

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ankal,
ReplyDeleteHawa ndio wapiga box wanaolipwa vizuuriiiiii sana huko bongo. Tazama walivyo nona kama huyo jamaa aliyeonekana kwenye taswira ya pili akiwa ameinua mikono juu kushiriki kuomba winbo wa solidarity forever. Tazama alisahau hata kuvaa kafulana ndani baba mzima tumbo na kitovu choote njeee! na nikiongozi wa chama bila shaka. mambo ya aibu sana haya kukaa meza kuu pasi na staha
Migogoorooo, na migongaanooo, makaazini, ni ukosefu wa nidhamuuuu! Same applies kwa majungu!
ReplyDeletena wewe ni walewale tu, unatuwekea picha za hao wafanyakazi wachache unaacha kuweka za wafanyakazi wengi wanaopata shida za mishahara midogo na mafao duni kiza wametangaza kugoma. muache siasa kwenye haki za watu! jehanamu inawasubiri. hata usiporusha hii komenti poa tu.
ReplyDeleteHizo taasisi wanalipwa mishahara mikubwa, hata mimi ningewashangaa kama wangejiunga nasi kutaka nyongeza. Hapo ni NBC, NMB, NSSF, DAWSCO nk hakuna walalahoi hapo.
ReplyDeleteAnkal hebu tuweke sawa,mi nipo ya Tz. Nimesikia leo kulikuwa na maadhimisho ya aina mbili.Wale waliopo chini ya Tucta maadhimisho yalikuwa uwanja wa Taifa na walio ambao hawapo chini ya Tucta ndio hayo ya Mnazi mmoja.Ni kweli? kama ni kweli utakuwa bias ulitakiwa uweke na yale ya uwanja wa Taifa tulinganishe.
ReplyDeleteBongo tambarare,kweli Tucta noma. Hakuna cha President wala cha waziri wa kazi wala kiongozi yyt toka serikalini.
Mdau ughaibuni
Leo hutaki kupokea maoni kabisa, sawa... Weka basi na picha za Maadhimisho halisi ya Mei Dei Kitaifa yamefanyikia Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Acha hizo... Ankal
ReplyDeletehayo siyo maadhimisho ya ukweli ya MEI MOSI, hizo ni propaganda za kapuya na hao wafanyakazi wasio na shida, utaona matumbo makubwa yasiyo na afya. MEI MOSI ya ukweli kitaifa ilifanyika uwanja wa Uhuru na siyo mnazi mmoja. naona na wewe unapenda propaganda za serikali kudharau wafanyakazi na kuwakebei kwa kutengeneza mei dei yao. hawa NSSF ndo wanapunja mafao ya wastaafu na kujipa mishahara mikubwa watagoma saa ngapi, wanajiona wao ni bora kuliko wanachama wao! kweli nchi hii ubinafsi unashika kasi.
ReplyDeleteHao ndo utasema wanashida?Wengi wao hapo maumbo yao ni 2 by 1,3 by 1 na 4 by 1. Na ndo maana wameamua kujitenga,hasa hao wafanyakazi wa bank watawasubiri madirishani(Kaunta) wale wote walioenda kushereheka uwanja wa Uhuru.
ReplyDeleteWafanyakazi Tz muda ndo huu msirudi nyuma kuweni na mshikamano hasa katika kudai haki zenu.Msije mkawa kama wahadhiri wa vyuo nao waoga tu, waonyesheni mfano kuwa km mkiungana linawezekana. Kuna gap kubwa sana la kimaisha la mwanasiasa na mfanyakazi wa kawaida hili lipo wazi. Na mwisho na nyie mnawachagua tena hao hao.Mnanikera nyie hata mkielimishwa wapi.Msikubali kuburuzwa.
Burudikeni na wimbo wa wagosi wa kaya- Maumivu ya miaka kumi.
Ankal acha kubana comments,hii blogu inakuwa active pale watu wanapochangia usije kubaki pekee yako watakimbia wadau. Ni ushauri tu,ona kama mimi nilivyo comment hakuna hata tusi moja,labda ubane tu.
Pia acha kuwa bias ww ni mtoto wa mkulima na hao waliokuwapo uwanja wa Uhuru wanakilisha watoto wa wakulima,nionga ingekuwa vyema na wao ungewapa nafasi hapa.
Mdau
Haya maadhimisho yaliyofanyika Mnazi Mmoja hayakuandaliwa na TUCTA bali FIBUCA ambacho ni chama cha wafanyakazi taasisi za fedha. Maadhimisho yaliyoandaliwa na TUCTA yalifanyika Uwanja wa Uhuru.
ReplyDeleteJamani nisaidieni, tuwe honest! Hivi hawa jamaa waadhimisha nini?? wanasheherekea kipi?? mafanikio yepi?? furaha yao imetoka wapi??Kweli mazingira ya kazi ni mazuri?? watanzania ni hypocrite tuliopindukia! Shame on us!
ReplyDeleteBro mithupu acha kuleta siasa kwenye blogu ya jamii, tuwekee picha za uwanja wa uhuru ambazo ni asilimia 95% ya wafanyakazi wote
ReplyDeleteMdau,
Michuzi!
ReplyDeleteUmeshindwa kutuhabarisha sawasawa, hizi picha ulizotundika hapa zina kaharufu karushwa ka namna fulani, siamini kama unaweza kuwa cheap kiasi hiki. Kwanini utuwekee maadhimisho ya wanaofadi jasho la wafanyakazi wa nchi hii! NBC, NSSF na mashirka mengine ya pensheni yanawanyonya wachangiaji ambao ni wafanyakazi wengi walioadhimisha sherehe zao pale shambani kwa BIBI, acha hizo, huu si muda wa kujipendekeza bali kufanya maamuzi sahihi kwa ajiliya tanzania bora na si matumbo makubwa
"All the workers of Tanzania unite, there is nothing to lose except your chains"
ReplyDeleteWangejua falsafa ya Mei Mosi basi hayo makundi mawili yasingekuwepo ama hili kundi moja ambalo limeungana na watawala lisingehusika kufanya sherehe, ndiyo maana sherehe za kweli kadiri ya Falsafa ya Max, ni ile ya Uhuru stadium. Waungane sasa dhidi ya tabaka hilo la pili. Solidarity forever!
Mdau, China.