Mbunge wa Morogoro Kusini Mhe. Prosper Mbena akiwa njiani kuwatembelea wananchi wake wa kijiji cha Baga mwanzoni mwa wiki hii. Mbena anakuwa Mbunge wa kwanza kutembelea kijiji hicho kilicho mbali na hakina barabara na chenye mto mkubwa wa mvuha na mlima mkali wa Umangu. Wananchi wa huko wanateseka sana kwa  kukosa barabara na daraja kwenye mto Mvuha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ni kuhamasisha badala ya njia tu, barabara zijengwe kwanza na wananchi halafu waongezewe nguvu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...