Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye Banda lao katika Maonesho ya
Biashara ya Kimataifa jijini Dar leo. Aliongelea pia juu ya ajali ya ndege yao iliyotokea jana, eneo la Kabuku, Kijiji cha Manga mpakani mwa mikoa ya Pwani na Tanga.Marubani waiwili wa ndege hiyo walifariki.
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo akiangalia maonesho kwenye Banda la JWTZ katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa, Dar
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi, Andrew Nyumayo akipigiwa saluti na vijana wa
chipukizi alipokuwa akiingia kwenye banda la Jeshi la Wananchi Tanzania, kuangalia maonesho
katika viwanja vya Mwalimu Nyerere leo.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...