huyu ndiye refarii othmani kazi atayechezesha mpambano wa simba na yanga jumatano hii huko morogoro. pamoja na kuaminika kote huko kutokana na uchezeshaji mzuri refa huyu bado hajapatiwa beji ya fifa kwa sababu zisizojulikana, ikizingatiwa kwamba pamoja na kwamba alifeli mtihani wa cooper test kwa namna ambayo wengi wanaamini ni zengwe lakini anaaminika kuwa mmoja wa marefa bora bongo. hapa anachezesha mechi ya soka la bichi siku ya tamasha la michezo la waandishi
Home
Unlabelled
kazi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Michuzi be serious, kama jamaa alifeli alifeli! kwa nini msingizie zengwe! yaani bongo usanii kutoka kwa wanasiasa mpaka wananchi. tumezidi na visingizio. tupunguze jamani!
ReplyDeleteMbona ana ATHUMANI IDI tena??? Yaani ana anatukana... kwa kidole... Ha ha ha ha ha haaaa...
ReplyDeleteMweh! Yanga walie tuu, kama refarii ndo huyu...
ReplyDeleteMichuzi unachekesha! Kama alifeli mtihani unatarajia vipi apewe beji ya FIFA?
ReplyDeleteTFF wameambiwa waache kiherehere na tamaa ya kutumia viwanja wakati vipo matengenezoni,ukiuliza eti ni kwa ajili ya mechi ya simba na yanga,kauli hii ingekuwa imetolewa na mtu kama Kaduguda si angefungiwa!
ReplyDelete