Home
Unlabelled
maajabu ya dunia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
khaa! itakuwa binadamu alifanya mapenzi na mbwa na kumpa ujauzito. i dont believe this.
ReplyDeleteMs Bennett
Just a GENETIC FREAK!
ReplyDeleteIt is just a 'malformed' DOOOGY!
Do not worry.
Hayo ni maajabu tuu,binadamu anakaa tumboni kwa miezi 9 na mbwa kama sikosei anabeba mimba ya miezi minne,kama kuna binadamu alimpanda huyo mbwa hatoweza kubeba mimba na mtoto kuwa tayari kwa miezi hiyo..au wanasayansi wanasemaje jamami?maana kwa kweli ni maajabu kabisa..kama kweli kuna binadamu kafanya hivyo atakuwa na mfadhaiko wa hali ya juu!!!
ReplyDeletekuna mkono wabinadamu hapo hatari angau huyo kakamata mnya kuna walewakamatao watoto wadogo ndiohatari
ReplyDeleteWanaadamu tusali! Tunamchukiza Mungu, ndio maana tunapata majaribu yote haya.
ReplyDeleteni maajabu tu, si kama mwanadamu amefanya mapenzi na mmbwa, manake kama ingekuwa ni mwanadamu hao watoto wengine wa mbwa nao wangetoka watoto wa ajabu kama huyo. Hii inatokana "Karyotype condition", hapa nina maana Chomosomes, na kama ni X-somes za mbwa na binadamu zinatofautiana kwa namba, umbile na hata ule uonekano haziwezi zikiungana kutoa binadamu ama mbwa kamilifu, bali kitatoka kitu mmbwa si mbwa, binadamu si binadamu. Hapo kutokea kitu kama binadamu ni sababu X-somes zilipata "mutation", zikabadilika kuweza kuwa katika hali kama ya X-somes za binadamu.
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeleteHii inatia shaka, kuna dume la mbegu lilirutubisha pasipostahili.
ReplyDeleteSijui maelezo ya kisayansi,ila vinginevyo mchezo haramu utakuwa umefanyika.
By the way,nilidhani kuwa mbwa anazaa sio kujifungu, au kusema mbwa amefariki badala ya kufa.
Dunia inazidi kwisha !! Huyo jamaa aliempa mimba huyo dogi inabidi aozeshwe tu ili walee mtoto wao.
ReplyDeletems bennet naungana na wewe kabisa!! maana hapo hakuna maelezo mengine...watu wenyewe wa kizazi hiki!tushasikia haya ya binadamu kufanya mapenzi na wanyama b4. Mungu atusamehege tu!
ReplyDeleteEeeh Mwenyezi Mungu! sasa hako katoto katalelewa na mwenye mbwa au mbwa manake ubinadamu hakapo na kwenye mbwa hakapo mwishowe kataliwa na mbwa. Dah hii kali. naona dunia inafikia ukingoni
ReplyDeleteNini tena kama si laana dalili za kiama ninyingi sana siku hizi hii inathibitisha usemi Binaadamu
ReplyDelete(wengine) ni mbwa kasoro mkia.
mmiliki wa mbwa akamatwe haraka na kufikishwa kwenye sheria ni lazima amefanya nanhii nae
ReplyDeleteDuuuuuuuuuuuh! kuna binaadamu (man) alikuwa na ukame akajaribu hapo nini? Akalee mwanawe sasa asijikaushe. Duniani tutaona mengi.
ReplyDeleteScience na technolojia.
ReplyDeleteNduguzangu Dini ziko nyingi Basi Ombeni Duwa Na Someni jamani haya maajabu ya mwenyezimungu yana mitiani yake Swala Swala Swalini na MUombe Na Wacheni mambo ya ajabu.
ReplyDeleteBinadamu gani yuko hivyo wewe? Kuna sifa za kuwa binadamu huyo hana hata moja. Kazaa tu kumbe wa ajabu lakini si anayefanana na binaamu. Ach kudhalilisha ubinadamu.
ReplyDeleteNini kimekufanya uamini hiyo picha hadi kuibandika wakt siku hizi kuna kitu kinaitwa photoshop utaalamu ambao unaweza kuunganisha picha au kuzibadili uatkavyo.
Nami Bw. Misupu naungana na huyo binti hapo juu (Ms. Bennett) kuwa lazima binadamu mwenye akili finyu atakuwa amefanya mapenzi na huyo mrembo DOG na kupata mtoto wa aina yetu sisi binadamu !!!
ReplyDeleteNami Bw. Misupu naungana na huyo binti hapo juu (Ms. Bennett) kuwa lazima binadamu mwenye akili finyu atakuwa amefanya mapenzi na huyo mrembo DOG na kupata mtoto wa aina yetu sisi binadamu !!!
ReplyDeletebinadamu kachangia hapo kidogo duuu mi sielewi mdau endelea kutujulisha pindi kitakapoendelea kukuwa.
ReplyDeletesweet,
Arusha.
Hii Michu mie na weye si wajinga.. huyu ni binadamu alizaa mtoto mwenye matatizo ama syndrome ya aina fulani akakirushia kwa mbwa,... huyo mtoto ni wa binadamu hata wa kichukua DNA na wala hawazi kuwa wa mbwa hata siku moja... wamshike huyo mwenye mbwa aeleze vizuri manake itakuwa ndio yeye...
ReplyDeleteHio haiwezekani kabisa, binadamu kumpa mimba mbwa, jamani msitufanye na sisi hatujasoma.
ReplyDeleteGlory to God Allmight
ReplyDeleteYasiyowezekana kwa Binadamu Kwa Mwenyezi Mungu Yawezekana,
Anaweza akawa ameingiliwa na Binadamu Au Laa
Mwenyezi Mungu ayaweza yote
Mimi naona ni kawaida tu. Hakuna mapenzi kati ya mwanadamu na Mbwa kuna tamaa tu mbaya ya mwanadamu ambayo siamini kama inaweza kusababisha kuzaliwa kwa kiumbe yeyote kutokana na kutofautiana kibiologia kati yao.
ReplyDeleteHaya wadau mnaosomea wanyama (madaktari) hebu toeni mani yenu.
Kaka, Arusha.
Haya si maajabu michu ni mwisho wa dunia unakaribia. Hapo ni kwamba kuna jamaa alikuwa anampanda mbwa huyu wakati wa heat kwa tamaa za ngono, na ikatokea mbwa akapata ujauzito wa binadamu hivyo mtoto kuwa half cast. yaani nusu mbwa nusu binadamu. Hiyo inatokea sana hasa huku kwa wenzetu wanaojiita wameendelea kulala na mbwa kwa ajili ya upweke,. ila huku wanawachoma sindano mbwa wasipate ujauzito au kutoa mbegu za kusababisha ujauzito. Sasa hiyo ndio product na jamaa aliyefanya hivyo anajijua yupo kimyaa huku moyoni akisema mtoto wangu huyo.
ReplyDeleteJAMANI, JAMANI, JAMANI...HII SASA NI LAANA.....MTALAANIKA NA HIYO MIKIA YENU.......WEWE MWANAUME UTAWEZAJE KUTEMBEA NA MBWA JAMANI!!!....SASA JAMANI HIKI KIUMBE NDO ILI IWEJE?.....ITABIDI KIUWAWE KWANI NI UDHALILISHAJI WA HALI YA JUU KABISA....ALIYEFANYA HICHO KITENDO NA LAANA IMTEMBELEE YEYE NA VIZAZI VYAKE VYOTE!.
ReplyDeletehii ni dalili kuwa siku za mwisho wa dunia zinawadia, dhambi zimezidi duniani. yawezekana ni binadamu alifanya vitu na jibwa. ndo maana magonjwa ya ajabu hayaishi duniani. Mungu Tuhurumie!!!!!!!!!
ReplyDeleteDuh!
ReplyDeletesalaleeeeeeeeeeeeeeeeeee! haki ya mbongo binti muhamad..........jini!!
ReplyDeleteItabidi mwenye mbwa ajieleze!!!
ReplyDeletehiii lazima alichangia na binadamu,na tena atakuwa huyu mdau wa angola.
ReplyDeletekwa kweli dunia imekwisha!!!!!!!!!hivi binadamu mwenye akili timamu anaweza fanya hivyo???angekuwa mwanamke amezaa mbwa i could understand...but not otherwise!!!anyway labda jamaa alikuwa na ukame
ReplyDeleteAkaa!!! makubwa madogo yana nafuu!!!
ReplyDeleteben ungemuwahi ungeokoa jahazi hapo sijui ulikuwa wapi
ReplyDeleteMbwa huyo bwana, alikuwa bado kukamilika, kwa ufupi kazaliwa NJITI. Si binadamu
ReplyDeletewatu wabaya sana,sijui wamepatwa na ukame gani mpaka kufanya mapenzi na mbwa.huyo mbwa katiwa mimba na binadamu.
ReplyDeletegademu! hakuna cha maajabu wala nini.. halafu mtu hawezi kufanya mapenzi na mbwa...... hivi mnafikiri gonoria inatoka wapi? Mwenye mbwa atafutwe...
ReplyDeleteha ha WABONGO acheni hizo..huyo mbwa ni aina ya BULL-DOG....huwa anakuwa hivyo..that is full breed ya bull dog, anakuwa hana fur akizaliwa na yes very lazy puppy.
ReplyDeleteHamna nini wala nini...please people...!!!
hee dunia sasa imekwisha, watu tutubu dhambizetu sasa.
ReplyDeleteWewe Anon wa 10:17AM jaribu kuwa na tafisida kidogo karika maandishi yako. Sasa kama wewe unaogopa isije ikakutokea kwa kuwa una Mimba kwani nawe ulinanihii na mbwa before ya huo ujauzito mpaka uogope isikutokee?. Kama ulinanihii na mbwa hamna haja ya kuogopa subiri product yako mama.
ReplyDeleteVinginevyo jaribu kutumia lugha ya tafisida kidogo.
wewe anon 4:35 unaesema this is a BULL DOG i got a few petronizing questions for you: i like people like you,who think they know too much. i have 3 dogs. my question is how can a normal rotteweiller produce an offspring that is a BULLDOG? bloody answer that question mr. smart man.
ReplyDeletethis is uchawi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hhahahah KIRUNDU UMECHEKESHA!!
ReplyDeleteJamani mimi naona kuwa wengi sana hapa hatujasoma na kusoma ni vizuri zaidi sasa leo ndio nimeamini maana nilitegemea misupu alivyotoa hizi picha watu wengi watachangia kutokana na elimu zao lakini naona kuna pumba tu zimejaa hapa hamna hata kitu cha muhimu kilichotolewa sasa labda wote waliosema kwamba binadamu kachangia hapo labda niwaambie kwanza nendeni kwanza mkasome ndio muelewe zaidi kiundani nini maana ya elimu sio mnakuja na kulopoka na mnaandika hamjui nini mnaandika hebu kwanza fikirieni binadamu na akili zake ataweza kumpa mimba mbwa na binadamu alijuaje kama huyo mbwa yupo kwenye siku zake acheni mambo ya kishamba nyinyi kama ni binadamu kafanya hivyo basi watoto wote wangetoka kama binadamu sasa mbona wengine watoto wa mbwa imekuwaje hayo mambo tumuachie mwenyezi mungu ndio anayejua kila kitu na yeye ndio alivyoumba vile sasa tujaribu kuongea vitu vya maana ni kwa nini imekuwa vile nadhani katika hizo commect hapo juu aliyesomea BIOLOGY ni mmoja tu hapo juu anaitwa KAA KAZI wengine wote mmesomea biashara sasa tujaribu kuepukana na hivi vitu na wengine kuita binadamu wenzao VINYAGO sio vizuri hujafa hujaumbika maisha bado hujayamaliza kwa hiyo tujaribu kujadili vitu vya muhimu jamani.....
ReplyDeleteegidio anon 2:42 you have a sexy picture there
ReplyDeleteDu kaka michuzi mi naona hii ni kwa sababu ya mabomu yaliokuwa yakilipuliwa kule Angola hadi yame alter genetics za doggie huyu, Wadau wanatakiwa wasishanga mbona athari za mabomu ya Hiroshima na Nagasaki kule ujepu bado yanaonekanaaaaaaaaaaa
ReplyDeleteHivi watu wengine wanapotuma comments zao huwa hawachukui muda kujiuliza ninachoandika hapa kitapokelewa vipi na wadau?
ReplyDeleteAnonymous 3:2 6PM,Ulipouliza hivi binadamu mwenye akili timamu anaweza kufanya hivyo alafu ukasema angekuwa mwanamkee amezaa mbwa you could understand ulikuwa unamaanisha nini haswa?
kwamba wanawake hawana akili timamu ama wanawake kisayansi maumbile yao yanawawezesha kufanya mapenzi na mbwa na hatimaye akapatikana mtoto ama? Mi sielewi!
Hebu tufafanulie please
mmmmm, nimeshituka kidogo kwamba hakuna hata mmoja wetu ambaye ameweka hoja kuwa haya yanaweza kuwa mambo ya Photo Point na Picasso Picture Editing!!!! Jamani, si kwenye mtandao tunaonyeshwa hata picha za viungo vya watoto wadogo vinavyouzwa kwenye mabucha na kuliwa mahotelini huko Korea?? tuamini kwamba ni kweli?? ama watu wanacheza na compyuta tu....!
ReplyDeleteSuala hilo laweza likawa limetokana na Genetic mutation, suala la kujamiana mbwa na binadamu tusiliangalie kiushabiki na kijuu juu tu, lazima kabla hatujalishabikia na kutoa hukumu zetu tuone sayansi inasema nini pia. Naungana na Kaa kazi hapo juu kwamba mbona watoto wengine wa mbwa wamekuwa mbwa na hawakuwa binadamu kama mbegu ilikuwa ya mwanadamu. Halafu umbo la kiumbe hicho pichani limefanana na binadamu baaddhi ya sehemu lakini si zote, la muhimu na msema kweli ni genotype ya kichanga hicho. kwani mutation inaweza kuumba umbo lolote kama hilo. Nafikiri kama wanasayansi wangeweka wazi genotype ya hicho kiumbe ingetusadia zaidi, pengine ni mbwa tu alopata mutation.
ReplyDeleteMichuzi, kama hutajali naomba uitoe hii picha mpenzi, sawa?
ReplyDeleteJAMAA ALOTOWA MAONI KWA KUJIITA -MWANAKIJIJI- TOA USHAMBA WAKO AU WEWE UNALALA NA MBWA KWAHIYO NDIO UNAJIHAMI HAPA KUSEMA HAIWEZEKANI MTU AKALALA NA MBWA???
ReplyDeleteHUKUMBUKI ILE KESI YA WAZUNGU WALIOFIKISHWA MAHAKAMANI HAPA KWA KUMFANYISHA MAPENZI DADA YETU MTANZANIA NA MBWA? HII HABARI KILA MTU ANAIJUA. SASA UNAONGEA NINI HAPA? INAWEZEKANA SANA.
NAKUBALIANA NA -JP. KWELI MWENYE MBWA HUYU ATOE MAELEZO LAZIMA KUNA KITU KILITENDEKA HAPO. ASANTENI.
Kweli jamani, TAFISIDA naungangana na mdau.
ReplyDeleteIla Albert Umenichekeshaa sana na wewe ann. wa june 10, 10:23am, you people are TOO Funny.
Obama 08.
Kweli lakini hata mimi nilipomuona BULL DOG,ndio nilichofikiria kwanza,inawezekana, labda Bull dog ndio Baby Daddy!!!!who knowz!!???
ReplyDeleteHamna cha ajabu hapo ni kwamba huyo mbwa kazaa fetus ambaye hajakamilika,huyo fetus anaonekana wazi hajakamilika katika ukuaji wake ndani ya uterus ya mbwa jike.Kamwe haiwezekani binadamu kuzaa na mbwa kwa sababu mbwa jike hana Oocyte kama binadamu,kwa sababu hatupo species moja,acheni kutukanisha ubinadamu wetu kwa hizo bestilian porn zenu
ReplyDeletegEoRGe
jamani...binadamu na mbwa hawawezi kuzaa! Hiyo ni genetic mutation tu! Msiohofu...
ReplyDeleteVijana Waungwana, taratibu,Kisayani,MBWA+BINADAMU=HAKUNA KIZAZI KINACHOWEZATOKEA.Please.
ReplyDeletePITTBULL??? looks like...
ReplyDeleteFertilization between Home sapien (binadamu) and Canis familiaris (mbwa)can take part [?] but the offspring produced will not be fertile! Haya ni mambo makubwa BUT interesting to study... Wenda tukagundua jambo hapa, kama kweli XY wa kibinadamu alimkandamiza XX wa ki-mbwa! Wadau, it is confusing but let's think twice!
ReplyDeleteSeve
Mimi nimesoma comments zote za wachangiaji zinafurahisha sana. Sijui hicho kiumbe gani labda huyo mdau wa Angola ana jibu.Ni kama mtoto wa bulldog vile. Mbona kama huyo mbwa ni mama ya hicho kiumbe anakishangaa.Mbona kikubwa ukilinganisha na puppy nyingine.Kwanini chenyewe kimelazwa kwenye (kitanda) na kimefunikwa shuka??Mda wa Angola atupe habari zaidi labda mdolly wa puppies.
ReplyDelete