Mmoja wa Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji cha Sululu Wilayani Kilombero, akichangia Mada iliyowasilishwa na Kiongozi wa Urasimishaji ndugu Swagile Msananga, iliyokuwa ikihamasisha Ujenzi wa Masjala ya kijiji,ambapo pamoja na mambo mengine,itatumika kuhifadhi hatimiliki za kimila (CCROs),ambazo zitatolewa baada ya Programu ya kupima Ardhi za Vijiji katika wilaya za Mfano za Malinyi, Kilombero na Ulanga kukamilika. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA |
Home
Unlabelled
Mradi wa Kuwezesha Umilikishaji Ardhi ( LTSP ) Wapokelewa na Wananchi Wilayani KILOMBERO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...