Bosi wa Jemba FM ya jijini Mwanza Dkt Sebastian Ndege (kati mbele) akiwa na sehemu ya kikosi kazi cha kituo hicho cha redio kinachoteka mawimbi yote ya kanda ya ziwa kwa utangazaji uliotukuka. Globu ya Jamii inatoa saluti kwa Jemba FM kwa weledi wake na pia kwa ushirikiano wa kikazi.
Home
Unlabelled
KITUO CHA REDIO CHA JEMBE FM CHATEKA MAWIMBI YOTE KANDA YA ZIWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...