maiti ya mtoto leticia aliyeuliwa kikatili majuzi huko sengerema
maiti ya mtoto leticia ikiwa imenyofolewa miguu

askari wakiwa katika eneo la tukio

NAUNGANA NA MDAU WA LUKWANGULE.BLOGSPOT.COM KUZIWEKA PICHA HIZO HADHARANI KWA ROHO NZITO HUKU SOTE TUKIJUA FIKA KWAMBA ZIKO IN BAD TASTE NA TOO GRAPHIC.
LAKINI HII NDIO HALI HALISI NA NDIYO ILIYOMTOA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA BUNGENI, KWANI KUNA AMBAO HAWATAKI KUELEWA KWAMBA UNYAMA HUU UPO NA KUNA WANAODHANI NI UTANI KWAMBA ALBINO WAKO KATIKA HALI YA WASIWASI KILA KUKICHA, BILA KUSAHAU AIBU KUBWA AMBAYO TIAFA LETU INAPATA KWA UKATILI HUU WA WACHACHE WENYE NIA YA KUPATA UTAJIRI WA HARAKA HARAKA.
GLOBU YA JAMII INALAANI MAUAJI NA UKATILI WA ALBINO NA KUITAKA SERIKALI IZIDISHE MAPAMBANO DHIDI YA WAHUSIKA. MANENO MATUPU KAMWE HAYATOSHI. TUNAHITAJI SI VITENDO TU, BALI PIA MABADILIKO.
HABARI KAMILI SOMA HAPO CHINI
---------------------------------------------------------
SAKATA la mauaji ya kinyama dhidi ya msichana mwenye ulemavu wa ngozi (Albino)wilayani Sengerema mkoani mwanza limeingia katika sura mpya,baada ya mdogo wa marehemu kudai kuwa baba yake mzazi alikuja na watuhumiwa kutoka kwenye kilabu cha pombe na wanaodaiwa kumuua na kasha kumnyofoa miguu yote miwili Dada yake.

Akizungumza na Mwandishi wa habari hii katika eneo la tukio Mtoto huyo Leticia Bahati(8)ambaye ni mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi ya Kashindaga,alisema kuwa siku ya tukio majira ya usiku ambayo hakuweza kujua ilikuwa ni saa ngapi,baba yake mzazi alikuja na kuwaamsha ili wamfungulie mlango.
Alisema kwa kuwa yeye na Dada yake ambaye sasa ni marehemu walikuwa wamelala sebuleni tena mlangoni walikuwa wa kwanza kuamka na kumfungulia mlango Baba yao,ambapo kabla ya kuingia ndani ya nyumba alisikia baba yake akizungumza na watu nje ya nyumba ingawa hakuweza kujua ni watu w aina gain.

‘Aligonga mlango na dada akamfungulia kwa sababu sisi tulikuwa tumelala sebuleni karibu kabisa na mlango,lakini kabla ya baba kuingia ndani mimi na dada tulisikia baba akizungumza na watu nje ya nyumba hatukufuatilia kwa sababu tulijua labda ni marafiki zake kwa sababu mara nyingi huwa anakuja usiku lakini siku hiyo alikuwa amechelewa sana………’’ alisema mtoto huyo.

Huku akizungumza kwa lugha ya kisukuma mtoto huyo alisisitiza kuwa……….Akiza bababotiku….ogonga nyango,tomwigolela aho atale kwengela twigwa aleyomba na banho hanze aleyo tolabhatebhile………’’(alikuja baba usiku akagonga mlango tukamfungulia lakini kabla hajaingia ndani ya nyumba tukamsikia akizungumza na watu nje ambao hata hivyo hatukuwajua)….’.
Alibainisha kuwa baada ya baba yake kuingia ndani ya nyumba Dada yake ambaye ni marehemu alimtengea chakula chumbani alipokuwa amelala mama yake,na kisha wao kurejea kulala ambapo baada ya muda mfupi ndipo walipovamiwa na dada yake kuuawa kabla ya kunyofolewa miguu yote miwili na watu ambao hakufanikiwa kuwaona kutokana na kulazimishwa kulala kifudifudi.

Mtoto huyo ambaye alikatwa sehemu ya kidole gumba chake cha mguu wa kulia na panga wakati marehemu dada yake akinyofolewa miguu kutokana kulala karibu naye,alisema watu hao walikuwa wamejifunga vitambaa vyeusi usoni kwa ajili ya kuficha nyuso zao na kwamba kabla ya kumlaza kifudifudi walimpiga na ubapa wa panga mgongoni.

Alisema siku hiyo dada yake aliamua kulala sebule na kukataa kulala chumbani pamoja na wenzake kutokana na wadudu aina ya kunguni ambao walikuwa wakiwauma sana,ambapo naye aliamua kwenda kulala na dada yake sebuleni kabla ya kukumbwa na mkasa huo usiku.

Hata hivyo akizungumza na Gazeti hili muda mfupi kabla ya kutiwa mbaroni Baba Mzazi wa Mtoto huyo Bahati Lugwisha (53)alikiri kurudi usiku siku hiyo tofauti na siku zingine,kwa maelezo kuwa alikuwa akinywa pombe katika kilabu cha mtu mmoja wa kijijini hapo aliyemtaja kwa jina moja na Simon pamoja na rafiki zake.

Tayari jeshi la polisi linawashikilia watu wanane akiwemo Baba mzazi wa mtoto huyo kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya kinyama dhidi ya msichana huyo.
Habari kutoka ndani ya jeshi la polisi wilayani Sengerema zinaeleza kuwa bado polisi inaendelea na msako dhidi ya watuhumiwa wengine wanaodaiwa kutoroka kutoka kijijini hapo mara baada ya kutokea kwa tukio hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 109 mpaka sasa

  1. Jamani watanzania hivi haya mambo ya uchawi yatatufikisha wapi ? Mbona wenzetu ulaya wanaendelea kwa nguvu zao wenyewe? Hivi ni vipi kweli kwa kumuua binadamu ambaye hana hata senti itakupa utajiri? Mbona hao waganga wenyewe wote ni masikini kufa, je hawataki kuwa matajiri hao wenyewe? Mimi naona kwa sasa serikali yetu itenge sehemu kila mkoa kusaidia maalbino wote waishi humo kwa ulinzi mkali, na naungana na Pinda waganga wote wanyang'anywe leseni zao, mpaka haya mambo yaishe kabisa. AIBU, AIBU AIBU TANZANIA.

    ReplyDelete
  2. Michuzi tufike wakati tufikirie kiundani sasa,hivi mauaji haya ni kwa utajiri tuu au na ujinga wa wanasiasa kubaki madarakani umo?mbona kesi za hawa ni ndogo kuliko hata ubakaji?
    mbona kutumia siasa za matusi jukwaaani wanaziwekea mikakati ya adhabu kali?
    hapana bwana bwana wanasiasa acheni kumaliza ndugu zetu kwa kutaka kuabaki madarakani halafu mnasingizia matajiri, napenda kuona mtu akinyongwa kwa kosa la mauaji ya alibino haraka.
    au la sivyo afungwe japo Maisha

    ReplyDelete
  3. Dear God,
    Please bless the soul of this child and anyone that has been brutally killed through selfish reasons of people who are doing it for their own private gains.
    Please protect them lord and guide them
    AMEN.

    ReplyDelete
  4. jamani hu ni ukatili wa hali ya juu sana.
    Lakini kwa wale wasomaji wa biblia na wanaojua maandiko matakatifu haya amambo yalitabiriwana sasa yanatokea kwamba watu watauana wenyewe kwa wenyewe.
    Waziri mkuu aliposema watu wakikamatwa wauliwe , watu walileta siasa lakini kweli kwa hali kama hii hakuna binadamu ambaye angeweza kujizuia.
    Huyo baba aeleze ukweli lazima anajua na alikula nao dili wakamnunulia pombe akawapa mtoto.
    yeye kama mzazi alichukua jukumu gani wakati mtoto wake anakatwa mimi naamini kama mzazi ukiona mtoto wako anafanyiwa tendo la kinyama kiasi hicho lazima pombe ikutoke sasa alifanya juhudi gani kuzuia hao watu wasimkate mtoto wake.
    Maana mpaka wakakata mfupa wa mguu na kuondoka nao alishidwa kupiga kelel jamani au hicho kijiji hakina watu.
    mimi sijui

    ReplyDelete
  5. Hii habari inasikitisha sana. Wananchi wanahitaji kuelimishwa sana katika hali ya upendo, malezi bora wakati huo huo wakitafuta mbinu za kukabiliana na hali ngumu ya uchumi. Huyu baba anastahili adhabu kali iwe mfano kwa wengine.

    ReplyDelete
  6. i really dont know what we should really do as a nation to condone this behaviour, i actually agree with Mizengo Pinda, these people should be immediately hanged or killed and on the spot !
    most of the aggrieved are those living in the villages, i sincerely hope that other humanitarians organs will step in and assist us in this calamity, i am actually unable to continue working it is so sad and i have no mercy for people of that nature, how could such innocent children/men/women die that brutally, i would propose the killers should be killed publicly by chopping off their heads, this will teach a lesson or two to people...

    ReplyDelete
  7. uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.daaa; duniani humu kuna ukatili watanzania wenzangu,Ee MOLA kama uko likizo anza kazi sasa uwahukumu hawa wauaji. jamani hivi baada ya hou utajiri nini next? jee utaenda mbinguni na hou utajiri?

    ReplyDelete
  8. NATOA PONGEZI KWA MR MICHUZI KWA UJASIRI WAKE WA KUTOA HILI TUKIO KWA BLOG. BINADAMU UMETUTOKA TUMEKUWA WANYAMA.
    UNAUWA ILI UWE TAJIRI?!!!!.
    UTAJIRI GANI USIO NA FURAHA HUO, KAMWE WALIOFANYA UNYAMA HUO??? WASIDHANI WATAISHI MAISHA YA FURAHA, MPAKA KABURINI WATAENDA MIOYO YAO IKIWA IMESINYAA NA KIAMA KIKIJA NI MOTONI TU.

    UTAJIRI UNATAFUTWA ILI KURIDHISHA ROHO NA KUISHI MAISHA YA FURAHA HAKIKA WANABLOG. UTAJIRI NI MIBARAKA TOKA KWA MUNGU NA UJA KWA KUFANYA KAZI KWA BIDII NA NDIPO MUNGU ANAKUBARIKI/REHEMU.

    MAWAZO YA KIUTAJIRI NI UTUMWA MAMBOLEO. SIO VIBAYA KUWA TAJIRI ILA KUMBUKENI UTAJIRI/MALI PAMOJA NA FURAHA UNAKUJA KWA KUFANYA KAZI KWA BIDII NA MAARIFA NA NDIPO MUNGU ATAKUBARIKI WEWE NA VIJUKUU VYAKO NA SIO KWA DHULUMA.

    YOYOTE APATAE MALI KWA DHULUMA JUWA KILE UNAHOKUSUDIA FURAHA HUTOIPATA KAMWE MPAKA KIFO NA MAISHA YAKO YOTE YATAISHIA KUJUTA NA MALAANA MPAKA KWA VIJUKUU.

    ENYI BINADAMU MRUDIENI MUNGU WENU KWAKE UTAPATA KILAKITU.

    MWANA MBOG RRRRRRRRR

    ReplyDelete
  9. THIS IS BIG ISSUSES I DO KNOW WHAT CAN WE DO? ILA MI NAFIKIRI MUESHIWA MIZENGO ALIKUWA ANA WAJIBU MKUBWA SANA WA KULIA TENA IKIWEZENAHATA KWA SAUTI ILA CHA UMUHIMU BABA WA WATOTO HAO ABANWE VIZURI MPAKA ASEME UKWELI ULIPO ASKARI MKO WAPI JAMANI SI MLIAMBIWA MUWALINDE HAWA WENZETU JAMANI.BINAFSI INANIUMA SANA MANAAKE NAFIKIRIA KAMA MIMI NINGEKUWA ALBINO KAMA HAO INGEKUWAJE?MDAU NGATUNGA

    ReplyDelete
  10. Bwana Michuzi huu ni ukatili na unyama usiomithilika kabisa.

    Yaani hapa nilipo machozi yananilenga lenga karibu nilie.

    Sasa NAKUBALIANA KABISA NA ILE KAULI YA KWAMBA HAWA WAUWAJI NA WAO WAUWAWE PAPO HAPO!!

    ReplyDelete
  11. Juhudi zetu wote wananchi zinahitajika kumaliza kabisa hili janga. Vyombo vya dola peke yake havitoshi.Ni masikitiko makubwa na aibu kubwa sana kwa taifa kama letu linalosifika kwa kua na amani.

    ReplyDelete
  12. poleni wadau,
    Ningependa kuungana na wafiwa katika maombolezo ya tukio hili la kutisha na la aibu kwa taifa. Mimi wadau nina maoni tofauti sana kuhusiana na suala hili la Mauaji ya ndugu zetu walemavu wa ngozi, wengi wanasema ukosefu wa elimu sawa wako right lakini tusubiri mpaka Albino wote wafe ndipo tuanze kuelimishana? Tusipende kuchukulia mambo kijuujuu siku zote jamani,hili si sahihi.
    Mimi siamini kuwa serikali inafatilia kiukaribu suala hili kila siku ya mungu kukicha, ingekuwa ukwepaji wa kodi vijijini wahusika wangetegwa na hata kuwindwa Alfajiri ili wakamatwe, tukumbukeni kipindi cha kodi ya vichwa,msako uliofanya ulihusisha kila kundi la wanausalama from viongozi wa vijiji,polisi mpaka Mgambo na wahusika walikiona cha moto,Inakuwaje wasitumie mbinu hizohizo kuwasaka hao wahalifu?
    Mimi bado siamini km linashindikana hilo. Vilevile by this time kwanini isitolewe tamko na serikali kuweka kambi za kuwatunza hawa ndugu zetu wote? isiwe kwa baadhi km walivyochukuliwa na makanisa. mimi sidhani km hilo nalo linashindika, ok km tatizo ni kuwahudumia itangazwe mkakati maalum wa kuwachangia mahitaji kutoka kwa wananchi basi km ilivyokuwa kwa timu yetu stars na slogan ya Changia Stars,halafu kipindi wapo makambini huku wakipata huduma za kijamii km kawaida kmvile elimu, matibabu n.k ndipo tuendelee na kampeni ya kuelimisha jamii nchi nzima ambao wanapewa viburi vya kuambiwa wana elimu potofu, jamani haya yote hayashindikani!
    Jamani tusingoje mpaka binadamu wenzetu wenye haki ya kuishi km wewe wauwawe kwanza ndipo tupeleke ma-defender haraka na mabunduki makubwa mkadhani ndio suluhisho la kudumu, sio sawa mkae mkijua.
    Inahudhunisha sana kampeni yote iliyofanywa na Waziri mkuu kanda ya ziwa lakini bado watu wanaviburi visivyokuwa na mfano.
    km yote haya yatashindikana basi tutangaze ni tatizo la kimataifa, tusiogope kwasababu ni aibu halafu ni dhambi kubwa, tutashindwa hata kujitetea kwa mungu kesho wadau hata ukiulizwa hatua gani ulizichukua kusaidia suala hili la kikatili? mtabaki na vigugumizi.
    Mimi nitasimamia msimamo wangu uleule bado wana-wausalama hawajakuwa serious km inavyotakiwa. Km kuna vikwazo wanakumbana navyo waseme wasisubiri mpaka mtu anyofolewe kiungo chake ndipo tuwaone busy kny vyombo vya habari na hata kuitisha mikutanao ya ghafla na wanakijiji.
    Serikali serikali serikali,km kweli hili tatizo mnataka kulitokomeza anzisheni makambi ya Albino wote sehemu moja haraka, ikiwezekana waleteni hata Dar es Salaam tuwahudumie wananchi kwa nguvu zetu wenyewe. Suluhisho hili litasimamisha kwanza maendelezo ya mauaji. Aibu kubwa sana kwa taifa km bado tunaishi km wanyama, halafu tunasema tupo kny karne ya 21,hii ni kweli?
    Wadau hiyo picha iliyowekwa inasikitisha na inaumiza sana km kweli una roho ya kibinadamu, ondoa wale wahusika ambao wanashangilia saiv kwa kujiita mashujaa na hata kujiona wameula maisha.
    Ningependa kutoa pole kwa wafiwa wote kwa janga hili la kutisha na la aibu kwa taifa. Tupo pamoja ipo siku mungu atasikia vilio.....
    Ni mimi Mdau,
    Chebby.

    ReplyDelete
  13. KAKA MICHUZI MIMI HAPA SINA HATA LA KUONGEANAHISI 100% KAMA NIMEFANYIWA KWA MWANANGU NILIYEMZAA,ROHO INANIUMA,MACHOZI YANANITOKA,NA WIKI NZIMA NITAOMBOLEZA KWA MSIBA HUO WAKUSIKITISHA NA NISIOUJUA!POLE SANA NDUGU YANGU NA AHSANTE SANA KWA PICHA MUHIMU ZA KUTUSIKITISHA!KAZI NJEMA.

    ReplyDelete
  14. Inasikitisha mno,I never thought Tanzanians could have reach this far.
    I have two proposals:
    1.Napendelea kama kuna mdau ana email ya Mheshimiwa MB. Hamad Rashid anitumie nimtumie hizi pictures hope atamuelewa mheshimiwa pinda.
    2.Nafahamu si vizuri kuzionesha picha kama hizi publicly,ila naona kuna haja ya kuziweka kwenye TV na Magazeti ili watu waone ukubwa wa suala hili(It's really touching)

    ReplyDelete
  15. JINO KWA JINO KUM...NINA...KWANINI ADHABU ISIWE DEATH PENALTY HADHARANIIII????......Itabidi AWAJIBISHWE MTU SERIKALINI.......Serikali inayolea WAUWAJI.......Noooooooooooooooo

    ReplyDelete
  16. Waziri Pinda alisema tuwauwe hawa wanaoua Albino nyinyi mkaaanza kuleta za kuleta.Sasa huyu maskini mtoto wa watu kakosa nini mpaka kumuua kifo cha mateso namna hii???

    ReplyDelete
  17. INA LILLAHI WAINA LILAHI RAJIUNA!!
    hawa wa2 niwauwae tena kwa moto! hii inatisha!
    TYLER TX.

    ReplyDelete
  18. kweli ni bas taste, lakini mimi naona bora uziweke ili tufahamu uhalisia wa kinachoendelea hapa bongo. Hapa nilipo namwaga machozi zaidi ya Pinda.

    ReplyDelete
  19. Inna Lillahi wa Inna Ilaihi Raajiun.

    sasa umefika wakati wa kuwa na public execution after conviction, enough is enough.

    (US Blogger)

    ReplyDelete
  20. HUYU WAZIRI WA ULINZI BWANA MASHA NAONA AMESHINDWA KAZI, INABIDI AJIUZURU TU MANAKE ALISHAHOJIWA NA AKASEMA ETI MAUAJI HAYA NI JAMBO DOGO.. YAANI HILI NI JAMBO DOGO..!!! JAMAA ANATOA SIKU SABA KWA MENGI KWA SABABU AMETOA SHUTMA ZINAZOMHUSU YEYE BINAFSI LAKINI NDUGU ZETU WANAPOUWAWA ANASEMA ETI NI JAMBO DOGO.. JAMANI WE NEED TO DO SOMETHING HUYU JAMAA AACHIE MADARAKA MARAMOJA.INGEKUWA NI ULAYA MPAKA LEO KUNGESHAKUWA NA WAZIRI MWINGINE LONGTIME.
    MICHU USIIBANIE HII.. NINA HASIRA SANA NA HAWA WANAOJIITA WALINDA AMANI

    ReplyDelete
  21. Yaani nimekaa kwa muda ili nipate nguvu japo ya kuchangia kidogo,hii news inaskitisha na kusema kweli nimeshindwa kujizuia chozi limentoka, bt y?? baadhi ya waTz wanaamini utajiri au madaraka(uongozi) lazma uupate kwa njia hiyo ya ushirikina? kwani kujituma na kutumia akili ipasavyo hautoendelea?yaani ni maswali mengi majibu machache...
    ee mungu isaidie nchi yetu pendwwa yenye kusifika kwa amani dunia nzima mh!!!!
    plse JK ujue bado tunakuaminia fanya mambo na inabisi wauawe hadharani hao jamaaa.
    kwa kweli hali mbaya kwa ndg zetu hawa.
    Nawapa pole ndugu na waTZ kwa ujumla.

    mdau wa ughaibuni

    ReplyDelete
  22. Inatisha, inasikitisha sana. hata enzi za kale za mawe binadamu hawakufanyiana hivi. walikuwa wakiwinda wanyama!! Lakini papo hapo sikubaliani na wale wanaosema kupinga kauli ya Pinda ni siasa. Ukisema kila anayedhaniwa kuwa muuaji ashughulikiwe na wananchi, kijiji kizima kitamalizana. Hata huyo baba inaweza kudhihirika baadaye kuwa hausiki kabisa. vyombo vya dola ndio vya kulaumiwa. hawajafanya kazi wanayopaswa kufanya na tunawalipa hela za walipa kodi.

    ReplyDelete
  23. Kwanini KWanini!!! A serious punishment is deserved to those involved. Huyo baba awe mmoja wao. Mh Pinda. said it right - watu wakaleta siasa. Why deliberation wakati TIME TO ACT IS NOW!!!! Tuache upumbavu wa karne zilizopita.. UGANGA IS BULLSHIT. nchi inayoamini upumbavu huu kamwe itabaki kuwa maskini...

    ReplyDelete
  24. Jamani dunia imekwisha kabisaa. Naomba niwaulize wale waliombeza Mhe. Waziri Mkuu kuwa amekiuka sheria wapo wapi? Mtu anakamatwa au anahusishwa na vithibitisho tosha vipo bado unasema uchunguzi ufanyike huku mauwaji yanazidi. Kwanini hukumu kali zisitolewe mapema kuliko kupoteza muda bure? Maoni yangu aliyeuwa naye auawe. Hao wanaoitwa wanaharakati wa kupinga sheria ya kifo ndio wanaozidi kuchochea haya mambo. AUAYE KWA UPANGA NAYE AULIWE KWA UPANGA. Inauma sana, hebu jaribu kukaa kimya umchukulie huyo marehemu kama ndio mwanao wa kumzaa umfanye ndio kafanyiwa kitendo hicho unausikiaje moyo wako. Ewe Mungu Tuokoe na janga hili

    ReplyDelete
  25. HIVI RAIS WETU KIKWETE, KITU GANI KINAKUFANYA UFIKIRIE KUWA MH. MASHA "IS FIT FOR PURPOSE", P'SE KAMA HAWEZI KULIONA HATA HILI, TUNAOMBA AJIUZURU. WAZIRI WA MAMBO YA NDANI KAMA ANA MOYO KAMA WATU WENGINE NADHANI "HIS OFFICE IS NO LONGER TENABLE"...ANANG'ANG'ANIA TENDER ZA VITAMBULISHO NA HAJARI MAISHA YA RAIA.

    NIMEFUATILIA SANA MASWALA YANAYOHUSU WIZARA YAKE YANAVYOMSHINDA KUELEWA KWA SABABU "FOCUS" YAKE HAIPO KWENYE MANTIKI YA KAZI ANAYOTAKIWA KUFANYA.

    MASHA TUMIA HEKIMA, ACHIA NGAZI, NINAUHAKIKA HIYO KAZI HUIWEZI, HII INASABABISHA WATU KAMA PINDA KUSHINDWA HATA KUFANYA KAZI ZAO KWANI HATA KAZI YAKO INAKUWA YAO.

    PINDA "HAS TO BE FORGIVEN FOR HIS COMMENT ABOUT OUR BROTHERS AND SISTERS (ALBINO)WHO ARE DYING ON OUR WATCH".

    SASA MASHA! KWELI HATA HICHO KISUKUMA CHA HUYO MTOTO UTASEMA HUELEWI????? EMBU JIUZURU WAINGIE WATANZANIA WANAOIJUA TANZANIA.

    NILIFUATILIA HATA ALIVYOCHUKULIA ISSUE YA WAKIMBIZI WALIOKAA TANZANIA ZAIDI YA MIAKA 36, KAULI ALIZOKUWA AKIZITOA KWAO...ILIKUWA INASIKITISHA "TO ME IT WAS SOMETHING LIKE POLITICAL IMMATURE...HE IS NOT FIT FOR THE OFFICE. SASA HAWA ALBINO HATA SI WAKIMBIZI LAKINI HILI PIA HALIONI?

    ENOUGH IS ENOUGH.

    ReplyDelete
  26. BABU SEA NA WANAWE WALIFUNGWA HARAKA MNO KWA KOSA LISILOELEWEKA MPAKA LEO HAYA HAWA WANAOWAUA MA ALBINO MBONA MNACHUKUA MUDA SANA....SASA NDIO TUNAPATA PICHA NINI KINAENDELEA SERIKALINI NA WAKUBWA WA NCHI YETU...

    ReplyDelete
  27. Adhabu ya hawa watu iwe ni Kifo tu tena cha hadharani (Death by Hanging)kwa kuning'inia kwenye kamba.Hatuna jingine la kufanya,hawa watu naogopa hata kuwaita "Mbwa" kwasababu Mbwa ni mnyama mstaarabu mno na anapenda kuishi na binadamu yeyote! Hawa watu sio wenzetu,hawana hata chembe ya Utanzania,na hawafai kuishi hapa nchini.Kwao ni kule Jehanamu.Tusifanye mchezo na hawa washenzi.Tukio liingine likitokea,mara moja eneo lote liwekwe chini ya Karantini,hakuna cha kuingia wala kutoka,msako wa mtu kwa mtu kwa kwenda mbele!Wezi na Majambazi wanaweza kubanwa na wahusika halisi wakajulikana,itakuwaje hawa wauaji wa ma albino ishindikane kuwabana kwa namna yeyote ile hadi wataje nani wahusika wenyewe?Hapana.Sasa imetosha.Lazima Taifa litangaze Vita dhidi ya Majambazi yaliyojikita katika mauaji ya ndugu zetu Albino.Sungusungu wako wapi jamani?Huyu Mzazi aliyechelewa kurudi nyumbani na huku akijua nyumbani kwake ana watoto Albino alikuwa na dhamira gani?Hao waliomsindikiza walikuwa na nia gani,toba?Kwa kweli,safari hii tutataka kusikia wahusika katika tukio hili ni kina nani na wao wenyewe watoe "public confession" kupitia vyombo vya habari kama Tv na Redio na Magazeti wao wenyewe wakielezea kuhusika kwao na Kutubu kwao hadharani.Adhabu kwa watu hao ni Kifo tu peke yake.Wakinyongwa wahalifu kama Kumi hivi watu watashika adabu na matukio haya yatapotea kabisa.Tusiwe na Huruma katika hili.Taifa litangaze Vita.Tukio likitokea eneo lote husika liweke chini ya Karantini.Msako nyumba kwa nyumba,mtu kwa mtu,lazima watapatikana au watatajana.Lazima wapewe Kibano cha nguvu sana.La,tunakwenda wapi watanzania jamani?Huu si wakati wa kulaumiana.Kushamiri kwa Ushirikina ni dalili ya kukithiri kwa umaskini,ujinga na kutomcha Mungu!Rais Kikwete litolee Tamko tukio hili!Inawezekana kabisa kutokomeza Unyama huu hapa nchini.

    ReplyDelete
  28. Wow! Mheshimiwa waziri mkuu Pinda alikuwa na kila sababu ya kusema hawa watu wakishikwa wauwawe. Yaani huu ni ukatili wa hali ya juu kabisa uliojitokeza katika nchi yetu. Hiyo sio kutafuta utajiri wala madawa bali ni kujiletea laana katika kizazi chetu. Waziri wa mambo ya ndani yuko wapi? Maanake serekali ilitakiwa toka mwanzo ilipe hili jambo umuhimu mkubwa. Hapa tulipofikia ni pabaya na inabidi JK kuliingilia.

    ReplyDelete
  29. Wow what a sad story, jamani inabidi tuwe na ulinzi mkali kwa wenzetu albino.. Hao watu inabidi wanyongwe kwenye public area ili iwe fundisho kwa wengine la sivyo huo upuuzi utaendelea kila siku.. God bless Tanzania and their people...

    ReplyDelete
  30. NIMEPATA UCHUNGU KIASI CHA KUSHINDWA KUANDIKA COMMENT YANGU. POLENI SANA WAFIWA. KWA KWELI NIMEJIKIA UCHUNGU SANA BAADA YA KUONA PICHA HIZI. INATIA HURUMA SANA SANA SANA. MUNGU AWAPE UJASIRI. TUNAOMBA SERIKALI IWATAFUTE WAUAJI KWA UDI NA UVUMBA HADI WAPATIKANE. THE INNOCENT GIRL IS DEAD KWASABABU YA TAMAA ZA WATU WACHACHE!

    ReplyDelete
  31. Jamani... Inasikitisha sana sana. Mwenyezi Mungu ninakuomba uilaze pema roho ya marehemu Leticia pamoja na roho za wahanga wengine wa matukio haya mabaya na ya kutisha. Watanzania wenzangu mnaowaua hawa wapendwa wenzetu, ACHENI KUWAUA maana huo sio ubinadamu, tunatia aibu jamii nzima ya kitanzania na hata taifa letu kwa ujumla, mtalibadilisha jina taifa letu kwani tunajulikana kama ni wapenda amani, kisiwa cha amani lakini sasa ndio tunaongoza duniani kwa kuwauwa wapendwa binadamu wenzetu maalbino!! Ni aibu nasema tena ni aibu pia ni fedheha kubwa. Ukifika ughaibuni ukajieleza kuwa unatoka Tanzania kila mmoja anakugeukia nakukuulizia mauaji hayo, jamani inakera na kuudhi ikizingatiwa kuwa wanaofanya hivyo ni wachache ambao vichwa vyao yaani akili zao zimeathirika kwa ushirikina, wao cha maana zaidi kwao eti ni utajiri na umaarufu wa kisiasa!! wakati huo ni upuuzi tena ni ujinga kwani hata hao wanaowashauri wakawauwe wenzao (waganga) wengi wao ni masikini tena wakutupwa! Naishauri serikali kuharakisha mchakato mzima wa kumaliza kabisa janga hili kwani najua kuna kitu serikali inakifanya kama Mheshimiwa JK alivyotueleza siku za karibuni ila nadhani spidi iongezwe kwani ndugu zetu na wapendwa wetu bado wanaendelea kuuawa kikatili!! - Ben

    ReplyDelete
  32. Japo ni kweli zinatisha na pengine ni kinyume cha maadili ya uandishi, lakini nadhani ni muhimu ili kuwaleta watu karibu zaidi na kile kinachowakuta ndugu zetu. Asante Michu kwa juhudi hizi.



    Wengi na hasa wanasiasa walimshutumu Mtoto wa mkulima kwa ile kauli yake, Lakini hebu mimi na weye tujiweke kwenye nafasi ya mtoto huyu asiye na hatia alafu aje mtu akutendee namna hiyo je utajisikiaje? nina hakika hawa jamaa hawakuwa na ganzi yoyote ya kumpunguzia uchungu mtoto huyu bali walikamata mguu na kufweka kama wanafyeka mti vile.

    Au fikilia kuwa upo hapo kwa bahati ndo hao jamaa wanaingia na kuanza unyama huo, ikiwa una roho ya nyama na si ya chuma utafanyaje???? tujiulize tujivuswali kama hivyo tu kwanza ndo tutaona kwanini Mtoto wa Mkulima alifikia kutoa kauli aliyotoa na zaidi kutoa chozi kwa wale walioshindwa kumwelewa au kumwelewa ndivyo sivyo.


    wadau je tufanye kuutokomeza unyama huu????????????????

    MUNGU AILAZE MAHALI PEMA PEPONI ROHO YA MAREHEMU.

    ReplyDelete
  33. SERIKALI TENGENEZENI KAMBI MAALUMU KWA AJILI YA ALBINO.

    WAHAMISHENI ALBINO WOTE AMBAO WATAKAUWA TAYARI KUHAMA KUTOKA KOKOTE WALIKO NCHI NZIMA WAKAISHI ENEO MOJA AMBAPO WATAPATIWA ULINZI WA KUTOSHA

    SASA HIVI HATA ULINZI WA KIFAMILIA SIO WA KUAMINIKA TENA, KAMA HUYO BABA AMBAYE ANAURAFIKI NA WAUAJI WA MWANAE, AU YULE MWINGINE ALIYEKUWA TAYARI KUMUUZA MWANAE AMBAYE NI ALBINO.

    CHONDE SERIKALI MAMBO KAMA HAYA YANATISHA NA YANATIA AIBU KWA TAIFA.

    ReplyDelete
  34. Rest in peace mtoto Leticia..

    Inauma sana sanaa..sina maneno ya kuweza kuelezea hili..ni ukatili wa hali ya juu...

    Yaani bora hata unyama maana simba hawezi kumfanyia hivi simba mwenzake.
    Yaani huu ni UKATILI hata shetani mwenyewe anaweza kuogopa nini huyu ibilisi anachofanya...


    Something should be done regardless efforts zilizokwisha fanyika..

    NOW...I UNDERSTAND KAULI YA MH PINDA NA MACHOZI YAKE...

    Poleni sana wafiwa na jamii yote tuliyoguswa..

    Tuumize vichwa nini kifanyike..inauma sana

    ReplyDelete
  35. Hivi kweli watanzania tuko serious??? Rais alimfuta kazi mara moja DC wa Bukoba just kuchapa bakora walimu. Huyu Masha na the current IGP Afande Saidi Mwema wanafanya nini? Hawajajiulu tu??Wako bussy kushughulikia vitambulisho wakati watanzania tunaangamia?? Kuhangaika mabishano na akina Slaa, Mengi na n.k. wakati huo watu wanachinjwa kama ng'ombe machinjioni?? Hata ng'ombe anachinjwa shingoni. Binadamu anauawa kwa kukatwa miguu kama senene!!!! Halafu tunajivuna kwamba tuna wizara ya mambo ya ndani? Utawala bora, nchi inayoongozwa kwa misingi ya sheria. Je hii ndiyo misingi? Sijasikia hata siku moja muuaji wa albino amehukumiwa kunyongwa na akanyongwa.
    Hivi albino wako wangapi kwenye kila kitongoji, mtaa/kijiji, , kata, tarafa na hatimaye wilaya. Hakuna uwezekano wa kuwapa ulinzi shirikishi kweli? Kati ya watanzania 40 million, nadhani albino waweza kuwa laki moja au mbili tu. Je haiwezekani kuwalinda? Kwa nini kusianzishwe hata sehemu maalumu kwa kila tarafa ambako wataishi wakilindwa na vyombo vya dola? Hawa majaji na mahakimu hizo kesi za awauaji wa albino zinafanyiwa upelelezi for 10 years?? Kwa nini za akina Zombe zinaendeshwa chapuchapu?? Muh. Pinda aliposema anayeua naye auawe immediately, nchi nzima ilimshambulia!! We seem to be not serious at all!! Niko hapa Norway kila mmoja anauliza what is wrong with Tanzania!! Hivi kweli tumeshindwa kupata ufumbuzi? Basi tuombe msaada toka kwa mataifa mbalimbali duniani waje kutusaidia. Inaonekana serikali yote haiko serious kwenye hili jambo. Tuzidi kumwomba mwenyezi Mungu abadilishe mawazo ya hawa viongozi wa CCM na hatimaye polisi. Tumechoka na huo unyama. We need change!!!
    Mdau

    ReplyDelete
  36. Masha ameshindwa kazi....nchi yetu ina mkosi mkubwa kuwa na waziri wa mambo ya ndani kama Masha. Yani serikani imeshindwa jukumu lake la msingi kabisa..kulinda usalama wa raia wake!!!

    ReplyDelete
  37. Kwanza natanguliza pole kwa wafiwa. Matukio haya yana wagusa mamilioni ya watanzania wema.

    Pili ningependa pamoja na uchungu mkubwa unaoeleweka, ningeomba tupunguze jazba ya kulipiza kisasi bila ya kuwapata watuhumiwa halisi waliohusika na jambo hili lakikatili.

    Tatu ilisemekana kuwa wahusika wakuu ni waganga wa kienyeji, lakini pia Mchungaji mmoja pia ametuhumiwa.

    Hivyo yale ya Mh. Pinda na Mh Cheyo tuyaweke pembeni kidogo, ili tupate mkakati wa kutengeneza dawa ya mambo haya ili wale wote wanao husika, iwe waganga wa kienyeji, 'viongozi wa kidini', wanasiasa , wafanya biashara, wavuvi,wakulima, wawindaji, watu wenye nyadhifa n.k waweze kunaswa na kampeni hii ya kuzuia matukio haya ya kikatili.

    Baada ya kunaswa watuhumiwa, itabidi wafikishwe mahakamani ile jamii ielewe ni nini hasa kinacho wasukuma watuhumiwa ushiriki ktk jambo hili la kutisha. Hivyo ktk mahakama tutaelewa kama watuhumiwa ni wendawazimu au walikuwa na mikakati gani hasa ya kuamua kufanya huu uovu mkubwa.

    Baada ya kuwatia hatiani tutakuwa tumepata jibu kubwa la namna gani ya kukabiliana na wale wote walio husika ushirikina huu wa kikatili mno.

    Mwisho adhabu yao iwe kutiwa kitanzi mpaka wafe mbele ya kadamnasi ya watu, ili iwe funzo kubwa kwa vizazi na vizazi vijavyo, kwani ktk kumbukumbu za kimaandishi za kimahakama, kiserikali, vyombo vya habari vitakuwa ni simulizi kubwa ktk midomo ya watu kuwaonya waovu juu ya jambo hili.

    Maana tukikimbilia kutoa adhabu bila ya kufuata mtiririko wa kupata dawa na majibu ya ukatili huu hapo juu watuhumiwa watakufa na SIRI YAO KUU YA KIKATILI na siye kuendelea kumalizana wenyewe kwa wenyewe.

    Mdau
    Sikitiko Kuu.

    ReplyDelete
  38. Hao wapinzani waliokuwa wanasema Pinda alikuwa analilia uwaziri mkuu, kweli wakiona huu ukatili bado wataona alikuwa analilia uwaziri mkuu? Kwa unyama huu anaofanyiwa binadamu mwenzetu, tena mtoto! Kweli naungana na Mh. Pinda, hawa jamaa wakipatikana nao wauwaeeeeeee! Hawawezi kuchezea maisha ya watu namna hii!

    Ni uvivu wao ndo unawafanya wawe makatili namna hii! Utajiri utaupataje bila kuwa mchapa kazi! Wachape kazi waone kama hawatakuwa matajiri!

    KWA KWELI SHOOT DEM BASTARDS!

    ReplyDelete
  39. MUNGU AILAZE MAHALI PEMA ROHO YA MTOTO HUYU. WHO EVER DID THIS I HOPE GOD WILL PUNISH YOU AND YOU WILL GO TO HELL. YOUR NOT HUMAN BEING BUT A BIG ANIMAL WHO BELONGS IN THE JUNGLE.

    ReplyDelete
  40. WANAMLAUMU PINDA KWA MIMI NAMUUNGA MKONO,HAKUNA HAJA YA MAHAKAMANI WALITAKIWA KUWAUA WANAPOPATIKANA WAMETENDA VITENDO IVYO.

    ReplyDelete
  41. Poleni wazazi ndugu na jamaa mlio kwisha poteza wapendwa kwa masuala haya ya kishirikina.

    Changamoto hii ya kusikitisha inayo ikabili serikali, wizara husika na wananchi ktk hili jambo la kuogofya ni kulichukulia jambo hili kama 'vita'.

    Kwa maoni yangu Waziri wa mambo ya ndani apewe Mh. Augustine Lyatonga Mrema. Hapa hakuna tena siasa hii ni vita kuu inayotukabili.

    Mh.A.L Mrema ana historia ya kueleweka ktk kampeni za kunyoosha mambo, iwe sungusungu, kukabiliana na maovu ktk sehemu zote kitaasisi au mtu binafsi.

    Mtu mwenye wasifu kama huo atampunguzia Raisi na waziri mkuu majukumu mengi waliyonayo. Na hakika jambo hili lingepata ufumbuzi ndani ya miezi sita nchini kote.

    Nadhani watanzania wote tumuunge mkono Mh. Raisi hata kama atamteua mtu nje ya chama tawala kusafisha uchafu huu. Mbona Obama masuala ya vita yao Iraq na masuala ya uchumi-fedha ameteua wasiotoka ktk chama chake, mradi wateuliwa hao wana uwezo wa kuwatumikia Wamarekani.

    Mdau
    Texas

    ReplyDelete
  42. Wengi tunasahau haraka...
    Suala hapa si Albino kuuliwa..
    Suala ni WaTanzania wengi kuendekeza ushirikina na kutaka utajiri kwa njia ya mkato.

    Leo Albino, kesho watu wa 'aina' nyingine..
    Labda kama mtakumbuka..
    Kuna kipindi watu wenye vipara walikuwa wanauliwa sana.. Hakuna kilichofanyika...
    Baada ya hapo..
    Ikaja kuchuna watu ngozi.. Iringa na Mbeya.. Hatukuona..


    Sasa Albino..
    Na watu wenye viganja fulani?...

    Mauaji yote haya yanahusiana na kitu kimoja, ushirikina.

    Naamini wauaji wanajulikana
    Naamini uwezo wa kuwaadhibu upo..
    Je.. NIA tunayo?

    Tukikaa kimya..
    Kesho utasikia watu wote ambao hawajatahiriwa.. na wakikatwa nanii zao... utapata utajiri..
    hapo je?

    Tutokomeze hii kitu tupumzike kwani inawezekana.

    ReplyDelete
  43. Hawajakosa walosema 'Umasikini ni dhambi'. Haya maajabu makubwa, baba
    kupanga mikakati ya kichinja mwanawe. Mola tusaidie Watanzania.

    ReplyDelete
  44. NAOMBA WALE WOTE WANAOJIFANYA WATETEZI WA SHERIA, WALIOPIGA MAKELELE JUU YA KAULI YA MTOTO WA MKULIMA ALIPOSEMA KUWA WAUAJI WA MAALBINO WAUAWE, WATOE KAULI ZAO SASA.WATUAMBIE JE MAUAJI KAMA HAYA KUENDELEA SIO UKIUKAJI WA SHERIA NA KATIBA YA NCHI? MBONA HATUWASIKII WAKITOA NJIA MBADALA YA KUEPUSHA MAUAJI HAYA YASIENDELEE? NASEMA ACHENI KUTAFUTA SIFA.....WALAANIWE WOTE WALIOMPINGA NA KUMSAKAMA MTOTO WA MKULIMA KWA JAMBO HILI, WALAANIWE WOTE WANAO SABABISHA MAUAJI HAYA KWASABABU YOYOTE ILE....NA MASHA KAMA HATAKI KUACHIA NGAZI NA YEYE ALAANIWE. DAMU ZA MAALBINO WALIOUAWA BILA MAKOSA ZINAKULILIA MASHA KWA KUTOTIMIZA WAJIBU WAKO. TUMECHOKA KUONA DAMU ZIKIMWAGIKA BILA SABABU. TUMECHOKA KUONA WATU WANATAFUTA SIFA ZA KIJINGA BADALA YA KUTIMIZA WAJIBU WAO.
    MUNGU IBARIKI TANZANIA, IEPUSHE NA JANGA HILI, IEPUSHE NA VIONGOZI WAROHO WA MADARAKA WANAOPENDA SIFA BILA KUTIMIZA WAJIBU WAO KAMA AKINA MASHA NA WENZAKE.

    LEO SITAJI JINA

    ReplyDelete
  45. Duh Jamani Hii ina sikitisha sana. Namuomba Mwenyezi Mungu atuepushie hili balaa. Kimtazamo wangu naona Jeshi letu la polisi kama limeelemewa na hili tatizo, wacha hayo mengine ya ujambazi na uhalifu mwingine. Kuwa wadau waliopendekeza maalbino wawekwe kwenye makambi na walindwe hiyo ni sawa ila tatizo linakuja tu ni kwamba uhuru wao kama raia kwa kiasi fulani utakuwa umeingiliwa.Ila ni wazo zuri kwa vile suluhu ya haraka hatuna na ndugu zetu wanazidi kuuawa. Pia lingine nilikuwa naona lingefaa pia kufikiriwa, kuwa ndugu zetu hawa kwa vile ni wachache ,wapelekwe nchi nyingine kwa muda ambako wataendelea na maisha ya kawaida na sio ya kufungiwa kama hapa. Na wakati wapo huko huku nyuma elimu jamii iendelee na tutapohakikisha jamii imeelimika sawasawa basi tuwarejeshe ndugu zetu hawa. Tumeweza peleka vyura wa kihansi iliwasipotee katika uso wa dunia, kwanini isiwezekane kwa ndugu zetu hawa.

    ReplyDelete
  46. jesus! eh ni kama antony hopkin movie vile! siamini. goory staff duh

    ReplyDelete
  47. Jamani Yaani hata Baba mzazi mwenyewe ambaye ndo alitakiwa awe mlinzi wa kwanza, naye anashiriki kufanikisha udhalimu huu, tunakwenda wapi sasa. Nani wa kumwamini sasa ?!Maana sasa sijui huyu ni Baba mzazi au baba wa kambo?! Duh Jamani ?!!Mungu Baba tunaomba utuondolee hili Janga...Nchini mwetu maana yabidi niliite Janga sasa.Tufutie hii AIBU.

    ReplyDelete
  48. INASIKITISHA SANA,POLENI WAFIWA.
    NINACHOAMINI NI KWAMBA WANAOHUSIKA WANAWEZA KUPATIKANA,MFANO VIGOGO WA SERIKALI WAKIPATWA NA TATIZO UCHUNGUZI UNAFANYIKA HARAKA SANA NA WAHUSIKA WANAPTIKANA WITHIN 24 HRS.(NAFAHAMU KESI ZA NAMNA HIYO) LAKINI KWANINI HII ISHINDIKANE? THERE SOMETHING VERY WRONG SOMEWHERE!!! WE NEED TO SEE ACTIONS, MR PRESIDENT PLZ SHOW YOUR POWERS! ACT!

    ReplyDelete
  49. PLEAAAAAAAAAAAASE LET's DO something!Tena sasa!Hivi tumeshindwa kabisa kabisa kudili na hii ishu!?Mbona mambo mengi tuliweza!!What's happening in Tanzania!!?Financial crisis inapewa uzito mkubwa,coz ni disaster,hili hapa pia ni disaster!!Damn it,sometimes I hate kuitwa Mtanzania!!KWA NINI INAKUWA HIVI!!These people are within Tz,within our reach coz issue ni biznez!!Let's stand against this.

    ReplyDelete
  50. Mungu wangu! Nimelia kama Pinda. Mungu ampumzishe pema marehemu.
    Nimemkumbuka Mzee wa Kiraracha. Naamini kabisa angelivalia njuga suala la mauaji ya ndugu zetu lingekuwa limeisha sasa hivi. Masha, vipi?

    ReplyDelete
  51. Bro.Michu
    Mimi naungana na kauli ya Mh. Waziri mkuu kuwa hao watu makatili nao wafanyiwe ukatili maana hali kama hii hatuwezi kuikubali ktk maadili yetu ya kitanzania.

    M/mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema.
    Amin

    ReplyDelete
  52. Wadau Woote
    Tupige kelele ili sheria ya kuuwa haswa ikithibitika ni albino,muuwaji atundikwe hadharani.Tusilete mambo ya haki za binadamu hapa kwani wakati wauwaji wanauwa hawakujua haki za binadamu.Pumba.....

    ReplyDelete
  53. Sasa unatuwekea picha hizi za marehemu ili iweje? Kuna ujumbe gani katika picha hizi za kutisha? Je haya nayo ndiyo maadili ya uandishi? Je unapeleka ujumbe kwa wauaji, serikali au kwa ndugu, jamaa na marafiki, au kwa wanajamii wote? Na baada ya picha hii yenye kudhalilisha utu wa marehemu, kinafuata nini? Wenzetu wa nchi za Magharibi kawaida hawaoneshi maiti wala aliyepata ajali, badala yake wanaonesha tu tukio la ajali, sisi twaonesha hata maiti iliyouawa kikatili namna hii. Narudia tena, je ni ujumbe gani tuuchukue? Mungu amlaze mahali pema peponi. Amina.

    ReplyDelete
  54. namuunga mkono pinda wauliwe wanaofanya vitendo hivyo.............bwana inauma sana kuona unyama unafanywa kwa kudhamiria kupata mali

    mdau netherlands

    ReplyDelete
  55. MH MUNGU TUSAIDIE LAKINI WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ANAISHI NCHI GANI AU NI KWA SABABU HANA WATOTO AMBAO WANAHAYO MATATIZO? Y

    ReplyDelete
  56. Wadau...
    this is atrocious...this paints an extremely bad image of our forever long peace country of tanzania....i urge the government to take rigorous actions for whoever is found guilty as charged...
    Mdau Japan

    ReplyDelete
  57. Jamani hao jamaa wakikamatwa hakuna hakuna haja ya sheria kuchukua mkondo wake, hakuna haja ya mambo ya mahakamani. nikuchukua firing squard tunawaua hadharani labda kwa hio wataogopa

    ReplyDelete
  58. I am completely flabbergasted, what had happened to my beloved country and how did we reach this point ? Lack of education as well as superstitious activities are to blame! The government should play its role by prosecuting those culprits. I think there is also a need of educating these people about success; success is not given but should be earned.

    ReplyDelete
  59. vitambulisho vitambulisho!!!!!!!

    shuhulikia haya mauaji ya hawa ndugu zetu.

    wanasiasa ndio wanaongoza kwenda kwa waganga halafu waganga wanachukua hela halafu wanawapa mtihani mgumu ili mamboa yasipofanikiwa ni kosa la mteja

    ReplyDelete
  60. INGEKUWA INCHI ZA KISLAM KAMA IRAN HILI LINGEISHA MARA MOJA MAANA WOTE WALIOPATIKANA NA TUUMA ZA KUWAUA HAWA NDUGU ZETU WANGENYONGA HADHARANI KAMA WALIVYO WADHURUMU WENZAO

    ReplyDelete
  61. INGEKUWA INCHI ZA KISLAM KAMA IRAN HILI LINGEISHA MARA MOJA MAANA WOTE WALIOPATIKANA NA TUUMA ZA KUWAUA HAWA NDUGU ZETU WANGENYONGA HADHARANI KAMA WALIVYO WADHURUMU WENZAO

    ReplyDelete
  62. Hivi Mheshimiwa Masha yuko wapi na Jeshi lake la polisi au yeye analinda usalama wa mengi tuu na sio raia wote wa tanzania, mambo kama haya kweli haoni aibu na kuwaita ma RPC na OCD wote wa mikoa husika na kuanzisha operesheni kabambe au ndo serikali iko dar-es-salaam na dodoma tuu huko kwengine wajilinde wenyewe

    ReplyDelete
  63. Hizo picha na nyingi zingine zinaonekana kila nchi duniani.Hapa nilipo SWEDEN wafanyakazi wenzangu waliniuliza hivi kwanini hao jamaa wanauliwa bila sababu na bado inaendelea kutokea day after day.Hamna serikali ya kulinda raia wake? ama kwa ajili ya ngozi yao ni tofauti na majority ya wa Tz.Nilitahayari sana na kukosa la kusema.
    MALMÖ SWEDEN

    ReplyDelete
  64. SERIKALI IKO WAPI ?

    ReplyDelete
  65. Mtoto Leticia lazima ataiona pepo KWANZA kwa sababu hana kosa lolote masikini na hasa ukizingatia umri wake ni mdogo hawezi kuwa amefanya maovu yeyote.
    PILI huu mguso tulioupata wote,aaaaah,Its terrible jamani.Lakini mimi nina dawa ya hili.

    KWANZA--JK timua kazi MASHA.
    PILI--Maalbino wote katika kila kaya waainishwe na kila mwana kaya awe macho na chochotekinachoendelea juu ya albino hao,akidhurika kwa hali yeyete ile,wanakaya wote mnawajibika.Hii ni kama SUNGUSUNGU.
    TATU--Naona kama serikali haipo serious katika hili,hao watu lazima hapo kijijini wanajulikana ni kuendesha kampeni ya kutajana tu mpaka mnawakamata.Tatizo la hao wanaserikali wapo daresalaam wanakula maraha Kempinski na Movenpick,wewe unafikiri wataelewa?

    ReplyDelete
  66. Bismilhah-Rahman-Rahim...!

    Mwenyezi Mungu amuweke mahari pepa peponi malaika huyu wa watu. Amuondolee hadahabu ya kaburi na ailinde familia yake popote ilipo na watu na mashetani wote walio na mawazo mabaya nayo. Kwa Hakika Mwenyezi ndiyo muumba basi atawalipa watu hawa waliomtendea mabaya kiumbe hiki.

    Wasalaam,

    ReplyDelete
  67. WEE WA SWEDEN MWENZIO MIMI NIKO HAPA DENMARK NAULIZWA NAJIBU SINA NA BABAISHA TU YAAANI SERIKALI INATUTIA AIBU JAMANI DUU, UFISADI, UUWAJI, AJALI MAGORFA YANA JENGWA KIHOELALA YANAPORMOKA NA KUUWA WATU SASA JAMANI YAANI HATA HAMU YA KURUDI HOME SINA INAKATISHA TAMAA

    ReplyDelete
  68. MUNGU AMLAZE PEMA PEPONI! AMEN
    Its unbelievable Watanzania tunapoelekea! Can't bear a sight of those pictures, and thats what happen day in day out. Hivi ni kweli Watanzania we got nothing better to do than kushikilia ushirikina?
    Na je serikali yetu has nothing it can do to protect the poor Albino? au its true kama suspected by some that the govt. officials have something to do with it?
    Inatia aibu sana. For a country so reputable among its neighbours for its peace and freedom, surely they gat to do something about it. Its a shame the way nobody is bothered, I dont remeber ever hearing anybody brought to justice for this matter. it can't be true that they can not find anybody.
    I personally think UNLESS they punish somebody publicly as PM Mizengo said, this thing will still happen on our faces, and we can not just help thinking the top guys have something to do with it. Kweli nchi inaelekea kurongoni, put everything together(richmond, EPA, Ufisadi, etc) Nothing just seem to be working.
    MUNGU IBARIKI TANZANIA

    ReplyDelete
  69. 1. Waziri Masha uko wapi??????????
    2. IGP Mwema uko wapi?????????????
    3. Ma-RPC wa Mwanza, Shinyanga, Kagera, Mbeya na Tabora mko wapi????????
    4. Ma OCD mko wapi???
    5. Ma OISS mko wapi?
    Jamani watu wanapochinjwa maana yake nini? Brother Michuzi hizi picha Rais Kikwete anaziona lakini? Au anasoma maneno tu kwenye magazeti?? Naomba mmpelekee hizi picha azione labda anaweza kuona namna ya kusafisha viongozi wabovu wizara ya mambo ya ndani kama Masha na Mwema. Sijasikia mkakati wowote uliotangazwa na IGP Mwema kupambana na wauaji wa albino?? Nasikia tu mikakati ya kupambana na ujambazi na mengineyo. Huu wa wauaji wa albino mbona sijausikia jamani??? Waziri Mkuu anaongea mpaka analia lakini jeshi la polisi linaonekana halina interest kabisa. Hivi watanzania tufanye nini? Naomba kitu fulani kifanyike.
    Mdau

    ReplyDelete
  70. Nionavyomimi waziri Masha anahusika na haya mauaji.Kwani yeye ni waziri wa wizara inayotakiwa kutoa ulinzi wa raia na pili matukio haya yamekithiri huko kwao kama hajawatuma nini.MASHA JIUZURU HARAKA SANA TAFADHARI!

    ReplyDelete
  71. Nina masikitiko yasiyo na mfano kuhusu haya mauaji yasiyo na msingi. mimi hasira zangu zote naziweka kwa serikali maana tangu ili swala la kuua maalibino lianze hakuna kitu kimefanyika kama hali itaendelea hivi itabidi tuongee na european union ili maalibino waweze kupata haki za kuhifadhiwa ulaya kama wakimbizi maana naona serikali yetu imeshindwa kazi

    ReplyDelete
  72. Watu wa dini ambao hamtaki adhabu kali za kulipiza uovu kwa uovu mnasemaje hapo? Wauwaji wakahubiriwe ili nyoyo ziwe safi? Maana katika makosa haya ndo inaonyesha ile mistari ya "mpende adui" na "kinga shavu jingine" ni nadharia tuu na hazitekelezeki.

    Uzuri sasa dini zimeshindwa kuondoa wachawi kwa mahubiri subiri serikali itawondoa kwa kitanzi hata kama dini zinapinga.

    ReplyDelete
  73. MUNGU WALAANI WOTE WALIOKUA WANAMPINGA MH. PINDA. WOTE HAO WANA ROHO ZA KINYAMA. SAA NYINGINE HATA WANYAMA WANA ROHO NZURI KULIKO WAO KWASABABU WANYAMA MARA NYINGI HAWAUI WANYAMA WA AINA YAO. NINAMUOMBA MUNGU AMONYESHE RAISI WETU KIKWETE NAMNA YA KUANGAMIZA HUU UOVU. WATANZANIA WOTE TUPIGANE NA HII VITA KWASABABU TUNASHAMBULIWA NA MAHARAMIA. HAKUNA TOFAUTI NA NCHI KUWA VITANI TOFAUTI YAKE NI KWAMBA WENYE KUTUSHAMBULIA NI WENZETU. MUNGU TUPE UWEZO TUWEZE KUWASHINDA HAWA MAADUI.

    ReplyDelete
  74. KWA HERUFI KUBWA NASEMA SASA KUFUTA LESENI KUMESAIDIA NINI? NILISHASEMA KUFUTA LESNI ZA WAGANGA SI TIJA NA HAISAIDII KITU, SERIKALI NA VYOMBO VYA USALAMA WA RAIA VINATAKIWA KUFANYA KAZI YAKE. PIA CIVIL SOCIETY NGOs MNATAKIWA KULIVALIA NJUGA SWALA HILI NA KUFANYA MAANDAMANO YA AMANI NCHI NZIMA KUISHINIKIZA SERIKALI KULIPA KIPAUMBELE SWALA HILI PAMOJA NA VYAMA VYA WANASHERIA. PIA TUNAHITAJI TAMKO LA RAIS KATIKA HILI.

    ReplyDelete
  75. BAGOSHA THIS IS TOO DEEP.SASA, MBONA HAWAELEZEI KAMA BABA MTU ALIKUJA KUSAIDIA, AM SURE HUYU BINTI ALIPIGA KELELE.

    ReplyDelete
  76. NI HUZUNI KUBWA NA NI LAANA KUBWA KWA NCHI YETU TANZANIA. HUYO AHAMED RASHID SINILISHA WAAMBIENI KUWA KUWA HUYO NAYE NI KATI YA WACHAWI KATIKA UONGOZI WA NCHI. SASA NACHUKUWA MAMLAKA KATIKA JINA NA BWANA AISHIYE MKONO WA MUNGU ALIYE HAI NA UWE JUU YAKE KILA ALIYE HUSIKA PAMOJA NA NA HUYO RASHID.

    ReplyDelete
  77. Mungu amlaze mahali pema peponi marehemu Leticia.Raha ya milele umpe ee Bwana,.na mwanga wa milele umwangazie,apumzike kwa amani.AMINA.
    Watu wanaposema mtu akiua na yeye auwawe sio kweli,maana mwingine anaua kwa self defence.Lakini hili suala limezidi kipimo hakuna utu wa binadamu.Baba yake,waliomuua wote wanatakiwa kukamatwa na kuhukumiwa.Wanaouziwa wahukumiwe pia maana bila mnunuzi au waroho wa utajiri haya mauaji yasingekuwepo.Rais awajibishe watu kama anavyofuatilia masuala ya ufisadi maana watoto ni taifa la kesho lakini kama tukishindwa kuwalinda inakuwaje. Mahakama,Usalama wa raia,Ustawi wa jamii na vyombo vingine husika jamani mko wapi? Au mtastuka pale itakapotokea kwenye familia zenu?

    ReplyDelete
  78. Mungu ailaze pema peponi roho ya marehemu Leticia na marehemu wote.

    Wakati tunaendelea kujiuliza zaidi nina uhakika mwenzetu mwingine mwenye ulemavu wa ngozi(albino) anakaribia kupoteza maisha yake.

    Ninapendekeza kuwa serikali haraka sana iangalie uwezekano wa kuchukua hatua makusudi kabiisa za kuwaweka mahali ambapo watakuwa salama wakati suluhisho la kudumu likitafutwa.

    Hawa ndugu zetu hatuwatendei haki kuendelea kuwaacha katika mazingira ambayo ni hatari kwa maisha yao, hasa ukitilia maanani kuwa wale wenye jukumu la kwanza la kuwalinda (wazazi) nao hawaaminiki tena.

    ReplyDelete
  79. Mungu atusamehe watanzania hatujui tulitendalo hakika laana hii itawarudi watoto wetu tusipokemea hili
    Watu Watanzania mpo wapiiii tuinuke tupige kelele kwa pamoja kukemea mauaji haya tusiwaachia mtu mmoja mtoto wa mwenzio ni wako
    Uko wapi umoja wa kinamama Tanzania kilio chenu kiko wapiiiii
    Msingoje maajukwaa ya siasa tu huu mzigo ni wetu

    ReplyDelete
  80. Watu inabidi waandamane wizara ya mambo ya ndani kupinga suala hili.

    ReplyDelete
  81. JAMAINI MIMI NADHANI SASA UMEFIKA WAKATI WA KUWA SERIOUS NA HII ISSUE. HAIWEZEKANI WATU WANAPOTEZA MAISHA KILA SIKU NA VIONGOZI WAPO KWANINI TUSIWE NA MFUMO WA KURA ZA SIRI DHIDI YA UDHALIMU HUU. KAMA ILIWEZEKANA KIPINDI CHA MAJAMBAZI NA TULIFANIKIWA KWANINI SIO KWA MAALBINO JAMANI INAUMA SANA TUKIO KAMA HILI LINATOKEA DHIDI YA WATU WANAOTUZUUNGUKA TUKIWA TUMESHINDWA KABISA KUWALINDA. INATIA AIBU SANA JAMANI. KUNAHAJA YA VIONGOZI WA SEHEMU ILIYOTOKEA TUKIO NAO KUWAJIBIKA. PINDA TUKO NYUMA YAKO KATIKA KUENDELEZA MAPAMBANO HAYA NINAIMANI TUTASHINDA KWA UWEZO WA MOLA KUTOKOMEZA UDHALIMU HUU.

    ReplyDelete
  82. MHESHIMA MOHAMMED RASHID WA KAMBYA UPINZANI (CUF) USIWE UNAONGEA TUU KUFURAHISHA UMMA NA KUTAKA UMAARYFU,ONA HAYA MAUWAJI MTOTO KAM HUYU NAKUFA KTK MAUMIVU MAKALI KIASI HIKI KIUKWELI UMEUDHUNISHA WATANZANIA WENZAKO BARA NA VISIWANI,UWE UNATAFUTA POINT ZA KUONGEA UNAONA MWENZIO DR SILAHA HUWA HAROPOKI ANAONGEA VITU VYA KWELI,WAZIRI MKUU PINDA ALIJUA NA KWA UCHINGU ALITOA TAMKO LILE HIV LEO WW UKATWE MIGUU KIFO CHAKE NI CHA MAUMIVU MAKALI ,USIPAGUE WALEMAVU!!!!!!!

    ReplyDelete
  83. mungu ailaze Roho ya Marehemu Leticia Mahala pema peponi.Mheshimiwa hamad Rashid unaona?Ndugu zangu Wakristu kwa Waislamu ,Hindus na wengineo jamani tufunge kwa siku Saba kulaani hawa watu wenye roho za kishetani tena hii tukiongozwa na Mheshimiwa Hamad Rashid kwa sababu aliongea kitu asichokijua DONT PROVOKE NEXT TIME WATCH OUT YA MOUTH.............Je chukulia one of your kid ni Albino anakutwa na hali kam hii?

    ReplyDelete
  84. Uwiiiiiiiiii, inatosha jamani wewe muuaji na wewe muuzaji wa viungo haki ya Mungu hamtapona. Pinda alilia mkamuona mjinga lakini kwa hali hii, hata kama ni wewe machozi yatakutoka uwe una watoto au la inauma sana.

    ReplyDelete
  85. Ndugu zangu tujiulize kwann kila mauaji ya kikatili kwa kipindi hiki yameshamiri sana mwz,shy, Tbr na kanda ya ziwa tu? je kuna nn huko? je ni uelewa wa wananchi wa mikoa hiyo au ni ujinga tulio nao manake na mimi natokea hukohuko.wenzangu tuamke na tuulizane kwasababu Albino hawako huko kwetu tu kila mahali wako, je sisi tuna nini au tumeingiwa na nini???? Ukweli nasikia uchungu sana.

    ReplyDelete
  86. MAY THE ALMIGHTY REST LETICIA'S SOUL IN PEACE!
    NOTE TO PRESIDENT KIKWETE:
    MR. PRESIDENT, IT'S ABOUT TIME YOU ENFORCE RULE OF LAW AS A HEAD OF STATE OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA; AS SUCH YOUR JOB AS A PRESIDENT AND HEAD OF STATE IS SECURITY FOR ALL CITIZENS OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, THEREFORE, YOUR HANDS HAVE BLOOD IN IT, IF YOU WONT DO ANY ACTION REGARDING THE SERIOUS MATTER OF ALBINO KILLINGS/MASSACRE THAT IS TAKING PLACE UNDER YOUR WATCH!!!
    THIS IS VIOLATION OF HUMAN RIGHTS AND IT IS AN INTERNATIONAL ISSUE THAT DEMANDS SERIOUS INVESTIGATION AND JUSTICE FOR THE INNOCENT GIRL THAT WAS INHUMANLY MURDERED.
    MY RECOMMENDATIONS:
    1. THE LEGISLATURE OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, MUST ENACT A BILL CALLED "LETICIA LAW" STRONGLY
    PUNISHING ANY SUCH BRUTAL MURDER OF FELLOW ALBINO CITIZENS.
    2. FAILURE TO ENFORCE THE LAW, THERE WILL BE MORE BLOODSHED UNDER WHICH MIGHT CAUSE HAVOC!!!

    MAY GOD BLESS THE PEOPLE OF AFRICA, MAY GOD BLESS THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.

    ReplyDelete
  87. Bro Michuzi, ahsante sana kwa kazi yako nzuri uliyoifanya ya kutuwekea picha hizo hapa hadharani ili kila mmoja ajionee mwenyewe maovu wanayotendewa wapendwa na ndugu zetu maalbino. Kutokana na hilo ndio maana jamii nzima hapa namaanisha wadau wa blog yetu hii ya jamii wametoa maoni yao nikiwemo na mimi, keep it up bro! Usivunjwe moyo na baadhi ya ndugu zetu ambao ni wazito wa kuelewa au niseme kutambua; yaani inamgharimu mtu siku au miezi kadhaa ndipo aje akubaliane na wengine kuhusu hoja au jambo fulani zito na la msingi lililo mbele ya wengi. Mfano ni huyu ndugu yangu Anony wa February 19, 2009 8:15 PM, nakuomba umsamehe tu huyu jamaa, huenda ndio mmoja wa watanzania wenzetu ambao ni wazito kuelewa ni imani yangu kuwa taratibu kadri siku zinavyokwenda pole pole atakuelewa yaani atatia fahamu ni kwa nini umeziweka picha hizo hapa hadharani. Wewe endeleza tu libeneke la picha kwa kadri ulivyojaaliwa na maulana, watu kama hawa si rahisi kuwakosa kwenye jamii yoyote hapa chini ya jua!! - Ben

    ReplyDelete
  88. Jamani kuwekwa kambini ni sawa, je mpaka lini? hawa watu wanahitaji kusoma, kufanya kazi na mambo mengine ya maisha kwani wao si watumwa wala wakimbizi,jamani km kuna watu wenye uwezo kila mmoja angemchukua albino mmoja kumsaidia kumlinda. Mauaji haya yataisha pale tu uchaguzi wa mwaka 2010 kupita.

    Raha ya milele akupe ee bwana na mwanga wa milele akuangazie, upumzike kwa amani

    ReplyDelete
  89. KWANZA MUNGU AMLAZE MAHARI PEMA PEPONI, MAANA HUYU MTOTO ALIE UWAWA KIKATILI NI MALAIKA. KWA MAONI YANGU NINGEOMBA WANAOKAMATWA NA MAKOSA KAMA HAYA NINGEOMBA SERIKALI IWACHUKULIE HATUA KALI ZA KINIDHAMU NA MAUWAJI HAYA YAFANANISHWE NA MAFISADI WA EPA

    ReplyDelete
  90. Ili Kuponya ugonjwa wowote unatakiwa ujue chanzo chake ili upambane nacho, kwa mfano yale maradhi ya JIPU ambalo huwa lina mzizi, ili kuponyesha hili jipu inabidi ukate/uuwe mpaka mzizi,venginevyo utabaki kutumbua usaha lakini siku 2 usaha unarudi tena palepale.
    Dhumuni langu ni kusema tutapiga makelele mpaka tutachoka lakini kama HATUJAAMUA kupambana na mzizi wa hili tatizo hatutofaulu, MZIZI wa hili tatizo ni imani ya Ushirikina katika jamii yetu, cha kufanya ni kuiharamisha hii biashara ya Uganga wa kienyeji na mtu yoyote atayepatikana na kosa la kushiriki ashitakiwe na apewe adhabu kali bila kubagua ni waziri, mfanya biashara,shehe,mchungaji ama mlalahoi. Itachukua muda lakini tanaweza kuitokomeza hii biashara ya uganga wa kienyeji ambayo inazidi kushamiri huku pande za kwetu, venginevyo tukizidi kuchelewa tutakuwa kama Wanaijeria, huko kwao matukio haya ni mengi, hawa wajinga wataanza na Maalbino waje kwa watoto wachanga,wajawazito nk.

    ReplyDelete
  91. nina tumaini mpaka limetoka kwenye blogu(njia ya kisasa ya kupashana habari) litafanyiwa kazi maana jambo hili lina husu kundi la watu wengi (wanasiasa,matajiri na hata baadhi ya watu wa IMANI), ni aibu kubwa kwa nchi yetu,ingetokea ughaibuni viongozi husika wangeshajiuzulu, mwenyezi mungu amweke mahali pema amina.

    ReplyDelete
  92. Adhabu pekee ya watu hawa Wachomwe Moto mara moja kama Vibaka wanavyofanyiwa!Tena hadharani kila mtu ashuhudie liwe fundisho.Hali ya vijijini jamani ni mbaya mno.Watu wamenyanyapaa mno kwa umaskini wa kipato na elimu duni.Ukichanganya na mazingira duni,nyumba za kuishi nyasi tupu basi utawakuta watu hawana malengo wala matumaini yoyote ya mabadiliko katika maisha yao.Hicho ndicho kinachotoa mwanya kwa ushirikina kutawala akili zao kama njia mojawapo ya kupata mafanikio.Kwa udhaifu huo ni wepesi sana kudanganywa na matapeli na waganga wa jadi feki!Lakini sasa imefikia kwamba serikali lazima ichukue hatua za makusudi kabisa kutoa mafunzo ya ulinzi(mfano wa mgambo) kwa vijana wote waishio vijijini kama hatua mojawapo ya wao wenyewe kujilinda na kulinda wanajamii wengine katika maeneo yao.Taifa lazima sasa litangaze vita dhidi ya wahalifu hawa.Na adhabu lazima iwe ya kifo papo hapo kwa kuchomwa moto na wanakijiji.Polisi mtasema raia walituzidi nguvu,kesi imekwisha.Hatuwezi kuvumilia unyama huu uendelee.Hakuna Rais wa nchi atakaye kubali kutia doa sifa yake kwa kuruhusu watu hawa wanyongwe hadharani bila ya kupitia mahakamani!Hawa ni Washenzi na wanataka kuirejesha nchi yetu katika zama za Stone Age wakati wa Cannibalism,mtu kumla mtu mwingine kama kitoweo!This is just too serious.Ipo haja kwa majeshi yetu kupiga kambi za siri na za kustukiza katika maeneo ambayo yana Albino wengi.Ipo siku atakamatwa tu mtu red handed,na cha moto atakiona.Kwa nini hili halifanyiki?Na huyu Mzazi aliyerudi usiku akisindikizwa na watu lazima apewe kibano mpaka ataje ni nani waliohusika katika dhahama hii.Watapatikana tu.

    ReplyDelete
  93. nimelia sana,,,,sana inaniuma sana
    mimi uwa siangaliagi ata ile tangazo ktk TV yule wa BK mana siku moja nilianza sikiliza nilizima TV,jinsi nilivoshindwa jizuia nililia sana,SIKUAMINI IBILISI AWEZA SHIKA MWANADAMU IVI NA ROHO HII YA LUGHA GANI SIJUI NIIELEZEE!OKOKENI MUACHE UOVU YESU ATAWAPA FARAJA ATA KTK HALI NGUMU GANI KIMAISHA HUTAWAZA KUUA MTU IVI
    yan nimesoma apa sijamaliza
    JEHOVAH UTUREHEMU KWA DAMU HIZI ZILIZOMWAGWA NA TUNATUBU KWA DAMU IZI TUSAMEHE EE MOLA!!

    ReplyDelete
  94. Nikiwa mzazi nimeumizwa sana na hizi picha machozi yananitoka kila nikiangalia. Ukiwa mzazi tukio kama hili linakugusa utafikiri ni mwanao wa kuzaa mwenyewe. Najaribu kufikiria dakika za mwisho za Leticia zilivyokuwa. Labda alilia na kupiga mayowe lakini hatukuwa karibu kumsikia, kama baba yake aliyemuamini naye anahusika hakuwa na chance to fight back.

    Kifo cha Leticia kitakuwa ndio mwisho wa huu unyama na watu wanaowajibika na usalama wa raia wa Tanzania wafanye kazi zao. Kuwe na kipao mbele zaidi kwa hawa ndugu zetu. Na sio hivyo kuna biashara nyingine kama za ngozi za binadamu nadhani hii ilikuwa ni mbeya nazo ziangaliwe. Tunaelewa sasa kwanini Mheshimiwa Pinda alisema hawa watu wauwae wakikamatwa.

    Njaa na umasikini ni kitu kibaya lakini vinapotupeleka ni kubaya maanake tunakosa ubinadamu. Nadhani vitendo kama hivi vya kichawi wala havipo katika nchi nyingine. Ushirikina unakuwa na kasi ya juu. Matukio kama ya akina DOGO aliyekamatwa na kichwa cha mtoto Salome na mengineyo ambayo sijui hata yameishia wapi.
    Ukichanganya mambo yote haya pamoja na ufisadi, zeutamu na mengineyo, unaanza kujifikiria kwanini tunajivunia Utanzania? Issue kama hii ilikuwa tosha kwa waziri wa mambo ya ndani kujiuzulu. Apewe mtu anayeweza kufanya kazi. Watu kama akina Mrema waliotingisha enzi zao, watu walikuwa wanalinda sungusungu nchi nzima.

    ReplyDelete
  95. Hivi huyu mbunge anayejiita hamad rashid ( kiongozi wa upinzani bungeni )amesoma shule gani na elimu gani ?
    Suala la kauli ya Pinda kuhusu mauaji ya albino nadhani kila mtu alimuelewa, ndio maana watu wenye akili zao walikaa kimya, even mr Slaa aliona hakukuwa na sababu ya kukaa bungeni na kumjadili pinda, bali aliongelea mambo yenye umuhimu na maendeleo kwa wananchi.

    Ila huyu bwana hamad kwa kutafuta umaarufu wa kijinga ndio alifungua hoja zake kwa kuanza na Pinda.Inaonekana wazi kuwa bwana hamad hakuwa na jambo la msingi la kupresent bungeni, na kwa kuwa akili yake ni finyu ndio akaamua amuongelee pinda huku akiona ametoa bonge ya point bungeni kumbe ni upumbavu mtupu.
    Kama hukuwa na la maana la kuongea ni bora ungenyamaza kama walivyonyamaza wengine ambao hawakuwa na la kuongea.
    Mimi namsapoti pinda kuwa wauaji wa albino nao wanyongwa hadharani ili watu washike adabu

    ReplyDelete
  96. Hizo sala zoote mnazoweka humu zinaweza kuwa za kinafiki. Kinachotakiwa ni sheria kali kwa wakosefu ili kuzuia jinai.

    ReplyDelete
  97. Wadau habari zenu wakuu
    enough has been said about the killings of albinos....it is time to swiftly act on this situation...
    1. the government should raise awareness to its people that forever and always success is never a GIFT...it should be earned....and the methods of earning success are perseverance, tolerance, curiosity and hard work
    2.the people who are in high positions should be accounted for these killings...if any person in high office was murdered then wouldn't the government, the people in high positions, do what ever it took to hunt down and take actions to the murderers?the y isn't the government doing anything to the albino killings....when Pinda was crying in the big house...people were saying that he is exaggerating... are we exaggerating now!!??
    Mdau Japan

    ReplyDelete
  98. MI NAONA HAWA HAYAWANI WANAOONDOA UHAI WA NDUGU ZETU ALBINO HAKUNA HAJA YA KUWAACHA WAENDELEE KUISHI. KAMA ALIVYOSEMA PINDA (NA WALA HAJAKOSEA KABISA) HAWA HAYAWANI WAKIKUTIKANA WAUWAWE HADAHARANI. KUFUTA LESENI ZA WAGANGA, WANAOFANYIA SHUGHULI ZAO PORINI, HAKUNA MAANA YOYOTE. MIMI NASHANGAAA KWA NINI SERIKALI BADO INAWALEA HAO WAUWAJI WAKATI WAO WAKIENDELEA KUTOA UHAI WA BINADAMU WENZAO WASOKUWA NA HATIA!

    ReplyDelete
  99. Inna lillahi wainna ilaihi rajiun,kuna viumbe wakatili dunia hii sijapata ona,hizi habari zinagusa zaidi ukiona picha kama hivi maana ukisikia habari za juu juu ni kama hayatokei lakini Mungu awalaani wanyama watendao haya ni kipi wanakipata zaidi ya nyoyo zao kubeba damu za viumbe wenzao,inasikitisha sana. Mungu ailaze roho ya leticia peponi Amin.

    ReplyDelete
  100. WAZIRI MKUU ALIPOSEMA WAUAJI WA WENZETU HAWA NAO WAUWAWE ILIKUWA KELELE.HIVI KWELI BAADA A TUKIO KAMA HILI BADO MNAPINGANA NA WAZIRI MKUU?
    AMRI YANGU WATU KAMA HAWA WAUWAWE HADHARANI KWA EITHER KUNYONGWA AU RISASI.TANZANIA SI INA SHERIA YA KUNYONGA MTU AKIUA? SIONI KWA NN IWE TOFAUTI KWA WATUHUMIWA WA MAUAJI KAMA HAYA.MUNGU ATAKULIPIA MWANANGU,PUMZIKA KWA AMANI.
    TANZANIA NCHI YA AMANI MIGUU YANGU @@@****±

    ReplyDelete
  101. Naona niliikosa huyo Hamad Rashid alitapika pointless gani? Jamani wafiwa poleni sana Mwenyezi Mungu awapeni nguvu katika wakati huu mgumu. Siku nyingi mimi nimeomba sirikali itufanyie kazi kupiga vita uhalifu huu..lakini wenzetu vigogo naona wako bize kutanua kwenye mapajero. Jamani ndugu zetu wanakwisha!!

    Mdau, Boston, US

    ReplyDelete
  102. nimeumia sana kuhusu kifo cha huyu mtoto Leticia,Mungu ailaze Roho yake mahali pema. mi naona wanao kamatwa wanaua albino nao wauwawe kwani ni ukatili mkubwa sana.
    nimeungana na waziri mkuu Mizengo Pinda kutoa machozi

    ReplyDelete
  103. Na askari kanzu hawako TZ?

    Siwangeweka mitego tu ili hao hao wahalifu wakamatwe kiulaini?

    ReplyDelete
  104. Sisi watu wakenya tuliuana kuipata haki yetu, nyiyi watu wa Tanzania hii ina maana gani?

    Aibu sio kwa watu wa mikoa ya hayo matukio tu bali kwa watanzania wote hata huyo JK (Jua Kali) wenu

    ReplyDelete
  105. Hapa ile mistari yenu ya "kinga shavu jingine" na "mpende adui" mmezisahau? mbona hamsemi watubu? Ukweli wa asili umewaingia!! Sasa ndo mjuwe ile mistari iliandikwa na watu kwa kusingizia ushawishi wa Mungu.

    Msilipize visasi, wahubirini na msubiri roho mtakatifu aje kuwalazimisha wawe watu wazuri.

    Ndo mjuwe kaisari(sheria kali msizozitaka) zinakubaliana na matakwa ya Mungu(asili yetu) tangu zama za agano la kale.

    Bila kutekeleza agano la kale hapa tutaishia kuwa watenda dhambi na wanaoshabikia dhambi kwa kisingizio cha upendo na imani.

    ReplyDelete
  106. IN kenya we dont do crazy things like that.
    lets grow up and ask God for help.

    ReplyDelete
  107. Nafuu inayopatikana ni kwamba watu wasiojuwa ndumba hawatapata tena nafasi ya ushirki kwa kisingizio cha tiba. Hivyo ni matarajio kuwa watu watamtegemea Mungu pekee. Japo wimbi la waombezi litachukuwa nafasi ya wapinzani wao (wapunga pepo wenzao waganga) ili kudaka nyoyo za watu wadhaifu wasioamini wala kujiamini.

    Maana waombezi usipopona wanasema huna imani, wanasahau hata Yesu aliombea watu kabla hawajaamini ili waamini. Kama ni muujiza huaminiwa baada ya kutendeka si kabla. Wagonjwa hawana kosa, wenye kosa waaguzi/waganga/waombeaji (waliospecialize kwenye uganga/ponyo/tiba ya majini kwa fani tofauti kama mitishamba, ulokole, n.k.).

    TATIZO 1: kuna uwezekano waganga wa kienyeji wakaungana na wachawi. Tutakuwa na kundi kubwa la wachawi. Au basi sasa hivi watajiunga na waombezi kwa hiyo kutakuwepo na tiba hybrid, jamaa anakuomea kwa jina huku kashka kibuyu (japo hukioni).

    TATIZO 2: Wachawi ambao ndo chimbuko la waganga wa kienyeji, wachawi hao watadhitiwaje ikiwa serikali haitambui kuwepo uchawi? Oh, hapa wachawi wamewapiga bao wananchi.

    TATIZO 3: waombezi watadhibitiwaje? maana fedha ya kulipa waganga ndo itageuka sadaka hapa. Fedha za watu zitaenda bure. Maana hata waombezi ni matapeli, kama si matapeli kwa nini bado hospitali zipo? Watakuambia wagonjwa hawana imani, kumbe wao.

    Matatizo hayo mawili yataonyesha ni nani kweli anamwamini Mungu.

    ReplyDelete
  108. Waziri Masha yuko bize na masuala ya kupata cha juu kwenye vitambulisho vya utaifa.Wale mbwa wa kufuatilia harufu wa Polisi watiletwa kutoka Africa ya kusini wamekufa wote kwa uzembe wa matunzo mabaya.
    Kama wangezalishwa na kutawanywa mikoani si wangesaidia kuwasaka wahalifu kama hawa wananchi wenzagu?BORA Rais Kagame angekuwa hapa anatawala mambo haya yasingefikia hatua hii.Najisikia aibu kuitwa Mtanzania siku hizi mwenzenu,aibu sana sana hii.

    ReplyDelete
  109. MUNGU JAMANI . NAOMBA AMPUMZISHE MTOTO HUYU . I CANT IMAGINE ALIVYOKUWA ANAMLILIA BABA YAKE NA NDIO ANACHUKUA MAISHA YAKE . MUNGU AMESHAMPUMZISHA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...