndio wanaovaa bow ties...michuzi una picha ya wakuu wa nchi za commonwealth ambayo imetumiwa na oxford dictionary ya oxford.naomba tuwekee hapa ili tuweze kumuoji vizuri huyu mzee kama hawa wakuu wa hizi nchi akiwemo mzee ruksa ni mawaiter au vipi?i seem not to know,who is this guy by the way?.............zemarcopolo!

    ReplyDelete
  4. ok nimeshamsearch kwa google kumbe alikuwa ni mwanasheria mkuu wa kenya...........zemarcopolo!

    ReplyDelete
  5. Ni miiongoni mwa wapumbavu wasiku hizo,alielimika akafuta ujinga tu (ignorance)lakini upumbavu(foolishness)haukumtoka maana elimu hufuta ujinga tu haiondoi upumbavu.Kwa hiyo bado ni mpumbavu.
    hakuanza leo kupinga jumuia yeye ndiye aliyechangia kuvunjika kwa jumuia ya afrika mashariki kwa taarifa yako.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...