Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kizuiani iliyoko Bagamoyo akipokea vitabu vya shule kutoka kwa afisa wa benki ya NBC Henry Nyondo vilivyotolewa na wafanyakazi wa benki hiyo mwishoni mwa wiki. Vitabu hivyo pia vitatumiwa na wanafunzi wa shule ya msingi Nia Njema ya Bagamoyo pia. Katikati ni afisa elimu wa Bagamoyo Neema Robert na wa pili kulia ni Mshauri Masoko wa NBC Arden Kitomari.
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Khanifa Karamagi (alievaa ushungi) akiwa na Mkuu wa Shughuli za Kibenki wa NBC Rajinder Singh na Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Chanzige Victor Msoma katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa idara ya shughuli za kibenki ya NBC baada ya kukabidhi madawati 22 kwa shule hiyo iliyoko Kisarawe mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...