Mshindi wa Taji
la Redd’s Miss Kanda ya Mashariki 2014
, Elizabeth Tarimo (18) ambaye pia ni Miss Lindi akiwa
mwenye uso wa furaha na tabasamu la ushindi sambamba na mshindi wa
pili Nidah Katunzi (19) ( kulia) ,ambaye ni Miss Mtwara pamoja na wa
tatu, Lucy Julius Diyu (21) (kushoto) Miss Morogoro baada ya
kutangazwa kuwa washindi kwenye nafasi hizo wakati kinya’ganyiro cha
kuwania taji hilo kilichofanyika juzi usiku kwenye ukumbi wa Hoteli
ya Nashera ya mjini Morogoro.
Home
Unlabelled
ELIZABETH TARIMO NDIYE MSHINDI WA MISS KANDA YA MASHARIKI 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
tunaomba picha zingine za hyo miss kanda
ReplyDelete