Vodacom kanda ya kaskazini imekabidhi Flat screen TV yenye inchi 32 pamoja na decoder, ungo wa DStv kwa Bw. Abraham Macha mkazi wa eneo la Mererani akiwa ni mshindi wa tatu katika shindano la 'world cup trivia'. Kutoka kushoto ni Meneja mauzo kanda ya kaskazini Mr. Henry Tzamburakis, Mwakilishi wa idara ya mauzo (Vodashop Sokoine) Samya Ulimwengu na mshindi wa zawadi hiyo Bw. Abraham Macha.
Home
Unlabelled
mdau wa mererani alamba Sony Trivia kutoka Vodacom
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hiyo ni bahati nasibu au ni kitu gani? mbona washindi waliowengi ni 'asili' moja tu? tulishawashtukia!! deal hizo, wajinga ndiyo waliwao!!!!
ReplyDelete