Msimamizi wa ujenzi wa kiwanda cha sementi mkoani Mtwara,Eng. Dilip Musale (katikati) akimuonyesha Naibu Waziri wa Nishati na Madini,Mh. George Simbachawene eneo litakalo jengwa kiwanda hicho pamoja na vifaa vya ujenzi ambavyo vimeanza kuletwa (kushoto) ni mtalamu wa miamba wa kampuni ya Dangote,Bwana Jonh.Kiwanda kikubwa cha sementi na kampuni ya Dangote afrika mashariki na kati kinatarajiwa kuanza kujengwa mkoani mtwara nchini Tanzania.
  Naibu Waziri wa Nishati na Madini,Mh. George Simbachawene akionyeshwa ramani ya eneo la mradi na mtalamu wa miamba kutoka Dangote bwana Jonh (pili kushoto) na pembembeni yake ni msimamizi mkuu wa wa mradi wa Dangote,Eng. Dilip Musale (kulia).
Baadhi ya mitambo ya ujenzi ambayo imekwisha letwa kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda hicho.Picha na Chris Mfinanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ankali habari za saahizi kaka hamjambo wote na familia? wapwa zangu hawajambo? wasalimie sana sina la zaidi.

    ReplyDelete
  2. ASSALAM ALYKUM
    SASA MKANDARASI NI NANI?
    MMILIKI WA KIWANDA NI NANI?
    HAYO NI KATIKA MAMBO MUHIMU, TUJUZE!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...