leo nimebahatika kukutana na mpiganaji zephania musendo ambaye baada ya kupata ajali kazini hivi sasa tuko naye katika libeneke na anasema hakuna kulala mpaka kieleweke

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. ``Ajali kazini`` ndio nini michuzi ? Si useme tu jamaa ni former editor aliekua found guilty of graft, rushwa, akafungwa kwa kosa la ufisadi! Unaficha nini Michuzi?

    ``Upiganaji`` wake unakuja vipi sasa michuzi? Hebu tueleze.

    Unakuwa kama na wewe unatetea tetea ufisadi, Watanzania tujifunze kuji-distance na characters zilizokuwa tainted with corruption. Ni sawa na Masha alipoenda kuwaona Yona na Mramba jela, nishai.

    ReplyDelete
  2. Mzee Zeph, Nakuona!

    Happy Holidays to you and your family!

    ReplyDelete
  3. Du Side wewe kiboko. Kama watanzania wote tungekuwa mentali kama yako, ya kuwaogopa kama ukoma hawa convicted felons, basi watu wangeogopa kufanya mambo yatakayowapelekea kufungwa, kama ya ufisadi (mdogomdogo au mkubwamkubwa)

    ReplyDelete
  4. JAMANI JELA NI HATARI NA KUBAYA , HUYU JAMANI SIKU ALIYOTOKA JELA ALIKUWA MZEEEEEEE, LAKINI EBU MUONENI SASA NI KIJANAAAAAA. JELA SI MCHEZO.

    ReplyDelete
  5. Yeah! Hata mimi nimeshangaa sana. siku ile aliyotoka jela alikua mzee sana. Nikazania ni kibabu cha watu. Leo naona yupo young yaani bado anadai kabisa.Jela sio mchezo.

    Na Michuzi kaka yangu UKIURAMBA unapendeza kweli. Ungekua unavaa hivyo kila siku.

    ReplyDelete
  6. Ajali kazini mimi nilifikiri ameyakanyaga mawaya kumbe ni fisadi..Michuzi acha kukumbatia mafisadi na kusema ajali kazini. Kemea kama pepo mchafu. Ushindwe na ulegeee katika jina la bwana

    ReplyDelete
  7. Mpiganaji natumaini hata Fisadi tena.

    ReplyDelete
  8. Samahani mimi ni mshamba kidogo hivi kwa nini hawa watu wa habari unawaita wapiganaji hivi ina mananisha nini? maana yake nikisoma baadhi ya article zako nakutana na mpiganaji ila anafanya kazi katika media. navyoelewa mimi wapiganaji ni kama wanajeshi. nahitaji ufafanuzi tafadhali najua kiswahili kinakua naweza kuwa naachwa. Natanguliza shukrani.

    ReplyDelete
  9. anonymous wa December 23, 2008 8:47 AM huko peke yako, tupo wengi tunaoshangazwa na matumizi wa neno wapiganaji. ona post ya wale waliozawadiwa kwa kutowa taarifa za conflict ya komoro. mimi nilidhani hao jamaa ni majeshi kwa jinsi post ilivyo ripotiwa!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...