Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Clifford Tandari akiwa pamoja na Waziri wa zamani wa Uingereza wa maswala ya Afrika na maendeleo ya Kimataifa, Baroness Lynda Chalker walipokutana ili kuzungumzia mazingira ya uwekezaji nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa TIC alimuhakikishia Mgeni wake huyo kuwa TIC itajitahidi kuhakikisha uwekezaji nchini unakuwa ni ule wenye manufaa na mazingira yake kuwa bora.
Home
Unlabelled
Mkurugenzi Mkuu TIC akutana na Waziri wa zamani wa Uingereza wa maswala ya Afrika na maendeleo ya Kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...