Ofisa matekelezo wa bima ya afya Salvatory Okum akitoa maelezo ya faida na umuhimu wa uchangiaji wa huduma za matibabu kupitia mfuko wa afya ya jamii (CHF) kwa wananchi waliotembelea banda la mfuko ambapo elimu kwa umma ni moja ya huduma zinazotolewa.
Timu ya wataalamu wa mfuko wa taifa wa bima ya afya wakiendelea na zoezi la upimaji wa afya kwenye magonjwa yasiyoambukiza kwa wananchi waliofika kwenye banda la mfuko ngongo mjini Lindi.
Meneja wa mfuko wa Taifa wa bima ya afya mkoa wa Lindi Fortunata Raymond akiwapa maelezo ya mpango wa KIKOA unaowawezesha wanavikundi,wajasiriamali kupata huduma za matibabu kuchangia mara moja kwa mwaka (Shs 76,800),kwa wananchi waliotembelea katika banda la mfuko lililopo kwenye viwanja vya Ngongo mjini Lindi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...