Michu!
Karibu na TTCL Extelecoms House na kati ya Samora Avenue kuna bonge la mjengo linapandishwa. na mhandisi wake inaonesha ni mtu makini sana.
mdau william kaijage

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 43 mpaka sasa

  1. Tehe teh tee!

    Bwana Kaijage si useme tu umetaka tu droo atenshen yetu kwenye hizo gramatiko eraz hapo?

    Eti Construction ARE CONTINUES.

    Tehe teh tee!

    ReplyDelete
  2. khekhe that s a good one construction are continues.halafu unategemea majengo yasidondoke

    ReplyDelete
  3. kwanza kingera bomu lakini hata angekua kapatia watu wangapi wanaopita na kufanya shughuli zao hapo wanaojua kingereza

    ReplyDelete
  4. kweli makini maana hicho kiinglish kimeenda shule naona ni kiinglish toleo jipya!

    ReplyDelete
  5. Wadau mmeliona hilo tangazo nanukuu "Construction are continues" !!!! hicho ni kiingereza au kiswaEnglish ????? Kosa liko wapi hapo WADAU ????

    ReplyDelete
  6. Kiingereza kwa hapa kwetu jamani ni Janga la kitaifa. Linafuata baada ya ukimwi!!

    ReplyDelete
  7. Huyo mwandisi lazima atakuwa mrusi ay mchina. Vinginevyo kama mtanzania degree yake kainyakia Urusi au china! English not beepable!

    ReplyDelete
  8. Kaka, hao wachina tu kama sio wahindi.

    ReplyDelete
  9. NI kweli kabisa,
    Mtu makini huyu. Construction are continues!!

    ReplyDelete
  10. "Construction are continues"....kama gramma haijatulia ujenzi inakuaje?

    ReplyDelete
  11. TUSHACHOSWA NA HAWA WAHANDISI FEKI(CJUI MAKANDARASI)VYOVYOTE VILE WANABOA KWANI WANAANGALIA MASLAHI YAO BILA KUJALI UZIMA WA WATUMIAJI AMA HATA NDUGU ZAO KWANI HATA WAO PIA NI WAATHIRIKA WAKUBWA SANA WA HILO.
    BONGO NCHI IMEJAA USANII KTK ELIMU YA UHANDISI WATU WANAFOJI VYETI KWENDA MBELE YAANI FULL USANII CJUI LINI TUTABADILIKA!

    NADHANI IFIKIE MAHALI HUKUMU YA KOSA LA MKANDARASI AU MHANDISI ATAYESABABISHA MAAFA YA VIFO AHUKUMIWE KIFO ILI IWEPO WARNING SIGN,NA NDIO MAANA HAWATAKI MAHAKAMA YA KADHI SABABAU WANAJUA KUNA MIJIHUKUMU YA VIFO PIA HATA UNAWEZA MHANDISI WAKAKU........XXX SABABU YA VIJI asilimia 10 TU VITAWAPELEKA AHELA SHNZZZZ ZENU.
    HEBU MJICHUNGUZE JE MAJENGO MNAYOYASIMAMIA YANA UBORA SAWA NA NYUMBA MNAZOISHI? KAMA SIO TUNAANZISHA VITA NCHINI NANYINYI WASHNZZZZZZ SANA.

    TUTAANZA NYUMBA KWA NYUMBA NDO LAZIMA TUPATE SULUHISHO. NAWE WAZIRI WA UJENZI KAMA SI MIJENGO FEKI NA UFISADI KIDOGO KOMAA NA HEAD KTK HILI UTAUMBUKA CHEO MAANA BWANA MKUBWA JK ANATISHA SIKU HZ NI INGIZA TOA KTK BARAZA LA MAWAZIRI,HONGERA KWAKE PIA HONGERA MISSUPU KWA BLOG YA JAMII.

    NI MIMI MZEE WA UK,MASTER P INGAWA NIMEJIANONYMOUS

    ReplyDelete
  12. hee jamani lugha inatushinda, "construction are continues" wakipita wageni sii aibu!

    ReplyDelete
  13. mhandisi makini kweli CONSTRUCTION ARE CONTINUES. makini my @@@@

    ReplyDelete
  14. NAKATAA,KATAKATA,HILO BANGO HALIJAANDIKWA NA MHANDISI BALI LIMEANDIKWA NA MWANDISHI.....OTHERWISE CRUSH PROGRAMS SHOULD COMMENCE VERY SOON...BUT SORRY,IT IZ TOO LATE,SO WHT TO DO????ALWAYS ENGINEERZ BUILD THE WORLD...FULL RESPECT TO ALL ENGINEERS..

    ReplyDelete
  15. Eeeiish!!!
    CONSTRUCTION ARE CONTINUES??
    what english is that?he he he
    O M G....

    ReplyDelete
  16. Hapo hakuna Mhandisi...tuna wasiwasi na uimara wa jengo hata kabla halijajengwa!!!

    ReplyDelete
  17. Bora ujumbe ufike, gramatical mistakes doesn't matter. Huku kwa waingereza wenyewe yaani kuna watu wanaongea broken kinoma ila wanachojali ni je umemuelewa anchosema?. Hapo engineer kafikisha ujumbe japo katika broken English. "Construction are continues", angesema tu "Construction works on progress" ingesound vizuri zaidi lakini ujumbe umefika.

    ReplyDelete
  18. Duuu!!! Hicho kingereza jamani, contractor inabidi abadilishe kabla credibility yake haijatiliwa mashaka

    ReplyDelete
  19. Mwambie mhandisi makini aandike "construction in progress" sio kuandika broken swanglish

    ReplyDelete
  20. hicho Kiingereza hapo kinanitoa uchangamfu kabisa hebu wadau angalieni hiyo Sarufi i.e "CONSTRUCTION ARE CONTINUES".

    ReplyDelete
  21. ndio wasomi wa kibongo hao kiinglish zeroooooooooo

    ReplyDelete
  22. William mikono ya dume la nyani!

    hahah naona unawapiga madongo wenzako.

    Mdau WA AZANIA - USA

    ReplyDelete
  23. Poor language sio kigezo cha uduni wa fani ila ina-indicate mambo mengi yanayotakiwa kuangaliwa kwa umakini katika mhandisi huyo ikiwapo pamoja na uhalali na uwezo wa elimu yake.
    -Mtui.

    ReplyDelete
  24. Ha ha ha nimefurahi sana, sasa hao jamaa wanafanyakazi kila siku na hawaoni kuwa lugha katika hilo bango haijakaa sawa....!!!??? Hii tayari inaweza kuwa kigezo kimojawapi cha kutilia mashaka wataalam wanaohusika na ujenze huo.
    Bongo kweli tambalale

    ReplyDelete
  25. sasa cha kushangaza nini hapo?kwani huyo mdau hajui kuwa sie wabongo tupo down sana kingereza?kwanza tukijue cha nini wakati lugha ya taifa kiswahili/wewe michuzi mwenyewe lugha haipandi

    ReplyDelete
  26. "Construction in Progress" ingependeza zaidi hapo...

    ReplyDelete
  27. hiki ni kiingereza cha wapi jamani....sikutiana abu tu....!!!!

    ReplyDelete
  28. Vizuri, lakini wapitao hapo kwa miguu wengi wao kiinglishi is not rechaboo! inambidi kwa umakini zaidi aongeze kibao kwa lugha ya taifa kiswahili ili wenzangu namie kina kajamba nani tusije pigwa na "vitofa" hapo!

    ReplyDelete
  29. Hicho kimombo ndicho kinachonivunja mbavu.

    ReplyDelete
  30. Sawa mdau, naona mhandisi yuko makini ila lugha aliyotumia kachapia ni heri angeandika kiswahili tu!!

    ReplyDelete
  31. Ndio maana magorofa yana anguka kila siku. Kama kingereza kimewashinda, watawezaje ujenzi wakati lugha waliyo tumia wakati wakijifunza mambo ya ujenzi ni kingereza? Mimi sidhani kama hawa jamaa wali elimika.

    ReplyDelete
  32. KAMA ANASHINDWA KUWEKA SENTENSI INAYOELEWEKA, NAKUWACHIA NDUGU MDAU UJIBU MASWALI YAFUATAYO:

    1-ELIMU YA UHANDISI ALIIHITIMISHA VIPI ?

    2-NANI AMA MSIMAMIA NANI, JE WASIMAMIZI HAWAONI?

    3- UMAHIRI (QUALITY) YA KAZI YAKE).USISHANGAE JENGO HILI BAADA YA MIEZI 3 HALIPANDISHI MAJI JUU.MWAKA MMOJA MBELE---MWELEKA WA MGUVU

    MUNGU IBARIKI TANZANIA.
    MTANZANIA # 1.

    ReplyDelete
  33. Nimecheka "Contructions are contibues" but hii lugha ilikuja na meli hata mimi huchemsha. Just a thought though, i think now we should be translating announcements in both swahili and english.

    ReplyDelete
  34. We annon 14 1252 ulikuwa unacheka nini wakati na wewe ni kundini!

    ReplyDelete
  35. Another photoshop output! beware guys

    ReplyDelete
  36. mi mwenzenu naona kingereza kipo safi tu.

    ReplyDelete
  37. Mnawasakama bure wahandisi si ajabu huyo Mhandisi au Mkandarasi hata hajaliona hilo Tangazo lake!Mana labda litakuwa limeandikwa na Foreman. Aidha,Lugha nafikiri si kigezo kikubwa sana ktk Uhandisi; kinachodaiwa zaidi ni mahesabu!Lakini pia mnaojiona mnajua vizuri lugha mkumbuke siku za kwanza mlipoingia Majuu, na kama mliingia mkiwa mahodari wa lugha labda wengi wenu mlikuwa watoto wa vibosile kwahiyo mlisoma shule bora, na kama unaishi Bongo basi ni kati ya watoto wa waliojiweza ambao mlisomeshwa kwenye shule za International au Kenya au Uganda; vinginevyo tuliosoma shule za Mwalimu Nyerere hatuwezi kucheka au kudharau wenzetu katika suala la Lugha!

    ReplyDelete
  38. Kusema Rahisi!

    ReplyDelete
  39. hivi jamani kutojua kiingereza ni kosa?message si imeeleweka lakini?hii kasumba ya kutukuza mambo ya watu itaisha lini lakini?kwani kuchanganya michanga,kokoto,cement na maji kunahitaji kujua kiingereza?wachina,wajapani na wasukuma hawajengi vizuri kwa sababu hawajui kiingereza?hebu changieni mambo ya maana jamani.....hayo ni mkosa ya grammar tu.

    ReplyDelete
  40. Hapo sioni kosa. "CONSTRUCTION ARE CONTINUES" Hapa anamaana yaani akitumi ARE means one construction too many. yaani Construction nyingi. CONTINUES yaani hizi CONSTRUCTION hazijaisha, still continueing, They are going somewhere..hivyo anawatahadharisha hizi CONSTRUCTION zikiwa njiani ni HATARI yaani DANGER. Sijui mmenielewa?

    ReplyDelete
  41. Dah, heri mimi sijasema! Ila Kaijage inaonekana mkandarasi alikuwa na nia njema. na aliona bora FEDHEHA kuliko LAWAMA. BTW Usikute pia EPA-approach imetumika kugharamia hicho kitangazo. MDAU WA AZANIA-Kigogo

    ReplyDelete
  42. mbona mnayafanya makubwa>nani asiejua sie wabongo tupo down sana kwenye lugha!

    ReplyDelete
  43. TEH TEH...bonga bonga hivyo mwayego..

    hata ambao leo ni wataalamu wa huyo lugha..walianzia huko huko!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...