Familia ya Mheshimiwa Pius Msekwa inawaarifu ndugu, jamaa na marafiki kuwa kutakuwa na misa ya kumuombea mama yao mzazi aliyefariki 25.10.08 na kuzikwa 28.10.08 nyumbani kwake mlalakuwa Dar es salaam.
Misa hiyo itafanyika jumapili ya tarehe 7.12.08 katika kanisa la mtakatifu Anne
Gresham st
london EC2
kuanzia saa nane mchana.
wote mnakaribishwa na mungu amlaze mahali pema peponi.
asanteni
Watoto wa Marehemu Mama Erica Samwangwa Msekwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Poleni, sikuwaona kabla hamjaondoka lakini nitahudhuria misa. POLENI SANA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...