Kaka Michuzi,
Habari za kazi tunakushukuru kwa kutupa habari za nyumbani sisi tulio mbali na nyumbani. Naomba uiweke hii hewani.
Namtafuta rafiki yangu anaitwa JOYCE KIBOMA nilisoma nae kiluvya secondary tumepotezana tangu tulipomaliza shule.
asante
Mdau Texas
Naomba mtu yeyote anayefahamu namba ya simu na email ya Abuu Faraji wa Jambo Tanzania UK.
ReplyDelete