Hon. Mrs. Juliana Mphande (Mp) Second Deputy Speaker of the Parliament of Malawi stressing a point to the Clerk of the National Assembly of Tanzania Dr. Thomas Kashilliah when her and the delegation of Parliamentary Service commission from Malawi paid a courtesy call on clerk's office today. the delegation form Malawi National Assembly they are in Tanzania for Official Visit to Parliament of Tanzania.
Clerk of the National Assembly of Tanzania Dr. Thomas Kashilliah having a brief meeting with the members of the Parliamentary Service Commission when the visited him today in Dodoma. The delegation is led by Hon. Mrs. Juliana Mphande (Mp) (far right in red dress) Second Deputy Speaker of the Parliament of Malawi and they are in Tanzania for Official Visit to Parliament of Tanzania.
Chief Whip Hon. William Lukuvi (Mp) (left) being introduced to the Second Deputy Speaker of the Parliament of Malawi Hon. Mrs. Juliana Mphande (Mp) by the Clerk of the National Assembly of Tanzania Dr. Thomas Kashilliah (right). Hon. Mphande led the delegation of the Members of the Parliamentary Service Commission from Malawi for an official Visit to Parliament of Tanzania.
Members of the Parliamentary Service Commission from Malawi led by Hon. Mrs. Juliana Mphande (Mp) Second Deputy Speaker of the Parliament of Malawi poses for a group photo with the Clerk of the National Assembly of Tanzania Dr. Thomas Kashilliah and his Management Team.Photos by Owen Mwandumbya of Bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Have they come for negotiation on the boundary dispute?

    ReplyDelete
  2. Wamekuja kuomba wapewe Kyela, Njombe na Songea. Tutafunga mto Kiwira, Songwe, Maka na Lufyilo (Sp)

    ReplyDelete
  3. Mgogoro wa ziwa Malawi/Nyasa umekuwepo tokea Tanzania ipate uhuru wake na Nyerere akiwa kijana madarakani. Tatizo ni kuwa hatukuwa na hatuna kiongozi mwenye nia dhabiti ya kulifungia nyuga tatizo hilo. Zimekuwepo porojo tu kama desturi zetu watanzania bila matokeo. Nyerere alikuwa na wanasheria wakuu, mawaziri wa ardhi na wa mambo ya nje mbalimbali ambao wote walikuwa wanatupiana mipira mpaka wamestaafu, hakukuwa na yeyote wao aliyekuwa na nia dhabiti ya kulivalia njuga suala hilo na Nyerere hakuweka utatuzi wa mgogoro huo kama mojawapo ya kipimo cha ufanisi kazi wa viongozi hao. Serikari za Mwinyi (miaka 10), Mkapa (Miaka 10) na sasa Kikwete (miaka 10) pia wembe ni ule ule wa porojo na kusema aaaa bwana sisi majirani, hili suala tuliachie serikari inayokuja italishughulikia. Na wabunge wa Songea/Ruvuma nao toka enzi na enzi wao ni posho tu za bungeni. Kwa nchi nyingine hili ni suala kubwa tena linalomuhusu Raisi wa nchi moja kwa moja kwa kuwa linagusa mgogoro wa mpaka wa nchi yake na haki za wananchi wake, na sio suala la kuachiwa waziri au mwanasheria mkuu bila kuwajibishwa. Kudhibiti mipaka ya nchi ni kigezo kimojawapo kikuu cha upimaji wa ufanisi wa Raisin a serikari yake. Lakini hili si jipya ukiangalia desturi zetu watanzania za kubweteka na pia kutokujua thamani haswa ya ardhi yao.
    Ni miaka takribani 40 sasa tangu serikali ya Malawi itangaze kuwa ziwa lote la Nyasa ni mali yake kuanzia pale Songea/Ruzuma maji ya ziwa yanapokutana na ardhi (beach) na wamedhibitisha hivyo mara kwa mara kwa wanajeshi wa Malawi kukamata mitumbwi na ngalawa za wavuzi kutokea mkoani Songea/Ruvuma waokutwa wanavua samaki pembezoni mwa ziwa karibu na Songea/Ruvuma. Wana Songea/Ruzuma ambao kwa kiasi kikubwa wanategemea uvuvi wamekuwa wakishi kwa hofu. Uki – google utaona kuwa ramani nyingi za kwenye intaneti unaonyesha mipaka ya Malawi iko Songea, ziwa lote liko Malawi na jina la ziwa ni lake Malawi. Serikari yetu kuendelea kupiga porojo tuu miaka nenda miaka rudi wakati wananchi wanadhulumiwa ardhi yao ni kukosa uwajibikaji.
    Mdau josheffu, dar

    ReplyDelete
  4. Nilikuwa Mbambabay mpaka jumamosi 05/08/2012 na nikaona hofu ya wakazi wa eneo hili la ziwa nyasa kuhusu mgogoro wa mpaka na kuzidishwa na mazungumzo kwenye vijiwe yaliyozidishwa na utani. Walipoona gari la jeshi la wananchi 04/08/2012 pale kituo cha polisi Mbamba bay minong'ono ikazidi. Nadhani huu ni wakati muafaka kumaliza mgogoro huu, na inawezekana.

    sesophy

    ReplyDelete
  5. Dawa yao ni kuwapiga tuu. Tuwape kichapo wajisikie basi sasa tutabweteka mpaka lini??

    ReplyDelete
  6. Stupid Tamnzanians, you cant even write and speak English, leave Lake Malawi to Malawians. It belongs to them.

    ReplyDelete
  7. poor gays from Malawi! u r president received dowry of you from abroad now it is high time you are to be married by Tanzanian MEN! along side with ur wifes and children!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...