Amina Issa mkazi wa Tumbaku,katikati akipokea hundi ya shilingi laki moja baada ya kushinda shindano la Vodacom mkwanja ,wanaokabithi hundi kushoto ni Ahmed kaunda mkaguzi mawakala,kulia ni kamanda Kasapila meneja wa tawi
 Kijana Rakmadhan Juma mkazi wa nane mjini Morogoro akiwa ameshika mfano wa hundi ya shilingi laki moja mara baada ya kushinda katika shindano la mkwanja kwa wakala liloandaliwa na kampuni ya simu za mkononi Vodacom Tanzania
Rodrick Eliam mkazi wa kichangani katikati akipokea hundi ya shilingi laki moja baada ya kushinda shindano la Vodacom mkwanja kwa wakala,wanaokabithi hundi hiyo kushoto ni Ahmed kaunda mkaguzi mawakala,kulia ni Kamanda Kasapil.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...