jei zii na biyonsi walikula gud taim sana walipokuja bongo. huyo mtoto ni wa josefu kusaga...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 22 mpaka sasa

  1. They seem to enjoy the whole thing about Bongo. Happy, relaxing, etc. Good job!

    ReplyDelete
  2. They look great..nakubali popote wanapotea time jay na bee, ni lazima watu waenjoy kiutuuzima.

    ReplyDelete
  3. more pictures ....

    http://cloudsfm.co.tz/

    ReplyDelete
  4. I hope these guys Jay and Beyonce have learnt a lot about where their grand pa came from, I guess when they come back home will sit down and pondering how to start helping fellow AFRICANS from investing in big companies to health care and education. They see how we Africans(Tanzanians) love them and I am pretty sure they had good time up there, I can`t wait to see Beyonce sing a song about Africa and particularly Tanzania Bongo Yetu.
    Michuzi Good job man, Keeep it up, I will stop by to see you in couple month when I come up there for a couple month or so!

    ReplyDelete
  5. Cool, Calm and Collected Couples, down to earth chilling in Bongo! aren't they Lovely?!, I knew i like Beyonce for a reason before she even went to T'zania, Now i've confirmed, she is for REAL!!!

    ReplyDelete
  6. Dooh watani kwa kweli mwenye nacho ndiyo anafaidi maisha!! Check hili toto la Jay Z? ni nzuri ile kinoma... Daah Walahi kila mtu na kwao, huyu mtoto namwota tu kila siku lakini Jay Z ana pata live hahaha....just kidding!!! Good picture.

    ReplyDelete
  7. I wish P.Diddy naye angekuja Bongo kabla hajatengana na mwana dada Jennifer Lopez, nadhani ingekuwa poa sana hapo tungejua nani zaidi, P.Diddy na Jennifer Lopez au jay Z na Beyonce? nashindwa kusema kama ingekuwa draw ama ni nani hasa angeshinda... wadau nisaidieni. Voda jaribuni kumwalika na huyu bwana P.Diddy..

    ReplyDelete
  8. mtoto wa kusaga, so whaaaat???!!! yahusu nini?!!!

    ReplyDelete
  9. Which world are you living in my friend? PDiddy is going out with the mother of his child (although they are in dramas again). He parted ways with JLo ages ago. JLo has been married twice since then and one engagement which never worked out! Stay intouch with the entertainment world and comment appropriately.

    ReplyDelete
  10. eheee Michuzi yale yalee, unaanza mwenyewe, habari ya mtoto wa nani inahusu ninii???!!! otherwise super!

    ReplyDelete
  11. ehee Michuzi unaanza yale yalee!!habari ya mtoto wa nani inahusu nini??!!! otherwise picha SUPER.

    ReplyDelete
  12. SAWA HUYU NI MTOTO WA JOSEFU KUSAGA. EHEE NA WENGINE JE? WATAMBULISHE BASI? ILI USIJE UKASINGIZIWA TENA KUWA UNAKULA KAMISHENI TOKA KWA WATU WACHACHE.

    ReplyDelete
  13. Jey Zee! Sidai Njeree....Napendesa sana wewe na ndito yako, nafikiri babu wa babu sako nawesa kuwa ilikuwa maasai, tapatia wewe sawadi ya mukuyati ile dawa ya morani ya kuongesa ngufu ya manaume, taambia ebo motika aelesee wewe kwa kirengesa ya engshil musuri. karibu sana munduli juu.

    ReplyDelete
  14. Mjue wingi wa WaMarekani weusi wanaona Afrika mahala pa ovyo na hawataki kuhusishwa nayo. Wanasema oh Afrika watu wanatembea uchi na wanakaa kwenye miti na kazi kuuana au kufa na njaa. Bora hao wamefika na wamepaona na wataambia watu kupitia media zao kuwa kumbe Afrika Pazuri!

    Asante Beyonce na Jay-Z!

    ReplyDelete
  15. Young Bee, miguu mbona imepauka hivyo au kama wanavyosema nyumbani kwenu, "ASHY"

    ReplyDelete
  16. Young Bee, miguu mbona imepauka hivyo au kama wanavyosema nyumbani kwenu, "ASHY"

    ReplyDelete
  17. Sidhani kama miguu ya Beyonce ni Ashy. Pesa zote za ma-pedicure anazotumia, no way haiwezekani. Hiyo lazima vumbi.

    ReplyDelete
  18. Da Chemi wachana nao, wote tumejua ni vumbi. Ni lazima sehemu kama hiyo kama umevaa viatu vya wazi halafu vya chini, especially baada ya kusakata sindimba, lakini si unajua tena? Walllle waleeeee! Lazina wawe na cha kukosoa kama warundi!

    ReplyDelete
  19. Katoto ka JKu kasweet sana, na kanaonekana kana moto saaaana.

    ReplyDelete
  20. Some of us tulikuwa tunajiuliz ahuyu mtoto ni wa nani maana ni kazuri sana.
    So i don't blame muchuzi kutuelezea ni mtoto wa nani na sioni ubaya wa michuzi kusema huyo mtoto wa nani.Ushamba gharama sana.

    ReplyDelete
  21. kwani akimtaja mtoto wa joseph kusaga kuna nini jamani?ish na nyie wakosoaji lazima mtafute makosa.sasa kuna mtoto mwingine hapo kwani?acheni ukorofi bwana...na kama ndio pekee aliymejua jina je?

    beyonce kapendeza sana bila ma-makeup yake ya kawaida akiwa katika kazi.mtoto mtaratibu kabisa....nice...

    ReplyDelete
  22. Ndugu Maisha sababu ya watu kuhoji kuhusu kutajwa kwa mtoto wa Kusaga ni kwamba tunarudi palepale sio watu wote wastaarabu humu ndani, baba yake iliwekwa picha yake humu ndani siku za nyuma, kashfa na matusi yaliyotolewa sio kawaida.
    bahati nzuri haijatokea naona watu wamestaarabika siku hizi lakini ingeweza kuwa ndio chachu na matusi yasiolezeka humu ndani kisa tu malaika wa watu asiye na makosa yoyote, nasema hivi kwa sababu hivi ni vitu ambavyo vinaweza kuepukwa kiurahisi tu, nadhani umeelewa na siyo sababu nyingine yoyote.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...