BARUA YA WAZI KWA MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WATANZANIA UINGEREZA31.05.2007Abubakar FarajiMwenyekitiJumuiya ya Watanzania UingerezaNdugu MwenyekitiYAH:...
May 2007
flaviana matata, binti yetu ambaye ni mmoja wa warembo 10 babu kubwa duniani, katua dar masaa machache yalopita na dege la qatar airways na kupokewa kwa...
jaji mkuu mh. barnabas samatta akwia ofisini mwake. mh. samatta anatarajiwa kustaafu mwezi ujao baada ya kuitumikia idara ya mahakama kwa ustadi na uaminifu...
mkurugenzi wa twanga pepeta asha baraka akiwa na waimbaji khalidi chokoraa (shoto) na charles baba wakijadili safari yao ya kenya ambayo imeelezwa hapo...
safu ya mbele ikikupa mapanga shwa shwa wanaumeeeee...
aisha akiongoza safu ya washambuiaji kimugongomugo...
shakashia na mpini wake akipepeta na lwiza mbutu na isim...
ali choki akiwashaga moto huwa hapakal...
lilian intanet na super nyamwela wakikupa za ch...
hiyo ndio meza kuu ilosimamia uchaguzi mkuu wa yanga leo ukumbi wa dayamondi jubilei na matokeo yametoka muda si mrefu ulopita na washindi ni kama ifuatavyo:1....
memba wa yanga wakikaguliwa uhalali wa kadi kabla ya kuruhusiwa ukumbini kwa ajili ya uchaguzi mkuu dakika chache zilizopita. tayari wagombea wote wameshanadi...
wagombea wa nafasi ya ukatibu msaid...
wanachama waliochelewa kuingia ukumbini hawakuruhusiwakuingia kura zilipoanza kupi...
mbunge wa ilala mh. zungu (shoto) na mchezaji wa kimataifa wa yanga enzi hizo ambaye sasa ni diwani ni baadhi tu ya wasimamizi. huyo mama ni afisa mi...
mzee rashidi ngozoma matunda (kulia) naye ameibuka kugombea uenyekiti...
memba wa yanga wakiwa kwenye uchaguzi mkuu hivi sasa dayamondi jubi...
lucas kisasa (shoto) na emmanuel mpangala (kati) wakiwa na mmoja wa wadau wakuu wa yanga suleiman wakiteta jambo. kisasa na mpangala wanagombea nafasi...
wadau ujumbe huu mwanana umeingia sasa hivi toka newala...Michu! Mambo vipi mshkaji? Natumaini mzima sana. Angalia hiyo picha nimekutumia niliyopiga Starbucks....
naam, kama wadau wengi walivyoshauri, mambo ya flaviana yameisha sasa tuhamie taifa staaz inayocheza na senego jumamosi hii uwanja wa ccm kirumba, mwanza....
mtu kibao hujaa karume kuangali staaz wakila t...
kocha wa mazoezi ya viungo toka brazil itamar akiwa na kocha msaidizi ali bushiri na wachez...
jide akiwa na wadau wakati wa ziara yake ughaibuniLady Jaydee & Machozi band live gig - every friday Lady JayDee is so far the most decorated musician...
mtangazaji wa radio uhuru fm na mjumbe wa baraza la vijana wa ccm mkoa wa Dar violet mzindakaya mpogolo (sister v) akirejesha fomu ya kugombea ujumbe...
Wadau wapendwa duniani kote mnaosoma blogu hii!Samahani kwa kuchelewa kuleta taarifa, kwa kweli jana mara baada ya mashindano kulikuwa na hafla ndogo...
hatimaye miss universe ishafanyika na binti yetu flavian matata amemaliza akiwa ndani ya 10 bora. matokeo kamili ni kama ifuatavyo. wanaojua kiinglishi...
kwa msiofahamu ni kwamba uwanja wa kumbukumbu ya karume stedium umekuwa kituo cha mazoezi ya kabumbu kwa timu za taifa za wakubwa na vij...
kikosi cha taifa staaz kilipokuwa gabon enzi hizo. mwenye data na atupatie. wakati huo kocha ni zacharia kinanda (pili shoto, juu) na mfadhili ni azim...
mlio ughaibuni shauri zenu. wenzenu huku bongo tumepata jinsia nyingine yaitwa 'uri...
leo ndo leo na asiye mwana abebe jiwe. binti yetu flaviana matata anajimwaga jukwaani kuwania taji la miss universe usiku huu uhko mexico mpya. tumuombee...
nawaletea habari njema wote wanaotaka kusafirisha magari toka uk kuja bongo. kazi kwenu kwani jamaa ndo wameshapata baraka zote za tbs. pichani ni bw....
hasheem thabit akiwa na katibu mkuu wa shiriksho la basketiboli lawrence cheyo alipokuwa bongo. jamaa nasikia keshatimua zake kurudi ughaibuni kisail...
wadau wa celtel wakiwa kwenye kili music awards. trupu hili ni hatari katika kuitangaza kampuni hiyo ya simu za mkon...
ombaomba akiombaomba dar leo. kandoro kawapiga mkwara sana hawa jamaa lakini wapi...
kupiga ama kupigwa basi dar ni kitu cha kawaida ukizingatia uwiano haba wa saizi ya barabara na idadi ya mag...
naona wadau wamepania kunigaragaza na maadobe yao. ah, nifanyeje wakati nawapenda na kuwaheshimu wote zaidi ya kuwaridhia matakwa yao?naomba anika hii...
hapa kuna ujumbe mwaridhawa kwa wasomi Dear Friends,On Saturday 5th May 2007 Peers Group (Group of Graduates) had an Annual Dinner Attended by more than...
rangi nyeusi na hudhurungi humechi viz...
hapo zamani za kale ni hako kachupa kabuluu tu kalikuwa kanapatikana, tena kwa kibali kama si foleni. siku hizi aaaaa.... hela yako...
ukiwa mpenzi wa bwawa la maini usiwe na wasi kwani hutotembea peke. hapa ni ngwasuma mzlendo pub nikiwa na mdau wa bwawa letu usiku wa ...
ngwasuma wakila mugongomugongo leo mzalendo ...
mashabiki wa ngwasuma wakiwa nyomi usiku wa leo mzalendo ...
Subscribe to:
Posts (Atom)