Home
Unlabelled
Frank Gonga ndani ya kipindi cha Mkasi na salama Jabir (feat. Fred)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mmmm mi maimuna hicho kiingerecha?Mjini shughuli!!
ReplyDeletewatu hawatafuti refugee ila wanatafuta asylum -kwa issue ya kujilipua-mgongano wa lugha
ReplyDeleteHuyu Gonga anaongea kwa swag hadi imepitliza..too artificial! Hawa jamaa walienda Europe wakiwa watu wazima, lakini utadhani wamejifunza kiswahili ukubwani. Wabongo kiboko!
ReplyDeleteI love all the comments esp....# 3..LMAO!
ReplyDeleteMbona kiswahili chenyewe wanajifanya wamekisahau kulikoni? au ndo mbwembwe?
ReplyDeletehawana chochote walichokiongelea cha maana kwa watanzania
huyo anayataka mwenyewe! sasa acha watu waseme waliyonayo..na wanayo yaona! kaka umeshakua mkubwa ss inatosha
ReplyDelete