Home
Unlabelled
Meya wa Ilala Mstahiki Jerry Silaa akabidhiwa uraia wa heshima wa jiji la Bozeman, Montana, Marekani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
keep it up - ur the new generation tunaowategemea
ReplyDeleteMzee niachie huo uraia kaka?
ReplyDeleteMbeba Box
sasa anza BOX karatasi usharamba lol
ReplyDeletehuandishi bora tungeelezwa kafanya nini adi apewe huo uraia . Mimi naamini dunia hii akuna mtu atayekupa zawadi bure unless its ur birthday na sikuizi hata waalikwa wa birthday wanakuja mikono mitupu.....
ReplyDeleteMdau washington , mimi na michuzi blog damu damu :)
Mh! Kwa hiyo atakuwa na dual citizenship?
ReplyDeleteHongera sana
ReplyDeleteKuna honorary citizenship ya nchi yaani ya USA na honorary citizenship ya city na pia honorary citizenship ya state. Ya nchi hutolewa na raisi, wakati ya state hutolewa na governor wa state hiyo na ya city hutolewa na city manager kama ilivyo kwa Jerry. Hizi ni tuzo za heshima tu na hazimpti mtu yeyote hadhi yeyote ile ya uraia wa marekani au state au mji. Wala haina kuwa na upendeleo kupata viza wala kuwa na haki za raia wa USA au wa mji huo. Ni tuzo la heshima halina haki yeyote wala pesa. Faida yake labda kuiandika kwenye CV tu. Wakati honorary citizenship ya nchi USA, ni hadimu sana mpaka sasa ni watu 5 tu wamepewa tuzo hizo tokea USA iwe nchi wakiwemo Wiston Churchill. Tuzo za miji (city) ni za kumwaga
asante, mdau Joe Bura
http://www.state.gov/documents/organization/86761.pdf
Jukumu la kutoa uraia marekani linawezwa fanywa tu na united states citizenship and naturalization services , hata Obama hawezi mpa mtu uraia, what this Guy is getting is something else and not citizenship. Mambo ya uraia hapa ni magumu jamani na yote yapo federal level and any official at state level can not offer someone a citizenship
ReplyDelete