Mbunge wa Morogoro Kusini Mhe. Prosper Mbena akiwa njiani kuwatembelea wananchi wake wa kijiji cha Baga mwanzoni mwa wiki hii. Mbena anakuwa Mbunge wa kwanza kutembelea kijiji hicho kilicho mbali na hakina barabara na chenye mto mkubwa wa mvuha na mlima mkali wa Umangu. Wananchi wa huko wanateseka sana kwa kukosa barabara na daraja kwenye mto Mvuha.
Home
Unlabelled
Mbunge wa Morogoro Kusini Mhe. Prosper Mbena atembelea wapiga kura wake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ni kuhamasisha badala ya njia tu, barabara zijengwe kwanza na wananchi halafu waongezewe nguvu.
ReplyDelete