Mkurugenzi wa DOT Tanzania, Dawson Luogard akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa maadhimisho ya siku ya vijana leo katika ukumbi FES Oyster Bay jijini Dar es Salaam.
Mtandao wa Vijana wa Activista Tanzania wakishirikiana na Tanzania Youth Vision Association(TYVA) wameadhimisha siku ya Vijana Duniani kwa kuwakutanisha vijana zaidi ya 120 kutoka maeneo mbalimbali na kujadili mada mbalimbali kuhusu Kodi, Kilimo na Maendeleo Endelevu ya malengo ya millenia.(Picha na Geofrey Adroph)
Mwenyekiti wa Activista Tanzania, Hatibu Kilenga akifunga mafunzo kwa vijana yaliyoandaliwa na Mtandao wa Vijana wa Activista Tanzania wakishirikiana na Tanzania Youth Vision Association(TYVA) katika maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani.
Picha ya Pamoja.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...