barbeque ya tembo
katika maandalizi
Kaka hiyo ni nyama ya tembo niliifumania kijiji kimoja ikikaushwa baada ya tembo huyo kuwindwa na watalii, hapo ni imebanikwa kwa ajili ya kuigawa kwa wakijiji woote wa eneo husika. Nilifanikiwa kuionja sijui wewe… Quality ya picha sio nzuri ni simu hiyo kaka.
Mdau John Mnamba



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Eeeewwwwwwww!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. Hivi jamani mnakula hata nyama ya hatembo mamkubwa !!!!subhana lilahi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...