Panapo majaliwa kama
tutafanikiwa kuiona siku ya Tarehe 6/8/2016 tambua kuwa Kwenye yale mambo yetu
ya Fashion Mama wa mitindo maarufu kama Asya Idarous Khamsin kutoka Tanzania
pamoja na wanamitindo wengine watatimua vumbu katika onesho kubwa la Mitindo "Kenya
Woman Reunion" linalo tarajia kufanyika huko Dallas Texas. Kama wewe ni
mmoja kati ya wadau wa Tasnia ya mitindo endelea ku-Suport Mitindo ya Tanzania.
Home
Unlabelled
ASYA NA WANAMITINDO WENGINE KUTIMUA VUMBI DALLAS TEXAS JUMAMOSI HII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...