NI NYUMBA YA KISASA KABISA, IKO KITUNDA/KIPUNGUNI KARIBU NA MOSHI BAR. INA SEBULE YA KUPUMZIKA, SEHEMU YA KULIA CHAKULA, VYUMBA VITATU VYA KULALA, KIMOJA KIKIWA NA CHOO NA BAFU (MASTER BED ROOM) NA STOO.

IMEPIGWA PLASTER NJE NA NDANI, IMEWEKWA TILES PAMOJA, CEILING BOARD (QYPSUM), FRAME ZA MIRANGO NA MADIRISHA. BADO KUWEKWA MILANGO, MADIRISHA NA RANGI TU.
BEI  NI MAELEWANO.
WASILIANA NA PAULO KWA NAMBA 0715634825, AU 0755634825 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 03, 2012

    please send more pictures of the house in and out to email freewares@abv.bg

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 03, 2012

    Mheshimiwa Maige, haya sasa. Nyumba nyingine hiyo kanunue. Inauzwa USD 700, 000= tu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 03, 2012

    Moshi Bar unaingilia njia ya Mombasa wakati Kipunguni ipo karibu na Banana karibu kabisa na jengo la Mamlaka ya Hali ya Hewa. Maeneo haya hayajakaribiana kabisa. Mtoa tangazo anapaswa kufanya utafiti na kutoa maelekezo sahihi.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 03, 2012

    Unauza hiyo Paulo tena bila presha.Sema hiyo hatua ilikofikia sasa hapo ndipo kuna 'mchezo mtamu'..Finishing.Kama vipi weka na JPEG ya ramani badala ya kutoa maelezo marefu(Ushauri tu siyo lazima)

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...