Tanzania Professionals Network (TPN)
Nyumbani Ni Nyumbani 2009
Kongamano la Wanataaluma Waishio Ndani na Nje ya Nchi
Nyumbani Ni Nyumbani 2009
Kongamano la Wanataaluma Waishio Ndani na Nje ya Nchi
Golden Tulip 18th December 2009
Siku na Muda: Ijumaa; 18th December 2009;
Siku na Muda: Ijumaa; 18th December 2009;
Saa 2.00 Asubuhi -11.00 Jioni
Mahali:
Golden Tulip Hotel; Masaki, DSM
Washiriki:
Wanataaluma na Wasomi Wote Mnaombwa Kufika Bila Kukosa
Ada ya Ushiriki:
TZS 50,000
Mada:
Namna Wanataaluma Wanavyoweza Kuchochea Maendeleo
Kujiandikisha na Maelezo Zaidi:
0715 740 047
president@tpn.co.tz
www.tpntz.org
Waandaaji:
TPN – Costech – OUT – UDSM - Serikali
Sponsors are Welcome
Mahali:
Golden Tulip Hotel; Masaki, DSM
Washiriki:
Wanataaluma na Wasomi Wote Mnaombwa Kufika Bila Kukosa
Ada ya Ushiriki:
TZS 50,000
Mada:
Namna Wanataaluma Wanavyoweza Kuchochea Maendeleo
Kujiandikisha na Maelezo Zaidi:
0715 740 047
president@tpn.co.tz
www.tpntz.org
Waandaaji:
TPN – Costech – OUT – UDSM - Serikali
Sponsors are Welcome
mbona hiyo site www.tnptz.org haipatikani?!!!
ReplyDeleteTPN hongera sana na hii move.
ReplyDeleteSasa kama mtu anajiona kuwa NABII au mtoa mada zilizokwenda shule tunamsubiri hapa tukutane kwenye pannel uso kwa uso tuone tunavyoweza kukata issues na kutoa mapendekezo kwa Taifa.
Tumechoka na mambo ya cut and paste.
Tanzanians need to stop talking and start working. We can't talk our way to economic prosperity.
ReplyDeleteMkongamano yamezidi mno. Sina hakika kama yanatusaidia sana zaidi ya kuuza sura.
mna wazimu elfu 50 yote hiyo ya nini acheni uchori ebo!
ReplyDeletenaungana na mdau hapo juu,tuache longolongo tufanyekazi na haya makongamano tumeyachoka,tshs 50,000 kuhudhuria??kwa nini msitafute sponsor ikawa free???au ndio zile party za akina naninihii kutafuta hela ya kula
ReplyDeleteTarehe Mon Nov 30, 02:10:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous
ReplyDeletemna wazimu elfu 50 yote hiyo ya nini acheni uchori ebo!
YAANI...EXACTLY HOW I REACTED...WAGONJWA KWELIKWELI!!!CHA MNO?ISHAKUWA MRADI EEH!!
Yaani munataka Dr. US Blogger aje kumwaga mambo ya Oxford na awalipe elfu hamsini kwa kuwasaidia ideas?
ReplyDeleteLabda mungesema 'donation ama controbution' badala ya 'ada' ingeleta maana zaidi.
(US Blogger)
ndo wazo la kwanza "ivi izi mapati sijui maada ya namna iyo" ndo nini haswaa??
ReplyDeleteivi cnat we act rather than talking a hundred times???
tunaongea sana jameni khaaa
Ningependa kushiriki lakini the amount seems to be the main stambling block,But any way will join you guys through here.Will send my contributions then u people will read for other.But the Idea of getting togather and discuss is very important.
ReplyDelete