Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 07, 2007

    enzi zile huyu jamaa alikuwa anabandika orodha ya majina kuonesha wasiolipa ada. siku hizi wamekuwa wengi kiasi kwamba anaandika memo ya jumlajumla.
    alikuwaga anaanzia main campus halafu anafuatia malimbe.. ilikuwaga bonge ya zengwe

    janja ya wengi ilikuwa inagonga mwamba kwenye msosi lakini wajanja walikuwa wanapenya tu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 07, 2007

    Pay the piper guys...mna bahati hata mmepata muda wa kusoma bila kulipa kwanza na hiyo knowledge mnaweza kuipeleka popote bila hata ya mtihani. Siye wenzenu kabla ya muhula kuanza you have to pay the full tuition na kama hujalipa basi jina linaondoka tu kwenye list ya class registration...siye huku tunaregister kwa simu ...ukipiga simu number yako haipo...na wakumweleza matatizo yako ..."baba hajatuma hela" hayupo...basi tu...Nyie mnaraha sana lakini mnatake so many things for granted

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 07, 2007

    This is rediculous, unfair kabisa.
    enzi zetu tulikuwa tunasoma bure kwani serikali ilikuwa inatimiza responsibilities zake, not nowadays inazidisha matumizi kwenye mashangingi zaidi kuliko elimu!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 07, 2007

    imanikumbusha mabli sana. Detective Mwanjonde hacheki wakati huo. Upadri pembeni anataka mshiko. Hakuna kula wala kulala, mitihani ndiyo basi tena.
    Mtetezi alikuwa Babu Walters. Mwacheni jamani anajenga jiji. Inabidi uwe na fungu la kulipia kandarasi na wadau au mnasemaje Omega Ngolle, Ilonda, Sabina, Bhoke na Fr. Ng'tigwa? Rugemalira upo?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 20, 2007

    ahaa haya mambo sasa yanaboa kwa nini nchi haitaki watu wasome? Nawauliza hao viongozi, Rais Kikwete kweli tutapata maisha bora kwa kila mTanzania kama kila uchao wnafunzi wanahaha wamefukuzwa hawana ada na hela ya practicals? Jamani tujenge nchi elimu ipewe kipaumbele jamani acheni safari za nje kila mara, acheni kuwapa wabunge minofu wakati wananchi wanakula mapanki, hebu fanyeni mambo ya maana kwa nchi. Hivi inawezekana hili baraza kubwa la mawaziri halina kazi kabisa sababu mambo kibao bado hayashughulikiwi, aibu hii.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...