Kaka Michuzi,
Habari za kazi tunakushukuru kwa kutupa habari za nyumbani sisi tulio mbali na nyumbani. Naomba uiweke hii hewani.
Namtafuta rafiki yangu anaitwa JOYCE KIBOMA nilisoma nae kiluvya secondary tumepotezana tangu tulipomaliza shule.
Pia kwa wote waliosoma kiluvya secondary mail yangu ni jannetjj@yahoo.com
asante
Mdau Texas

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Naomba mtu yeyote anayefahamu namba ya simu na email ya Abuu Faraji wa Jambo Tanzania UK.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...