mpiganaji Thomas Makonde na mai waifu wake Annavivian Kagemlo wakitabasamu baada ya kumeremeta jumamosi kwenye kanisa la St. Joseph jijini Dar na baadaye kwenye mnuso wao wa nguvu ukumbi wa Holland hall Msimbazi Centre. Makonde ni mmoja wa wapiga picha maarufu nchini na Annavivian ndio kwanza kala nondozzz yake IFM
bi harusi na wapambe wake
maharusi na wapambe wao
vituzzzz vya makonde siku akija kukupigia picha zako za harusi
email yake ni: makondephoto@yahoo.com




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 25 mpaka sasa

  1. Hi Ankal,

    Picha safi sanaaa...hiyo ya ""maharusi na wapambe wao""" imenivutia sanaa hasa huyu dada wa mbele.. mguu wake safi sanaa,, naweza pata contact yake??? plz tafadhari!

    ReplyDelete
  2. Maharusi mmetoka mwaaaa..bibi harusi rangi adimu hiyo...

    ReplyDelete
  3. Kaka Michu, hiyo harusi ya mpiganaji imetulia sana, tafadhali
    naomba nisaidie contacts za huyo maid wa mbele kabisa, aliyejazia, nimempenda nataka kuoa.

    ReplyDelete
  4. WEWE KENGE, UNAFIKIRI WANAWAKE NI KAMA BARABARA KILA MTU ANAPITA? SASA KAMA HUYU UNAYEOMBA CONTACTS ZAKE NI MKE MTU UNAJUA?

    ReplyDelete
  5. Kweli mjomba huyo mdada wa mbele ametulia, kama hajaolewa mie nataka mke wa pili

    ReplyDelete
  6. Jamani waTanzania tu wazuri. Tuulizeni sisi tulio katika nchi tunazokutana na ndugu zetu toka nchi zingine za kiAfrika. Tanzanians just stick out.

    Watanzania funika bovu.

    Ni jambo la kumshukuru Mungu

    ReplyDelete
  7. Kenge kwa kweli hata mimi kanivutia sana itabidi nimuombe Bw.Harusi kupitia Mail yake makondephoto@yahoo.com SASA STAAJABU YA MUSA... Hivi unajua kuna Mwanaume ambaye akiona No.ya huyu dada hapokei... Sisi Mijanadume sisi...

    ReplyDelete
  8. bwana ankal hizi picha zimenifurahisha sana,na mabinti wako fit ile mbaya,sasa nakupa deal na ukifanikisha utapata zawadi,mimi natafuta mke nina 32yrs,6 ft tall na niko fit, niko states naishi na kufanya kazi,niko vizuri na nimesoma...sasa hao mabinti kweli nimewazimia kama hawajaolewa niko tayari kutulia na yeyote kwenye picha hapo maana nimewapenda sana na tayari najiona kama naishi na mmojawapo tayari,Ankali usisahau kuna kifuta jasho pia ukifanikisha,nakuja Dar next week na nitakutafuta...i'm more than serious!

    ReplyDelete
  9. mimi nataka contact ya huyo wa nne aliye ubavuni mwa bi harusi.nipo hapa Pemba-Zanzibar.

    ReplyDelete
  10. Anonymous wa Tarehe Tue Feb 09, 03:23:00 PM. Wewe endelea kuihisi unaishi na mmojawapo wa hao wanawake.

    Ankal leo umewapa wanaume wenye tamaa picha za kujichulia. Kuleni tu kwa picha na kujichua, wenye mali zao wapo.

    ReplyDelete
  11. kwa kweli hii harusi wapambe wamefunika yaani wote wazuri.

    ReplyDelete
  12. heheheheeeeeeeeiiih senkyuuuu ankoooo!! pampapiraa pampapirampaah pampapiraa pampapirampaah... nimekuuchagua wewe uuuuuuwe waaangu, wangu wa maisha wakufa na kuzikana, usijali maaaneno watu waaasemaaaayooo, yaaliyoopita c ndwele tugange yanayokujaX2!!Mmmh sorry bwana harusi i mean samahani simaanishi mai waifu wako, mie niko kwenye hakoo kautaratibu ka usimamizi wa harusi yako muheshimiwa.
    duh mwanawane raha ya michuzi kwangu mie iko hapa tu bwana!
    Teh teh teh teh aaaaaaanha mie leo siongei maana competitors wamekuwa kibao!!! kaka michu mie wapambe tu hao. kwakweli nikitathmini interests zangu za pajazzzzz na titizzzz namie huyo wa mbele kanitoa c'mchezo!! Pajazzzzzz teh teh teh teh teh dah yesu wangu ni lini utarudi bwana???
    sasa naona itabidi sijui niahirishe kale ka mkakati kangu ka kutokea kwenye uzinduzi wa chupa mpya wa redds?, manake kaka mashambulizi yako sasa yamezidi. yanasababisha conflicts of interests kichwani kwangu, manake ile ya evaluation ya juzi nimeiweka kando kwa muda. ahsante kwa email ya bwana harusi pia ila mwambie sio kila email atakayopata itamaanisha biashara, nyingine kama yangu itakuwa ikikumbushia zaidi siku ya harusi yake.
    Again, senkyuuuuu vere mach kaka ubarikiwe sana kwa taswirazzz hasa kama hizi.

    Mdau wa Pajazzzz na Titizzzz

    ReplyDelete
  13. Ankal nilisahau swali moja muhimu sana sana,vipi kale ka utaratibu ka petezzzz kuna mwenyenako tayari kati ya hao wapambe?? manake tucje tukawa tunataka kufakamia mai waifu wa mtu ohoooo unatia timu bongo kwa raha zako unafikia manunduz inakuwa howcome!! kaka hebu nihabarishe kuna ambaye keshapitiwa na kautaratibu ka petezzzz hapo kwa maana namchunguza vizuri huyo wa mbele naona kama kautaratibu kanang'aa flani kidoleni hapo.
    ahsante,

    Mdau wa Pajazzz na titizzz

    ReplyDelete
  14. Jamani hawa mabinti ni wazuri, sijui wanapakana wapi, mimi kwa moyo mweupe kama hawajaolewa naomba contact zao, nitabeba mmojawao mojakwamoja.

    Mungu tusaidie!!!!!!

    ReplyDelete
  15. Mura hongera mbane mura! Ira mura, abhapambe bhao, mura, kana, utang'a ichinamba cha simu mura, bhonsweh mura. Huwiii! Ehe Mura!

    ReplyDelete
  16. Mimi ni mwanamke lakini anayestahili haki apewe. Hao wasichana wote wazuri ukijumlisha na bi harusi. Birds of a feather kwawkweli. I hope they are equally beautiful on the inside.

    ReplyDelete
  17. Teh teh teh, kaazi kweli kweli.
    Hivi kweli watu wataweza kujenga? naona watu wanakuja vokesheni walishapanga kabisa, usikute hata akiwa kwny ndege akakutana na mwanadada mwingine mrembo tamaa tena itamshika.
    Jamani hao wote wameoga jamani ni siku ya harusi kila mtu anaonekana bomba. Ankal kama ukiweza tuwekee na picha zao pale wanapotoka kuamka (wasinawe hata uso), tuone wangapi wataomba contact za hao wadada. Pili inamaana hao wapambe wa bwana harusi walikuwa wanawaangalia tu hao wadada toka kwenye reharsal?Mmmh sidhani. Yaani ni kama vile ule usemi usemao kwenye miti mingi hakuna wajenzi?

    Mdau Kichali

    ReplyDelete
  18. Nimefurahi sana watanzania walivyoelimika, zaidi zile siku za kuogopa maprofesa hata kama wanazungumza pumba nazani zimeisha. Huyu profesa ni lazima ajue ya kuwa, matatizo mengi ya watanzania leo - kukaa vijiweni, kutokujua kiingereza na kiswahili, ni matokeo yanayotokana na systemic failure. Yeye alipata bahati alisoma elimu ya mkoloni, watoto wetu wanafundishwa na walimu wa upe; na mbaya zaidi, hawana text books. Sasa mtu ukiwalaumu watanzania kwa kutojua kunadika kiingereza au kiswahili watu watakucheka.

    Pili, nakumbuka mwalimu wangu kiingereza aliwahi kusema ya kuwa mtu anayeanza name calling kama kuwaita watanzania wana akili finyu ni sign inayoonyesha kuishiwa hoja. Mimi nilidhani kwa kuwa Prof. ni mwalimu wa lugha, angejibu hoja bila ya kukebehi au kuwadhharau upande wa pili. Hii inaonyesha ya kuwa Prof. bado hajastaarabika; na mbaya zaidi, majibu yake ndio yanasadifiana na kile alichowaita watanzania.

    ReplyDelete
  19. enyi wadau wenye uchu mmeshindwa kuwapa hongera maharusi mmeishia kwenye wapambe kweli mna dhiki mioyoni mwenu lol, hongereni saaana maharusi kwa kumeremeta vilivyo ndoa yenu idumu milele. Amen

    ReplyDelete
  20. teh teh teh! kwi kwi kwi kwi! kwa kweli hii blogu ya jamii ni starehe tosha! hizo comment za wanaume hapo juu zimenifanya nicheke sana! Nahic wengine washakula ugali kwa picha ya samaki! me pia ni demu! lkn hawa mademu c mchezo!

    ReplyDelete
  21. hongera sana vivi, harusi bomba

    ReplyDelete
  22. mura abhanto bhahanchere bhaiseke!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  23. kaka watu wanapenda totoz kinoma, tufungue kampuni ya kukodisha totoz

    ReplyDelete
  24. KAWAIDA SANAAAA!!!!!HAMJAONA VITU NINI NYIE....MPENZI WANGU AMEWAPITA WOTE HAO...FRANKLY SPEAKING....UNCOMPARABLE...

    ReplyDelete
  25. Most of them (wa kike na kiume) ni classmates au friends wa bibi harusi manake sura za IFM tupu hzo. Utamu si ndo huu bwana. Senkyu Anko kwa kuwawekea watu chaaaaaaakuuuuula cha macho!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...