Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Daqarro akila kiapo kwenye sherehe fupi za kumwapisha zilizofanyika leo jijini Arusha na kusimamiwa na mkuu wa mkoa huo Mhe. Mrisho Gambo
 Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo akisaini hati ya kiapo cha Mkuu wa wilaya mpya ya Arusha,Gabriel Daqarro(kulia)wanaoshuhudia ni Katibu Tawala mkoa,Richard Kwitega na Afisa wa Itifaki,Mukhsin Khasim.
 Viongozi mbalimbali katika Jiji la Arusha wakifatilia tukio hilo.
 Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Daqarro akitoa shukrani zake baada ya kuapishwa.
Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akitoa shukrani zake baada ya kuapishwa katika picha ya pamoja na viongozi waandamizi a mkoa wa Arusha baada yasherehe za kula kiapo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...