Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Daqarro akila kiapo kwenye sherehe fupi za kumwapisha zilizofanyika leo jijini Arusha na kusimamiwa na mkuu wa mkoa huo Mhe. Mrisho Gambo
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo akisaini hati ya kiapo cha Mkuu wa wilaya mpya ya Arusha,Gabriel Daqarro(kulia)wanaoshuhudia ni Katibu Tawala mkoa,Richard Kwitega na Afisa wa Itifaki,Mukhsin Khasim.
Viongozi mbalimbali katika Jiji la Arusha wakifatilia tukio hilo.
Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Daqarro akitoa shukrani zake baada ya kuapishwa.
Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akitoa shukrani zake baada ya kuapishwa katika picha ya pamoja na viongozi waandamizi a mkoa wa Arusha baada yasherehe za kula kiapo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...