JOHN Stephen Akhwari ni miongoni mwa wanariadha wenye historia kubwa

hapa nchini kutokana na umahiri wake katika mchezo huo.

Akhwari anakumbukwa sana katika Michezo ya Olimpiki kutokana na kauli
yake ya kizalendo aliyoitoa wakati aliposhiriki mbio za marathoni
katika Michezo ya Olimpiki iliyofanyika huko Mexico mwaka 1968


JOHN Stephen Akhwari akiwa na baadhi ya medalii zake alizozipata katika mashindono ya riadha


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Huyu ni mtanzania ambaye aliinyanyua nchi michuzi hebu iweke hii kwenye blog lazima tuwe na award ya wanamichezo inayoitwa john akhwari

    extract from wikipedia and youtube-

    While competing in the marathon in Mexico City, Akhwari cramped up due to the high altitude of the city. He had not trained at such an altitude back in his country. At the 19 kilometer point during the 42 km race, there was jockeying for position between some runners and he was hit. He fell badly wounding his knee and dislocated that joint plus his shoulder hit hard against the pavement. He however continued running, finishing last among the 57 competitors who completed the race (75 had started). The winner of the marathon, Mamo Wolde of Ethiopia, finished in 2:20:26. Akhwari finished in 3:25:27,[2] when there were only a few thousand people left in the stadium, and the sun had set. A television crew was sent out from the medal ceremony when word was received that there was one more runner about to finish.

    As he finally crossed the finish line a cheer came from the small crowd. When interviewed later and asked why he continued running, he said, "My country did not send me 5,000 miles to start the race; they sent me 5,000 miles to finish the race."

    You tube

    https://www.google.ae/?gfe_rd=cr&ei=x36ZVMeQMMKq8we204DAAw#q=john+akwari+marathon

    Australian Prime Minister Praise to Kahwari

    link
    http://www.manoramaonline.com/cgi-bin/MMOnline.dll/portal/ep/home.do?thisPage=%2Fep%2Fcommon%2Fcontent%2FprintArticle.jsp%3FBV_ID%3D%2540%2540%2540%26com.broadvision.session.new%3DYes%26articleTitle%3DOlympics%253a%2Bwhere%2Bpatriotism%2C%2Bbrotherhood%2Bmerge%2B%26language%3Denglish%26contentOID%3D4344208

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...