Mwanamuziki Diva Tabia Mwanjelwa mwenye maskani yake nchini Ujerumani Anawapa burudani watanzania wote na wimbo wake mpya "Kilimanjaro" Bi.Tabia Mwanjelwa bado analiendeleza libeneke la Muziki na kuipeperusha bendara ya Tanzania kwa kutumia sauti yake alayojaaliwa na Mwenyezi Mungu. Tabia Mwanjelwa ni mwanamama aliyevuka milima na mabonde katika medani ya muziki na bado yupo gado.
Home
Unlabelled
kibao kipya cha diva wa tanzania tabia mwanjelwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...