Confirmed...21Feb2015..Yamoto! Yamoto! Yamoto Band Live in the UK For the first Time Ever...When we Say Live, we mean
Live with Full Band & Dancers...
This is one show that's not to be Missed... Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty
Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa yamoto band Maromboso na Aslay baada ya makubaliano ya kuwadhamini band hiyo kuja kufanya show yao jijini London @maromboso @aslayisihaka
Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na mameneja wa yamoto band
It's gonna be bigger and better! UK & Europe people Save the Date. Their Live Performance is a must see..If you love live music
Make sure you get your tickets mapemaaaa...Hili ni Bonge la show kuwahi kutokea na watoto wameahidi kuweka historia
Swali wandugu....
ReplyDeleteMara nyingi naona vijana kwenye picha wanaonyesha vidole viwili kwa namna moja ama nyingine ... Maana yake ni nini hasa??
Zamani wakati wa freedom fighting, vidole viwili ilieleweka vinamaanisha USHINDI (VICTORY). Sasa hivi hata vijana wa vijijini wananyoosha vidole huku na kule, sielewi kabisa maana yake ni nini. Naomba mnielimishe.