Na. John Kitime.
Kuanzia album ya kwanza ya Tancut Almasi Orchestra , bendi iliendelea kutoa vibao vilivyoweza kudumu katika kumbukumbu za wote waliovizisikia kuanzia enzi hizo, album ya kwanza ilikuwa na nyimbo kama vile, Nimemkaribisha nyoka(Kasaloo Kyanga), Kashasha(Kyanga Songa), Tutasele (Kasaloo), Mtaulage(John Kitime), Big Four(Utunzi wa wimbo huu ulileta utata kwani ulianza kwa ugomvi kwa Mamado Kanjanika kudai kuwa aliutunga yeye wakati akina Kasaloo na Kyanga wakidai wameutunga wao.
Lakini hatimae akina Kasaloo waliacha ugomvi huo na Mamado hutajwa kama mtunzi wa wimbo huu. Hebu angalia mambo yalivyokuwa wakati Kashasha likipigwa. Niko hapo na miwani kubwa nikiungurumisha rhythm guitar
Kuanzia album ya kwanza ya Tancut Almasi Orchestra , bendi iliendelea kutoa vibao vilivyoweza kudumu katika kumbukumbu za wote waliovizisikia kuanzia enzi hizo, album ya kwanza ilikuwa na nyimbo kama vile, Nimemkaribisha nyoka(Kasaloo Kyanga), Kashasha(Kyanga Songa), Tutasele (Kasaloo), Mtaulage(John Kitime), Big Four(Utunzi wa wimbo huu ulileta utata kwani ulianza kwa ugomvi kwa Mamado Kanjanika kudai kuwa aliutunga yeye wakati akina Kasaloo na Kyanga wakidai wameutunga wao.
Lakini hatimae akina Kasaloo waliacha ugomvi huo na Mamado hutajwa kama mtunzi wa wimbo huu. Hebu angalia mambo yalivyokuwa wakati Kashasha likipigwa. Niko hapo na miwani kubwa nikiungurumisha rhythm guitar
namuona kawelee enzi za ujana wake,sio mchezo, Tancut walitisha enzi hizo,sijui lini tena muziki kama huo utarudi tena. Big up Kitime kwakutudondoshea hiyo,tunangoja kama utatudondoshea mtaulage. Mdau London.
ReplyDeleteAhsante sana kitime, naomba utundondoshee SAFARI SIO KIFO,machozi hunitoka sana, kuna siku ulimpa nafasi kasoloo pale msasani mkiwa na njenje ilinikumbusha mbali sana.
ReplyDeleteNaona Bro Kitime ulikuwa staili ya pekee ya kucheza....Mapacha wakaona wakufunike!!!!...anyway,..welldone.
ReplyDeleteBro Kitime wanikumbusha mbali sana, kwani nalikuwa natoroka hata prep time pale Lugalo sec.school siku za hao jammaa na wewe. Club ya tancut niliipenda sababu yenu ingawa ni dent
ReplyDeletela nguvu. Sasa nipo huku kwa OBAMA, je hiyo album nitaipataje? tuwasiliane kwa e-mail hii kipen_84@yahoo.com. Asante sana mzee.