July 2006


mh. dk. asha-rose migiro akitoka bungeni na manaibu wake baada ya kuwasilisha bajeti ya wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa jana naiti


Pssst...jana mshikaji wetu ameniletea nyuzi hii...



Tanzania Lawamani…



28/07/2006




Na Pascal Mayalla-Mutukula

Maofisa wa taasisi mbalimbali za Serikali waliopo eneo la Mtukula, mpakani kati ya Tanzania na Uganda washutumiwa kwa tuhuma za unyanyasaji na ukiukwaji wa haki za binadamu na kwa baadhi ya raia wa Tanzania kwa kuwafukuza nchini na kudai kuwa sio raia bila sababu za msingi.

Shutuma zimetolewa na Bi Ndasoro Haule (Asiye na Uraia) wa eneo hilo la mpakani katika Mkutano wa Hadhara wa Kamati ya Biashara, Uwekezaji na Mawasiliano ya Bunge la Afrika Mashariki, katika ziara ya kamati hiyo kutembelea vituo vya ushuru wa forodha vya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, kutathmini utekelezaji wa Ushuru wa Pamoja ulioanza mwezi Januari, 2005.

Akielezea mkasa wake, Ndasoro Haule ambaye alizaliwa Tanzania na mama wa Kitanzania lakini Baba wa Kiganda aliyemtelekeza yeye na mama yake, hivyo akakulia Tanzania na kuolewa na Mtanzania Joseph Haule (Siyo Profesa J-ambaye nae ni Joseph Haule) lakini ametimuliwa nchini kwa hati ya PI na kuelezwa sio raia.

Akielezea mkasa huo, huku akilengwa lengwa na machozi, Bibi Haule ameieleza kamati hiyo, chanzo cha matatizo yeke ni kisa kilichotokea Januari 2004 baada ya mtoto wake wa kiume kujihusisha na uhusiano wa mapenzi na mwanamke fulani bila kujua kuwa mwanamke huyo ni Bibi wa ofisa mmoja wa Idara ya Uhamiaji (jina tunalo) na ndipo ofisa huyo alipokwenda nyumbani kwake na kutoa vitisho vya “ watakiona cha mtema kuni.”

Aliendelea kueleza kuwa siku 4 baada ya tukio hiyo, alifuatwa nyumbani na Difenda ya Polisi, akapelekwa kituo cha polisi cha Rusumo, ambako alisachiwa kila sehemu za mwili wake na askari wa kiume na baada ya hapo, alitiwa ndani na mwanae na kutakiwa kusaini karatasi ambayo hakujua imeandikwa nini kutokana na yeye kutojua kusoma wala kuandika.

Anasema alisita kusaini na kuomba kwanza aelezwe karatasi hiyo imeandikwa nini, anasema kilichofuatia hapo na kipigo toka maofisa wa polisi, hali iliyopelekea kukubali kusaini hiyo karatasi na kesho yake yeye na mwanae walichukuliwa na gari ya polisi wa Tanzania na kukabidhiwa kituo cha polisi cha Uganda eneo la Mutukula na ndipo alipoeleza kuwa hati aliyosaini ni PI na kuelezwa kuwa yeye ni mtu asiyetakiwa Tanzania kwa sababu siyo raia.

Uganda nako walishindwa kumpokea kufuatia kutomjua ndugu yake yoyote wa baba yake na hivyo kumuhesabu kama Mtanzania, kwa kuzaliwa na hata kwa kuolewa na vyeti vyote kuanzia cha ndoa na vya kuzaliwa watoto vinaonyesha wote ni Watanzania lakini juhudi zote za kueleza kuwa anafanyiwa visa, hazikuza matunda.

Ndipo mume wake, Mzee, Joseph Haule, alipolivalia njuga suala la mke wake kwa kulifikisha ngazi za juu serikalini ikiwemo mpaka kuja Dar es Salaam kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ambapo ombi lake lilikataliwa kwa sababu ambazo hazikuelezwa.

Amemalizia kueleza kuwa mpaka sasa, anaishi eneo la Uganda akiwa hana uraia wa nchi yoyote na hivyo kuwaomba waheshimiwa wa Bunge la Afrika Mashariki, wakifikishe kilio chake na cha cha mamia wengine ambao hawajapata pa kusemea na kusisitiza ni raia halali wa kuzaliwa na kuolewa.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Biashara, Uwekezaji na Mawasiliano ya Bunge la Afrika Mashariki, Mhe. George Nangale, (Tanzania) ,amesema, ingawa mkasa huo, sio madhumuni ya ziara yao, lakini kutokana na uzito wa shutuma na tuhuma mbalimbali za unyanyasaji zinazodaiwa kufanywa na maofisa wa Forodha, Uhamiaji na Polisi, wao watayafikisha malalamiko hayo katika ngazi zinazohusika ili yafanyiwe kazi.

Kisa kama hicho, pia kimewahi kumkumba aliyekuwa Mwenyekiti wa Habari Corparation, Jenerali Ulimwengu, ambaye alinyan’ganywa uraia wa Tanzania na kujikuta ni mtu asiye na uraia wowote kabla ya kurejeshewa uraia wake.

Sheria za Tanzania, zinatoa mamlaka ya kisheria na kumnyan’ganya uraia mtu yoyote ambaye uraia wake unatiliwa mashaka kwa kumpa hati ya P.I (Personal Non Granta-mtu siyetakiwa) ambapo hufuatiwa na mtu huyo kusindikizwa chini ya ulinzi mkali mpaka mpakani mwa nchi yoyote atakaichagua.

Sheria hiyo ya P.I. inatoa mamlaka kwa Serikali kutoa hati hiyo ama na kutoa sababu za kufukuzwa nchini ama bila kutoa sababu za kufukuzwa nchini ambapo ni Mahakama Kuu tuu nchini, yenye uwezo wa kuzuia utekelezaji wa P.I. Sheria hiyo ya P.I ni miongoni mwa Sheria 40 za Ukandamizaji, ambazo Tume ya Nyalali alipendekezwa zifutwe na kwa upande wa P.I. serikali ilizimishwe kutoa sababu za kutoa P.I.

Ziara hiyo ya Kamati ya Biashara, Uwekezaji na Mawasiliano ya Bunge la Afrika Mashariki, iliyodhaminiwa na Shirika la Frriedrich Ebert Stiftung, kesho inaingia siku yake ya 10 kwa kutembelea mpaka ya Tanzania na Kenya, eneo la Namanga.-End. Hii Story ina picha.

Hapa ni nje ya relwe stesheni dom ambako chinga wa kigogo wanalamba vichwa hasa vya kizungu kwa bidhaa zao adimu. Halafu kuna mshikaji kanifowadia habari njema hii. mie inglishi iz noti richebo hivyo naomba mtransleti wenyewe. stey tyunnnd!



Proud Tanzanian


I, as a Tanzanian am proud to have achieved another milestone...The
Tanzanian Shilling is now equal to more than 1,300 to 1 US$!!!!

Congratulations to all of us Tanzanians for:

1) Using Chinese toilet paper rather than Rexa or Tanpack...
2) Buying ice cream made in Kenya or South Africa rather than Azam (I
agree Ole is not good !!!)
3) Using Omo rather than Foma
4) Eating Heinz baked beans rather than Dabaga or Red gold
5) For using Shoprite as your favourite shopping destination since
"expired" South African goods are better than Tanzanian products
6) For using Anchor butter/cheese on your bread rather than ASAS or
Serengeti
7) For using Colgate and Close up as they make your teeth brighter
rather than Whitedent
8) For drinking Heineken and Red Bull rather than a good old Kili....its
a matter of image in it!
9) For drinking St.Anne and Overmeer than Dodoma wine
10) For using Farmer's choice sausages than Beef Vienna from Arusha
11) For using Kangaroo matches than KIBO match

.....and the list goes on....

Come on guys wake up....Its time for a change......BE TANZANIAN BUY
TANZANIAN....

And a request to the expatriate community...especially South
Africans...please change your mind set and help Tanzania grow by
supporting local products...

Regards

A true Tanzanian.......


wah. bwana mapesa dk. harrison mwakyembe jana usiku bungeni dom. hii ni baada ya dk. mwakyembe kulalamikia tabia ya 'kuchimba dawa' iliyomea kwenye mabasi ya masafa marefu na akaomba vyoo vijengwe barabara kuu ili kuondoa adha ya watu wa jinsia na umri mbalimbali 'kuchimba dawa' bila noma maporini

mh. james lembeli (pili shoto) akiteta na baadhi ya waandishi wanaokava bunge dodoma. huyu bwana kalamba dume na kuwa mbunge wa kahama baada ya kjusota miaka kadhaa pale tanapa arusha. wengine toka shoto ni abeid butu wa tvt, moshy kiyungi wa ipp, nelly mtema wa deiliniuz, anna itenda wa maelezo na eshe muhidin (hatuhusiani) wa tvt
Thabeet is taking history, political science and math classes at UConn this summer with the rest of the team. The hope is that that the players will bond before the season begins. The rest of their time will be spent playing pick-up games or working out in the gym, something new to Thabeet. Improving his English will also be one of his priorities. He's still getting used to the college atmosphere and must learn English quickly in order to master his academics. He's already mastered Swahili and French, so he's not worried about the most important language he has to learn: Jim Calhoun's.

"I will speak his language soon," Thabeet promises.

no image
mh. james lembeli, baada ya kusota sana tanapa akiwa kama afisa uhusiano mwenzetu amelamba dume na sasa ni mbunge wa kuchaguliwa. hapa anaonekana akipiga stori na mapaparazi wenzie bungeni dodoma leo

Hasheem Thabit alipokuwa akisota waya na klabu ya vijana pale zanaki, dar. sasa nasikia anatamba ughaibuni, kwa mujibu wa habari hii nilotumiwa na jamaa. kwa kuwa inglishi mie mwenzeni hola, naomba mjisaidie wenyewe





Sinza freshman tallest ever at UConn



Hasheem Thabeet was being teased by UConn graduate assistant Justin Evanovich in the back hallways of Gampel Pavilion.
"You seen Jeff Adrien?" Evanovich asked, referring to UConn's lumbering soon-to-be sophomore.
"Yeah?" answered the Tanzanian, to whom English is still an unfamiliar language.
"Number 4. The guy scoring all of the lay-ups on you in practice," Evanovich said.
"...So?" Thabeet tossed back, suddenly realizing the point and shrugging off the verbal jab.
Thabeet coolly grabbed his Powerade and gulped it down, relaxing after one of the first pick-up games of his UConn career. As one of the last recruits in UConn's record-setting eight-man Class of 2006, Thabeet should be able to keep it cool. His one of UConn's most prized recruits. Talk about being the big man on campus. Literally. He's 7-foot-3.
When Thabeet steps on the hardwood this fall, he'll be the tallest man ever to play for the Huskies, who will return just four players and welcome a whopping nine to this season's roster. There will be no championship expectations looming over their heads, no questions as to who will be leaving for the NBA after the season. It will just be fast-paced, in-your-face basketball featuring one of the nation's best recruiting classes.
Here at Gampel Pavilion, in the shadows of Jim Calhoun's summer basketball camp, Thabeet and the other rookies have taken center stage by storm. Thabeet originally moved to Houston from the African nation of Tanzania before signing a letter of intent in early June to play at UConn. While Storrs may play host to one of the best college basketball programs in the country, it's a far cry from the hoops Thabeet used to play in his homeland: small pick-up games that he first began watching when he was 15.
Mesmerized by the windmill dunks some of the other players were able to pull off, Thabeet stood in awe on the sidelines before he was finally asked why he, 6-8 at the time, wasn't in the mix. Coaches gave him a ball, led him to the foul line and asked if he could make the shots. After sinking the first few, Thabeet turned and looked them in the eye.
"Yeah, I can do it," he recalls telling them.
From that point on, it was plug-and-run for Thabeet. After being told he might have a shot at playing in the United States, he turned to the internet to contact coaches. Having to pay for web access in Africa, it wasn't always easy to get through. He finally reached a couple in Division III before he was put in contact with Mark McClanahan and the varsity boys' basketball coaching staff at Cypress Community Christian School in Houston. There, Thabeet woLike many of Calhoun's biggest recruits -- Emeka Okafor and Hilton Armstrong come to mind -- Thabeet wasn't highly-regarded. When Andre LaFleur heard about him, he traveled to see Thabeet and even brought him up to Storrs for the Huskies' season-ender against Louisville on March 4. Because UConn was in the running, other schools realized that Thabeet must be something special. He went to look at other urban programs in Cincinnati and Louisville before deciding that rural UConn was the place to be.
"Houston is a big city," Thabeet said of his home away from home. "There's everything there. Here, I can just focus."
"I know I can play defense, but I'm trying to get the offensive side together," Thabeet said. "We'd like to learn each other...I've only been playing basketball four years and they've been playing basketball a long time, but right now, we are all starting together."
Thabeet is taking history, political science and math classes at UConn this summer with the rest of the team. The hope is that that the players will bond before the season begins. The rest of their time will be spent playing pick-up games or working out in the gym, something new to Thabeet.
Improving his English will also be one of his priorities. He's still getting used to the college atmosphere and must learn English quickly in order to master his academics. He's already mastered Swahili and French, so he's not worried about the most important language he has to learn: Jim Calhoun's.
"I will speak his language soon," Thabeet promises.